Kuuweza Wakati Ujao I

September 10, 2025 00:55:54
Kuuweza Wakati Ujao I
Pastor Neema Tony Osborn
Kuuweza Wakati Ujao I

Sep 10 2025 | 00:55:54

/

Show Notes

The ability to navigate the future is rooted in wisdom, faith, and preparation. By aligning our thoughts and actions with God’s guidance today, we position ourselves for success, favor, and breakthrough tomorrow.

Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give

View Full Transcript

Episode Transcript

[00:00:00] Speaker A: Shalom mpendwa wabwana, this is Mama Piti na leo na kukaribisha tena kule isikeleza neno la mungu. Bible nasema maneno yangu ni roho na uzima. Neno hili, hina wezo kufufua tumaini na kuleta faraja moyoni. Wenda upo kwenye doruba au mawingu mazito, lakini kuna neno la mungu li lo hai li naloweza kutuliza mawimbi na kukuletea amani leo. Karibu. [00:00:23] Speaker B: Mwubiri sura ya tatu. Kwa kila jambo, mstari wa kwanza naanza. Kwa kila jambo, kuna majira yake na wakati kwa kila kusuri, chini ya mbingu. Mtumishu wa mungu kwenye peji ya tatu kabisa mituwelezi ya pali. Yanasema maishi ya mwanadamu ya megawanjika kwenye vipindi. Nyakati na majira. Mtuwa mungu nisikilize kwa makini sana. Ukinisikiliza, ninauwakika kabisa. Hata kama ni kwa uchache, hata kama ni kwa udogu, utasoguea. Kuna kitu kita soguea kapsa kwenye maisha ako, kwenye ufamu ako. Mubili sura ya tatu, ustalu wa kwanza. Kwa kila jambu, kuna majira yake na wakati wa kusudi, chini ya mbingu. Ustalu wa pili, wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kungoa, yalio pandwa. wakati wakuhua na wakati wakupoza, wakati wakubomoa na wakati wakujenga. Mstari wanene, wakati wakulia na wakati wakucheka, wakati wakuomboleza na wakati wakucheza. Mstari watano, wakati wakutupa mawe na wakati wakukusanya mawe, wakati wakukumbatia na wakati wakuto kukumbatia. [00:01:37] Speaker C: Hallelujah! Hallelujah. [00:01:39] Speaker B: Tumishwa mungu wa maelezea kwenye kitabu ya kwamba, maisha ya megawanyika kwenye nyakati na majira flan. Nyakati na majira flan. Nyakati na majira flan. Seasons. Seasons. Zimegawanyika kwenye maisha yetu na ya kwamba. Kila season inayo majukumu yake katha wa katha ya kufanya according to the season. Kwa hiyo, unachutakia wawe kufanya ni kumaster, biblia inasema hivi, mstari wapili, wakati wakuzaliwa na wakati wakufa. Kwa hiyo, wakati wakuzaliwa upo na wakati wakufa upo, wakati wakupanda upo na wakati wakungoa yaliopandwa upo, wakati wakukusanya mawe upo na wakati wakuyatupa hayo mawe Pia upo kwa hiyo, what if mtu haelewi hizi mambo za majira na nyakati manake ni kwa mba atakacho kifanya ni kwa mba atachanganya mambo wakati wakupanda atakuwa ana. [00:02:37] Speaker C: Hallelujah. [00:02:38] Speaker B: Wakati wakupanda atakuwa anatingeneza mazingira ya kuvuna na wakati wawuvunaji anaweza kawa anatingeneza mazingira ya kupanda. Kwa hiyo ni muhim sana kujua kuhuweza kuzisoma nyakati na magjira. Ili ujue nini na nini unashutakiwa kufanya kwa wakati upi. [00:02:58] Speaker C: Hallelujah. [00:02:59] Speaker B: Kwa hiyo kitabu chetu kuhuweza wakati ujiyawo. Kwa hiyo kama huna iti kitabu, kuna namba zikuwa hapo mtumishu wa Mungu. Fanya mawasiyano na hizo namba na watu wa Mungu, tutakudumia utaweza kupata kitabu chako. So, kitabu kina tuelezia kwa mbami. Mambo ya jayo ni simply means mambo ambayo yako mbele yetu kwa wakati huo. [00:03:21] Speaker C: Hallelujah. Hallelujah. [00:03:23] Speaker B: Sawa. Marifa, unayo kwa nayo kwa wakati fulani, concerning jambo fulani yana kusaidia kujua nini cha kufanya kwenye wakati huo na nini cha kuto kufanya kwenye wakati huo kwa hiyo kuweza wakati ujiao kama babo nimesema siyo lazima iwe miaka miwili siyo lazima iwe miaka mitatu siyo lazima iwe miaka kumi au ishirini kutokea sasa kuweza wakati ujiao inaweza kuwa dakikatano Lakika kumi, lakika ishirini, au nusu saa kutokea sasa. Chochote ambacho hakipo saizi lakini tunakitegemea au hatukitegemei. Do you know mtu wa mungu sio marazote mambo yanau tutokea ni mambo wa mbayo tunategemea kwa wakati wa. Some of the things ambazo zinatokea wakati hatutegemei, nandoja wana bibi yanasema hivi, mtu awe tayari wakati unaofa na wakati usiofa, manaki ni kuamba just equip yourself vizuri kabisa, equip yourself, yitengeneze mazingira ya kueza kumaster nyakati zote kwenye maisha yako, wakati unaofa na wakati usiofa, hallelujah. [00:04:44] Speaker C: Hallelujah. [00:04:45] Speaker B: Na mtu anawenzaje kuweza kumaster ya nyakati zinazo kuja ambazo. Hajui, let's say, mtu sijui mama dakika kumi inayofata kuminatano, masama wili nususa, au miaka miili mitatu inayo kuja kama nita kua sawa, au nifanyaje fanyaje ili niweze kujikuip vizuri kabisa kwa ajili ya ya wakati unakuja. [00:05:11] Speaker C: Hallelujah. [00:05:12] Speaker B: The only way, the only solution ambayo tunayo inatoka again, kuna fitabu ambapo tumesoma, osia sura ya ne, misali wa sita watu wangu wa naangamizwa kwa kukosa marifa. Na nimesema marifa means tarifa. Kwa hiyo notakia uwe na marifa, uwe na tarifa. Iliyo sahihi itakusaidia sana kwenye kueza kumaster vitu ambapo vinakuja hulivu viterajia na ambavyo kujia viterajia, hallelujah. Kwa hivyo unachutakiuwa kufanya meanwhile ni kujikusania maarifa as much as you can kwa kadri ya unavyo uenza kufanya, hallelujah. Lakini pia ujiweke wewe monyewe sasa kwenye nafasi, hallelujah. Mtu wa mungu by nature hatakiui kuwa Na shtukizi au kushtukizwa kwenye mambo ya nayo. Hallelujah, kumstukiza kwenye mambo ya nayo, mpata awi ya nayo mtokia kwenye maisha ke. Rumta Katifu anatakiwa aweze kumsaidia kwanamna yoyote ire kumfikishia tarifa ya kuamba moje mbili tatu is on the way, moje mbili tatu is about to happen. Na ndiyo semu ambao natamani leo tukae ya kumba tusiwe watu wa kustukizua kwenye vitu ambavyo vinaenda kutokia kwenye Kama we ni msumaji mzuri kabisa wa bibilia, hata kama siyo msumaji mzuri, hata kama siyo msumaji mzuri, hata kama siyo msumaji mzuri, hata kama siyo msumaji mzuri, hata kama. [00:06:49] Speaker D: Siyo msumaji mzuri, hata siyo msumaji mzuri. [00:06:49] Speaker B: Hata kama siyo msumaji mzuri, hata kama. [00:06:50] Speaker D: Siyo msumaji mzuri, hata Hallelujah. [00:06:51] Speaker C: Siyo msumaji mzuri, hata kama siyo msumaji. [00:06:51] Speaker B: Mzuri, hata kama siyo Kwa sababu msumaji huwezi kuweza mzuri, hata wakati kama siyo ujia ho, wakati yamba uhu ujui. Lazima kuna mna moje ama nyingine uwe msumaji kwenye nafasi ya kuweza wakati ujia ho, wakati unahujua wanaiso sfiye sana. Huwezi kusema unamaster au unakiweza kitu ambacho ukijui. Kwa hiyo obvious. Lazima ukaye kwenye nafasi yamba uroho yako inaweza kupick signals in the spirit muda ote. Hata kama sina wakika wa what exactly is happening, lakini naweza kuwa na clue kidogo ya kuamba kuna there is something that will eventually happen. Unajua zamani Rom Takatifu wakati ya na waudumia watu alikuwa nakuja na kuondoka kwa seasons ama, kwa situation ama, kwa jambu fulani. Yani Rom Takatifu ana kua na mission na mtu kwenye kuasaidia watu wake kwa hiyo ana kujia, ana fanya assignment yaki ya rioletu wa kufanya, alafu ana undoka. But these days, Rom Takatifu, yesu, anaishi ndani yetu. Sio tena kitu, chakujia na kuondoka, tayari tunacho. Na zamani, kwa sababu, Rom Takatifu hakua so muda wote kwa watu. Kwa hiyo, watu wazamani in order kuweza wakatu ujoo kuhu kulikuwa kuna vitu vingi sana. Na moja kati ya vitu kufikofi natumika, eitha ni notu, mtu aweze kuota. Kwa mba ni naona, baada ya miaka katha wakatha, kutakuwa kuna njaas. Kumoja, akaota Mfalme Ndoto, ambao hii likuwa inaindicate kwamba kutakuwa kuna uitaji mbeleni, lakini hakuwa na uakika sana mpaka hali potokia mtu wa Mungu, haka msaidia kutafsiri. Iyo ni mje moja wapo ambao tutaisungumza siku ya kesho. Ndoto, lakini hilikuwa inatumika zamani, yani siku hizi bibi ya hii nasimaa hani mpaka uongelesho kwa Ndoto, manake ya kwanza ujaelewa ya pilu ujaelewa basi ya ngalawu, ulazo singizi ndo uweze kuelewa. [00:08:57] Speaker C: Hallelujah. [00:08:58] Speaker B: Lakini njia nyingine ilikuwa inatumika njia ya kutuma wa pelelezi. Nataka tusome hapo leo na room takatifu wa tusaidie tuweze kujifunza kutokea hapo. Fungua pamoja na mimi kitabu cha Yoshua sura ya pili. [00:09:15] Speaker C: Hallelujah. [00:09:16] Speaker B: Hakikisha leo tunapuanza mfungo etu wa kwa rezima hii siku ya kuanza Unavyo vitabu viwiri vya msingi sana. Kitabu chakuanza chakuanacho akikisha unacho. Kitabu changuvu nyuma ya kufunga na kuomba. Kuna watu ngini hawajawai kufunga kabisa. Na kuna watu ngini wanashinda na njia halafu wanasema wamefunga kushinda nanjaa na kufunga ni vitu viwili tofauti. Kwanini? Kwa sababu kufunga kuna ambatana na vitu katha wa katha. Kufunga kuna do's, kufunga kuna don'ts. Kufunga manake you abstain kutoka kwenye food na drinks kwa mda flan for spiritual purposes. Now, umesha kubali kabisa kwa mba unakaa mbali ya na chakula na vinyoaji kwa mda flan. Hili kujenga roho yako. huko ndiyo kufunga lakini kuna amba tana na moja kwa mfano kufunga kuna amba tana na kusoma neno ili roo yako iweze kula kwa sababu neno ndiyo chakula cha roo yako kufunga so kuna amba tana na kusoma neno kufunga kuna amba tana na kuomba hallelujah Katika muda ote yambo utako umefunga, tafuta mwenye kwenye nafasi yako. Kulingana na latiba yako usika nafasi yawewe kusoma neno, lakini pia nafasi yawewe kuomba. Again kufunga kunaendana na Kwa kutuwa sadaka, kwa hiyo umefunga sawa, unasoma neno sawa, unaomba sawa, lakini pia lazima upate na fasi ya kutuwa sadaka. Kufunga kuna ambatana na kukusanyika na wenzio kwenye mainewe ya ibada. iliangalau mwili wako unakuwa mdhaifu mwili wako uweze kuwa boost up na unzio muweze kuomba kwa pamudia. Lagini pia kufunga kuna amba tana na kitu kinaitua matendo mema. Uwezu kaa umefunga, umetoka nyumba kuna nyumba nyingine kushuli mwili. Mchano nasama umefunga lakini usiku Na mambo mengi, kushulisha mwili, kuchangamisha mwili, uzinzi na vitu kama hivyo. Una kuwa umefanya kazi mbure. Una shinda siku nzima, una sema umefunga, lakini una vilinge, vya umbea, kutoka tarifa moja, kutoka same moja, kupeleka same nyingine. Unafunga, siku nzima lakini unasengenya, unafunga siku nzima, unachati, hours and hours, talking nonsense konyesimu, umesama wili matatu, yani unakua unayaribu swaumu, hallelujah. Kwa hiyo kufunga, kunaamba atena na vitu katha wa katha, kuna dose, na kuna dons. Kwa hiyo, kama unahiti kitabu mtu wa mungu, numbers hiko hapo, za sim, hakikisha unafanya mawasiriano, hata sasa hivi tuko hapa kabisa tayari kukodumia, make sure you have this book, nishilingi elofukomitu. Lakini katika wiki hizi mbili, tukatuna uzungumu za bari za kuweza wakati ujao. Kuwezi kuweza wakati ujao kama your inner man is weak. [00:12:26] Speaker C: Hallelujah. [00:12:27] Speaker B: Kuweza wakati ujao, kuna itaji mtu wako wandani, awe ya medja, awe ya meshiba, Awe ya nataarifa za kutosha, lakini nimesema osia sura 4, misali wa 6, bibia ya nasema hivyi, watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa. Tuka suma misali sura 4, misali wa 7 kwa mapato ya kuyote. Basi ujipatia ufahama, basi ujipatia maarifa. Lakini mtu wa mungu, maarifa manake nini? Maarifa manake ni tarifa. Lakini do you know kwenye tarifa? Kuna tarifa mbazo ni za kweli, na kuna tarifa mbazo ni za uongo. Kuna tarifa mbazo ni sahihi, lakini pia kuna tarifa mbazo siyo sahi. Nifanya aje basi ni inapupata tarifa. Au naju waje juwaji, tarifa hii ni sahi, au tarifa hii siyo sahi. Nalimaa nimesema, kabla ya kuenda kwenye hizi anointed materials kama books, fanya urafiku wa kudumi na neno la mungu. Yani yakikisha unalisoma neno, unalielewa, unalijua. Then your inner man, anakua so strong. Watu hawawezi kukudanganya, watu hawawezi kukutapeli, watu hawawezi kukupataarifa. Nyingine, do you know mtu ambaye hamezoea kumisikia Mungu, muanadama hawawezi kumdanganya? Hawezi kumidanganya kabisa. Mtu ambaye hanaijua sauti ya Mungu, hamemzoe ya Mungu kwa mana ya kumisikia kila wakati. Anapo isikia sauti siyo ya Mungu, hanaijua, bibi hanasema kondohu, kondohu, hanaijua sauti ya mchungajua. Kwanini wao natapeliwa? Kwa nini ue unadanganyo? Kwa nini mtu wanaamini kuna tarifa fulani huna? Kwa nini mtu wanaamini kuna tarifa fulani hui jui? Kwa nini mtu wanakujo anakuongelesha jambo mpaka anakutapeli? Inakuwaje mtu wanakujo kwenye maisha ako mpaka anakuingiza kwenye mbradi wa mamilioni unapupelekea kwenye kufilisika na kushindwa na umasikini? What is happening? Manake hui mtu kwa namna moja manyingine hawezi kutofautisha ni saa ngapi na ni wapi Nani kwa inagani? Sauti ya Mungu ipoje, sauti ya kongu miwonye ipoje, na sauti ya wanadamu nisangu ipoje. Ukizohea na kuhijua sana sauti ya Mungu kaweza ukai master, there is no way sauti ya nje ikakudanganya. Hata kama, Sometimes huna prove. Yakomba kwa hui mtu ni muungo. Hii tarifa noo nipa ni yaungo. Hii tarifa siya kweli. Something within you. Kuna kitu naita conviction. Conviction. Yani kuna namna tu dani yako kuna msukumo usiokuwa na maelezo shawisha kiminadama. Kwamba hii tarifa siyo. Fungua pa mwje na mimi Yoshua. Sura ya pili. Tuanze kusuma pali. [00:15:02] Speaker C: Hallelujah. [00:15:03] Speaker E: Yoshua mwana wanuni. Aka watuma Watu wawili kutoka shtimi kwa sili ili kupelileza, haka wambia, enende ni mkatazame nchi hii na iliko wakaenda waka fika nyumbani kwa kahaba moja jinalake ali ito lahabu wakalala huko. Mfaume wae Yeriko, hakaambiwa kusema, tazama, watu wa wili wana wae Israel wameingia humu reo siku. [00:15:51] Speaker B: Yoshua sura ya apili msali wa kwanza. Yoshua mwana wanuni ya kawatuma watu wawili kutoka shitimu kwa siri, hili kupeleleza. Haka wambia, enende ni mkatazame nchi hii ya Eriko. Wakaenda, wakafika nyumbani kwa kahaba mmoja, jinalake hali ituwa Rahabu wakalala huko. Kuyo nika sema, ito was an old style. Ito was an old style ya komba. Mtu akitaka kuingia kwenye zamani, ulikuwa kukitaka kuhipiga nchi au, kuhupiga mdji, ulikuwa kuhenditu kuhupiga mdji, lazima utume watu, lazima utume wapelelezi, waende wakapeleleze uo mdji upoje kwa mfano. Malangwa kuingilia uo mdji ya poje, yani Tunaingilia langogani, tunatokea langogani. Uo mji upoje, security system. Security system za mji huo zipoje. Mifumo ya ulinzi. Je kuna askari, je kuna mgambo, kuna jeshi ya polisi, nani kakaa wapi, nani analinda nini. ili wamrudishie feedback yule mtu anaitakiuwa kuwenda kupiga, ajuwe exactly anapiga wapi na anapiga same gani. [00:17:09] Speaker C: Hallelujah! Hallelujah! Hallelujah! [00:17:12] Speaker D: Hallelujah! [00:17:12] Speaker B: Kuhulikuwa ni system ya zamani, japokuwa hata saizi ni system wa mbao inatumika na baathi ya watu of course na mimi uwa ninaamini hivo sometimes ya komba Mutu hawezi tu kuingia kwenye maisha ako kama hakujui. Lazima haji ya kusome, lazima haku... Yani haku-study. Haku-study inakuwaje mutu anatapeli wa konfano. Mutu haba hametoka banki na kipotichake kinahira. Lazima kuna mutu hamefuatiria, anajua huyu ni bibi, haya ni mafao, mafao ya wa staff, ya hametoka mahali fulani, leo nitarengapi, hizi nitareza mshara. mshara, umeingia, yani na fitu kama hivyo. Lutu wawezi kukupiga kabla haja kusoma. Kwa hiyo, lazima usome na wewe magira na nyakati uli zonazo kwa wakati huo, na nyakati zinazo kuja ili ujue ya kupasayo kufanya. Kwa hiyo, wakatumwa wapelelezi kuenda kuhipeleleza nchi na wakafika nyumbani kwa kahaba. Na haka wapa watu, hali kua ni mkarimu, haka wapa ushirikiano mzuri, haka wapa ushirikiano, haka waleza vizuri, lakini pia haka wapa mashalti ya kwamba. Next time, mtakapa urudi kuhipiga Yeriko sasa, kwa sababu mimi ni miwa fava, kwa sababu mimi ni miwa saidiya, kwa sababu mimi ni miwa alikeza vitu ambavyo, hata si kutakia kufanya kwenye nchiyangu, kwa hiyo muangalie namna nanyie ya kunilipa mema, bwene sosifuye. haka waifathi wale watu wamungu kwenye daru. Kisoma hii story mpaka mwisho, haka waifathi kula juu. Hata mfalme alipokuja kuhuliza juu ya balisawo. Rahabu wakasema, hapana, haka bisamimi yao watu. Sijawaona, of course walikuja, lakini wametoka. Ivo, haka kikisha tupale mfalme, hanaondoka bila majibu shawishi. Ivo, unajua kilichotokea. Waliporudi wale watu kuipiga Yeriko. Rahabu kumba yalikuwa ameshaishi. wakati unakuja, wakati ulewa sasa. [00:19:15] Speaker C: Hallelujah. [00:19:17] Speaker B: Kwa sababu mbibia inasema watu ote wa mji ule. Waliupigwa, wakauliwa vibaya, isipokuwa, rahabu na nyumba yake wakaukoka. Na mimi na wewe sasa, tumejipangaje. Kwa nyakati, kwa majira, na changamoto, zinazo kujia. Hata kama siyo changamoto, kwa mema, na kwa mema mingi ambao ya kombeletu. Kuuweza wakati udiyawo ni ngumu na hayuezekani kuuweza wakati udiyawo. Kama huna tarifa sahihi nyuu ya mambo hayo ya wakati ujua wa bibi ya inasema hivyi Zaburi ya 32 misari wa 6 bibi ya inasema hivyi, hallelujah Zaburi ya 32 Mstari wa 6, bibi ya nasima hivyo. Kwa hiyo, kila mtu mtahuwa kuombe, wakati unapopatikana, hakika maji makuya furikapo, hata mfikia yeye. Mstari wa 7. Ndiwe sitarayangu, utaniifathi na mateso, utaniizungusha nyimbo za okomu. Mstari wa 8. Nita kufundisha na kukuonesha, njia utakayo yendea, nita kushauri, jichorangu likikutazama. Kuhile wakati naelezea mstari hivyo, nikasema hivyo, Soma biblia kama ilivo pangwa. Usisome biblia kama vitabu vingine vya imani. Usitoke kwa anzi ya nyuma, kuhenda mbele utachangani kio. Fuata kama ilivo e kwani sequencing series, inaanza konfano mstari wa sita, zambule sasnambili. Inasema hivi mtu mtaua, akuombe. Kuuweza wakati ujiao, hayiweze kani kama kuuombi Kwa nini? Kwa sababu kusuma mstari wasita, utakuta abaliza kuuomba Lakini ukisuma mstari wanane, hada sema hivyi, nitakufundisha Na kukuonesha, njia utakau yendea, nitakusha uri churanguli kutazama manayaki Kama ujiaomba kwenye mstari wasita, hawezi kukufundisha, hallelujah na kuweza wakati ujiao lazima uwe kwenye position ya kuna tarifa fulani unazo concerning muda huo unaukuja, buwanasifiwe. Kwa hiyo, tarifa hizo unazitawa wapi? Nani yalio yiona kesho? Nani yamekaa kesho? Kesho yetu yote ina mungwa lietangulia mbele. Kwa sababu yae ndiopeke yake, mirele iliopita, Milere ya sasa hivi na hile milere ya tarifa zote ambazo ni tarifa sahihi. Tarifa ambazo ni zakweri sahihi. Lazima tuzipate kwa room takatifo sasa. Nikasema wakati fulani wakati tunajifunza abaliza maombi kwenye muka na mpiti ya komba sometimes tunaomba ili tu kuboresha mausiano. Kwanini? From nowhere tu mtu hawezi kukusaidia vizuri kama huna mausiano nae Jamani, hata mimi, kuna watu mimi utu wa mungu, wana niomba msaada na ninawasaidia. Na kuna watu ambao, wana niomba msaada na siwasaidii. Iniategemea na mausiano yetu kabla ujiapata uitaji. [00:22:13] Speaker C: Hallelujah. Hallelujah. [00:22:15] Speaker B: Ningumu sana kumumba tu mtu mekutana nai siku yoyo au wewe kila wakati ujiayikuona watu kwenye maisha yako. Kila wakati yakiwa na shida, ndoona kutafuta. Mambo yake yakiwa sawa, mambo yake yakiwa memba, hakutafuta. Lakini kila wakati yakiwa na uitaji, do you know ata wewe? Ari ya kumsaidia mtu huyo, huwa hiko ndogu, au hiko chini. Tofauti na mtu ambaye mna mausiano, mna bond, huwa kuna vitu mna vifanyaga, kama kisweri kizuri. Kuna vitu huwa mna vifanya kwa pamoja, kuna vitu huwa mmezoea kufanya pamoja, kuna vitu huwa mna saidiyana kwa pamoja. Koi ki tokea siku, hui mtu kuweli kabisa anawitaji wajambu fulani. Inakua raisi kumsaidia kwa hiu mausiano ya mtu. na mungu, mausiano ya mtu na room takatifu. Ha'e takii kuwa seasonal. Several times iniwesema, this is not a program. Hii siyo program maalumu. Ha'e ndiyo maisha yetu ya kila siku. Hata tutakapu kuwa camera off, tutandelea kusuma vitabu, tutandelea kusuma biblia, na tutandelea kuomba. Kwa nini, tuna tengeneza mausiano na mungu. Kitengeneza mausiano na mungu, kuna tarifa anakupa. Nyuu ya wakati ujiao, kwa hiyo unakua equipped. Kuhu una kua huko sawa, huko sawa tu, huko sawa tu, unapitia storms, unapitia changamoto, kuna vitu aviendi sawa, lakini huko sawa tu, umesha zoea. Mungwa na nisaidiaga, mungwa na nisaidiaga. Pali hali nivusha, pali hali nivusha, pali hali nisaidia, pali nalimuita, haka niokoa, pali nalimuita, haka niokoa, na hilo kuhu hata katika hili, una kua tu sawa, una kua tu okay, hukijua kabisa, mungu hata kusaidia, hata kusaidia kwa sababu ya mausiano Mlio kuwanayo wewe na yee. [00:24:01] Speaker C: Hallelujah. [00:24:02] Speaker B: Kuyo kitabu hiki mtumishwa mungu wame tuandikia. Ili kiweze kutusaidia nyakati zinazo kujia. Kutusaidia kuweka akiba. Kishu tuendelea vizuri. Kuweka akiba. Kuuweza wakati ujiao, kuna kuweka wakati mgine kunyena fasi ya kuweka akiba juhu ya mambo ya mbele. Kama mbabo tumezoea, awo tunafundishwa, tunahambiana wakati mgine. Wana kuna UTT, malasuyu kuna nini, jifathiye buwana ilazako, kuna leo na kesho. Sasa, kuna vitu vingine apart from money, mbabo tunatakia tuvi, tuvi accumulate, tuvi weke, tuvi yifathi. Kama akiba za kutusaidia wakati unakudia ikiwemu maarifa. Moja wapokati ya vitu ambavu onatakia uenavyo kama akiba kwenye maisha ako ni maarifa. Kwa nini? Tena maarifa sahihi. Kwa nini? Kwa sababu maisha yetu ya mijia wapelelezi na unajuu wachangamoto ya wapelelezi huwa wanakudia na tarifa. [00:25:03] Speaker C: Hallelujah. [00:25:04] Speaker B: Na nimesema marifa manake ni tarifa lakini tarifa hii ni tarifa ilio sahihi kwenye ni kusume home study. [00:25:13] Speaker C: Hallelujah. [00:25:14] Speaker B: Tarifa ilio sahihi kwa sababu kuna mtu anaweza kakupa tarifa lakini ni tarifa ambayo siyo sahihi ika kupelekea Ika kupelekea kwenye kufanya maamuzi yambayo siyo sahi. Tumesema hapa madhara ya kuomba mda mrefu jui ya vitu ambavyo una wakikanavyo. Wrong prayers, wrong prayer points zina kupelekea kwenye kuto ojibiwa kabisa. Na usipo ojibiwa kabisa, unakua muombaji frustrated. Ukisha kuwa muombaji yambayo unamsongo uamawazo, Manake, baada ya muda kilogo, wewe hauta weza kabisa kupata matokeo unayotamani uyapate. Na usipo pata matokeo tu. Changa mtu ya kuomba, mtu wa mungu, kuomba ni kazi. Na maombi ya nafanya kazi, kama babo niyokua nikisema, lakini maombi ya lio sahihi. Maombia lio sahii, unatuwa kunyi maarifa lio sahii. Maarifa ni nini? Maarifa ni tarifa. Kwa hakikisha, kabla ujianza mchakatu wa kuomba, unatarifa ambazo ziko sahii. Tusoome kitabu cha hesabu sura ya kumi na tato. [00:26:28] Speaker C: Hallelujah. [00:26:29] Speaker B: Tarifa tulizo nazo, diyo zinatupa, tuseme maarifa, manake, Nitarifa hesabu sura ya kumi na tatu. Hesabu sura ya kumi na tatu. Marifa, mana yake nitarifa. Lakini tarifa peke haki haitoshi. Lazima tujuo kwa mbaje tuna tarifa sahihi yu ya jambo fulani au watu natarifa sahihi. Fungua pa muja na mimi hesabu sura ya 13. Mistari wa kwanza. Kisha buwana hakanena na Musa. Haka muambia. Tuma watu ili waende wakaipeleleze inchi ya kanani ni wapayo wana wa Israel. Wanataka kuenda kuene inchi ambayo Mungu wamewaaidia. Inchi ili ojia maziwa na asari. Lakini Mungu walemombia Musa, mm-mm, mm-mm. Usiende mali ambapo upajui. Usiende mahali ambapo upajui. Kila wakati unapotua mgu wako kwenda same. Hakikisha unaenda mahali ambapo unapajua. Mstari wapili. Tuma watu ili waende wakaipeleleze inchi ya kanani ni wapayo wana wa Israel katika kabila ya baba zao. Mtamtuma mtu mmoja. Kila mtu na awe mkuu katiao. Mstari watatu. Basimusa akawatuma kutoka nyika ya biaparani kama alivu wagizua na buwana. Wote walikua ni watu walio vichwa vyawana wa Israel, trust me. Wote walikua wako vizuri, wanaakiritimamu na ni vyongozi wa makabira. Ni wakatumu wa sasa kuenda kuhipeleleza nchi ambayo Wataleta tarifa ilio sahihi kwa watu. Ili watu wajue wanaenda kaa nani a wawendi. Mstari wakumi na saba. Musa aka wapeleka ili waipeleleze inchi ya kanani, tunasoma hesabu sura 13, mstari 17. Musa aka wapeleka ili waipeleleze inchi ya kanani. Aka waambia, pandeni sasa katika negebu mkapande mlimani, mstari 18. Mkaitazame inchi ni anamu na gani na watu wanao kandani yake kuamba ni hodari au zaifu, kuamba ni wachache au ni wengi. [00:28:52] Speaker C: Hallelujah. [00:28:53] Speaker B: Watu wa mungu wapa wanataka kupigia atuwa ya maendeleu njuu ya kesho yao. Wanataka kupigia atuwa ya maendeleu lakini hawa kutaka kupigia atuwa bila tarifa. Na mungu wa kawasaidia, kama ambia kiongozi wao. Tuma watu, waka ipeleleze inchi. [00:29:11] Speaker C: Hallelujah. [00:29:12] Speaker B: Mkaitazame inchi, msari uwa kuminanane, mkaitazame inchi ni yanamna gani? Na watu wanao kandani yake kwamba ni hodari au zaifu, kwamba ni wachache au wengi, misari wa kumina tisa. Na nchi wanao ikaa kwamba ni njema au mbaya, kwamba wanakaa katika matuo au katika ngome. Nayo nchi ni anamnagani? Kwamba nchi ya unono au njaa, kwamba inamsitu au sivyo. Iweni namoyo mkuu mkayalete matunda ya nchi. Basi wakati ule ulikuwa wakati wakuiva zabibu za kwanza. Basi, wakapanda. Wakaipeleleza nchi. Toka jangu alasini hata rehobu mpaka kuingia hamathi, mstari waishina ambili. Wakapanda katika negebu, wakafika Hebron na Ahimani na Sheshai na Talmai, wana wanaki walikuwako huko. Nao, Hebron ulijengwa miaka saba, mstari waishina sita. No, tusome kwanza mstari waishina tano. [00:30:23] Speaker C: Hallelujah. [00:30:25] Speaker B: Ninaluka kwa sababu kuna mali ninataka kufika. Mstari wa 25 wamesha tumwa sasa. Bibia nasema hivi. Wakarejea baada kuipeleleza nchi muisho wa siku arubaini. Upelelezi ulichukua siku arubaini. Hili tu kupata tarifa. Nimekuambia hapa. Mithali sura ya 4 mstari wa 7. Bibia nasema kuama pato ya kuyote jipatie maarifa. Manake pia upatikanaji wa tarifa. Nigarama, na ndoma ni mikombia usikubali, kupewa kitu chochote, chamsingi, na mtu au na watu, kitu cha kukusaidia kwenye maisha yako, bure. Uwaga havidumu, uwaga havifanyi kazi. Once a beggar is forever a beggar. Kwa kadi ya mbavu unasidi kuomba, naomba kuhudi insaidie, naomba nini insaidie, naomba kila siku utakua muombaji. Kuhuji italibu, hiyo muombaji wa kumomba Mungu. Yani utakua omba-omba. Nyumana kuna mtu mmoja utisema hivi. Usipa muomba Mungu, utakua omba-omba. Yani utawaomba watu wengine vitu mbafyo Mungu wako angereza kukupa. Mstari waishna tano wakarejea baada kuipeleleza nchi muisho wa siku wa robaimi. Yani kupeleleta tu peke yaki. Siku wa rubayinu, hallelujah. Wakaenda waka fika kwa Musa na Haruni Mstari 26 na kwa mkutano wate wawana wa Israel katika jangwa La Parani huko Kadeshi. Wakawaletea habari. Wau na mkutano wate waka waonesha matunda yanchi. Wamesha peleleza. Wana majibu sasa. Majibu haya, habari biblia yimeita. Habari ndiyo tarifa. Yani, wanatua feedback, wanatua mrejesho, hallelujah. Wanatua mrejesho, watarifa, walizonazo. Hili kuhiende ya kisho yako. Hili kuhuweza wakati ujia wa mtu wa mungu. Unaitaji kuwa na tarifa fulani. Hili kuomba maombia lio sahihi. Unaitaji kuwa na tarifa fulani. Ye, tarifa ulionai wa mtu wa mungu ni sahihi. ni ya kweli inakusaidia kupigia atuambele au inakusaidia kupigia atuakorudinyuma. Mstari waishirina na saba wakamuambia wakisema, tulifika nchi ile ulio tutuma. Hakika yake ni nchi yenyewingi wa maziwa na asari. Wameanza kutuwa tarifa. Na haya ndio matunda yake. Waka wanza kuwaunyesha matunda, mselo 28. Lakini, watu wanauka katika nchile ni hudari. Waka anza kujitisha wenyele. Na miji yao inamaboma. Na ayo ni makubwa sana. Na pamoja na hayo tuli waona wana waanaki huko. Amaleki pia anakaa katika nchi ya negebu na mhiti, na miebusi, na muamori. Wanakaa katika milima ya mkaanani. Wanapewa CV, wanapewa reporti ya mji ule waliotuma kupeleleza. Na hao makabila yote yanautajo hapa ni maaduizao. Lakini kubuka hapa jutu kidogo. Wamesimafi kukuli le nchi ni nzuri. Ina maziwa na asali. Lakini sasa, Mhivi, miewusi, muamale kipia wakoumo, manaki pali pali kuna tarifa mbili ambazo zinamkanganjiko kidogo. Kuna tarifa nzuri na tarifa mbaya hapo hapo. Tumetoka kuipeleleza nchi ya hadi. I say ina maziwa na asali. Lakini wana wanaki wapu waumo. wamaleki, wahiti, wahivi, maduiza wote wapo humo. Mstari wa 29, amaleki anakaka katika nchi ya negebu na mhiti na myebusi na muamori wanakaka katika milima na mkanani anakaka karibu na bahari kando ya ule ukingo wa Jordan. 29. 30. Karibu, Kalebu wakawatuliza watu mbele ya musu, akasema Na tupande mara tuitamalaki, maana tuaweza kushinda bila shaka, msali wa 13 moja. Bali wale watu waliopanda pamoja nae wakasema hatuezi kupanda tupigane na watu hawa, maana kwa maana wananguvu kuliko sisi. [00:34:29] Speaker C: Hallelujah! Hallelujah! [00:34:31] Speaker B: Watu wawo walitumo kwenya kuipeleleza nchi. Nchi yamba wataiendea kesho yao. Ani kwa namna moja, ndiyo walikua ona tengeneze wa namna ya kuiweza kesho ya wamana, hawakua na alternative. Lazima tu, your future one day will be your present. Lazima tu. Kesho yako ipo siku itakuwa harisi sana. Uwezi kuikimbia. [00:34:56] Speaker C: Hallelujah. [00:34:57] Speaker B: Uwezi kuikimbia. Lazima tu ujitengeneze mazingira. You should equip yourself to master chochote ambacho kitaendelea au kita tokea kesho. Lakini sasa, uwezi kuyendea kesho ambayo huna tarifa naayo, diyo mana unakuta kila kitu wewe you are surprised. Kila kitu weki nakukuta by surprise. Yani huna ata tarifa moja ambayo Rumta Katifu wamekuambia kesho tumesuma po kwenye zaburi. Utasikia sauti nyuma yako iki kuambia Njia ndiyo ii ifuate. Biashara unaa otamani kufanya kesho. Kazi unaa otamani kufanya kesho. Shulo unaa otamani kupeleka wa tutuwa ko kesho. Kitu choi choto unacho kifanya kwa njili yako, kwa njili ya nduguzako, kwa njili ya uduma, kwa njili ya watoto, kwa njili ya kesho. Are you sure tarifa iyo ni ya kweli? Are you sure ni sahihi? Kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, Kwenye kwa usifuate njia za mungu. Kwanini wao unatoka na mambo yako, unakona kumuweleza mtu mungine na unakuta bati nzuri, ye na ye pia, hawezi kuyahendu. Kwa sababu kama niyako ako na hame kushinda na umemombia mtu mungine, kwao lazima ujua ataye mnyewe, ya atamushinda pia atayamisha. Kwa hiyo, lazima ujiulizi, kitu unachokifanya leo, my future, my future. Yani kitu unachokifanya kiko mbali sana, will soon be a present. Je nitaipenda. Future yangu. Ndiye kifika sasa ndiyo leo. Kwa mambo ni nayo yafanya leo, ya nayo elekea kwenye kisho yangu. Kwa namna ya maandalizi nilio nayo ya kisho yangu. Ndiye I love my future. Kwanini wala future hii kumbali kamo nafofikiria. [00:36:55] Speaker C: Hallelujah. [00:36:56] Speaker B: So future pia inatulazimu tuwe na tarifa sahi. Mtu wa mungu wakati tunamalizia kipini chetu. Wapi wewe unapata tarifa sahi, njui ya kisho yako. Where do you get it? Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? [00:37:10] Speaker D: Nani ya nakuambia? [00:37:10] Speaker B: Nani ya nakuambia? [00:37:11] Speaker D: Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? [00:37:11] Speaker B: Nani Nani ya nakuambia? [00:37:11] Speaker D: Nani nakuambia? [00:37:11] Speaker B: Nani ya nakuambia? [00:37:12] Speaker D: Nani ya nakuambia? [00:37:12] Speaker B: Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? [00:37:12] Speaker D: Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? [00:37:13] Speaker B: Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? Nani ya nakuambia? Nani Tangamoto ya nakuambia? ya tarifa. Tarifa inatupelekia kwenye mahali panahitua hivi ku make Nani decision. ya nakuambia? [00:37:23] Speaker D: Nani ya nakuambia? [00:37:24] Speaker B: Hakuna Nani mtu anaye make decision ya nakuambia? kama hana tarifa fulani. Do you know? Do you know? Bibliye inasema hivi kwenye kitabuchi ya Esther, sura ya kwanza pali. Mfalme, N alimona Esther na anamjua mkiwake ni mzuri. Bibliye inasema hivi, akatuma makida saba, wakamuite Esther. Esta wakati natuwa lile jibula kwa mba siji mfalme hakusikia, bali mfalme aliambiwa na wale maakida wali Esta mesema hivyi haji kwa hiyo mfalme haka make decision kwa habari ya kusikia. Sema za ukweli, Esther hakumambia mfalu mausoni. Bwana mi sigi, mimi ni koku na wakenzangu kwenye bewa, tunapata. Naa, Esther, yani mfalu meha kusikia. Direct kutokia kwa Esther. Hila hali sikia kutoka kwa wale makida hali ya watuma. Watu wana ukupatia tarifa, juu ya kesho, juu ya ndoa, juu ya kazi, juu ya uduma, juu ya biyashara. Nyuhu ya kesho, are you sure wanakupa tarifa zahii? Kwa sababu watu wakatumwa kuipeleleza nchi. Watu hawa wakagawanika kwenye makundi mawili. Mmoja kasema, hapana, wale watu wananguvu kuliko sisi. Wana askari vikosi vikosi. Kwanza kuna wana wahanaki huko. Ni warefu kupitiliza. Kuna manefili huko. Kuna wamaleki. Taifa mungu walipendi kila siku. Yani anasema mimi na vita na wamaleki. Kizazi bada kizazi. Impaka leo. Yani kule kuna shida atuwezi. Lakini mtu muja karibu wakasimaa mna. Inawezi kana. Inawezi kana kabisa. Jamani, sawa. Wale wapo. Lakini pia asari na maziwa. Vipo. Kwaye uwe unamua. Kwene kuyendia future yako, unachukwa tarifa ya nani? Tarifa ya wale wengine, wapelelezi wengine, waliyo sema inchi na shindikana, some of us hata andoa hatuna, hata mpenzi hatuna, lakini mafundisho tulionayo, juu ya mume, juu ya mke, it's weird, hatuwezi kuyendia yu inchi ya hadi kabisa. Ndiyo mana hata tukipewa hatuwezi kumiliki. Do you know kupewa andoa na kumiliki ni vitu vili tofauti? Kupewa kazi na kuhimiliki ni vitu vile tofauti. Kupewa uduma na kuhimiliki ni vitu vile tofauti. Mungu wa mesha wapa wana wa Israeli unchi lio jaa maziwa na asali. Lakini ili kuhimiliki ili walazimu wao kupigiana. Kwa hili kuhimiliki kazi, kuhimiliki biyashara, kuhimiliki ndoa, kuhimiliki uduma, kuwezi kukimbia vita. Hila kupigiana vita pia inategemea na maarifa ulionayu. Bonus View. Maarifu hana kusaidia kujua aduhi unapiga au unapigi, aduhi unamsemesha au unamsemeshi, unamuangalia au unamuignore. This morning mtu wa mungu, kabla tuja ingea kwenye maumbi, ask yourself, unawasiwasi na future? Unawasiwasi na wakati unakuja? Or you are fine and okay? Are you contented enough? Ukosawa? Uko vizuri? Au kila wakati unamashaka? Hujui nini kita tokea kesho? Hujui, yani unaishi tu. Mungu wanajua. Mungu atasairi, hai, itakamu kuwa mbwana. Are you sure? Kitabu chamithali sura 13, ilanize, tutasuma kesho pale. Kuna watu, mungu anasema watu anawapenda, kuna vizazi kama vine pale. Mungu anavipenda vinavu fanya kazi. Na tunamkuta ndugu yetu pale chungu, hua anajiwekea akiba wakati wahari. Hana kiongozi, hana muume chungu. Hana mke, hana akida, hana kuhani, lakini future hake hiko so secured. Mtu wa mungu, marifa uliyona yo sahi kuhusu kazi. Do you know kuna mtu anakueleza mathara ya kuajiriwa? Mpaka unandika barua, unachakazi, unamini ukenda kujiajiri, vitu vita kua vizuri. For your surprise, how are you doing hapa? Kuna mtu na kuhelezea kusu biyashara, let's say biyashara za wenzetu wa network marketing. Ana kuheleza, anakuheleza, anakuheleza. Mpaka unachukua atuwa, unaenda kufanya. Tatizo la tarifa. Tatizo la tarifa lilio gumu. Yani changamoto kubwa kwenye tarifa. Nomani nimesema hivyi, watuangwa naangamizwa kwa kukosa maharifa. Maharifa kwa luga nye pesi sana ni tarifa, lakini tarifa imegawanyika sembiri. Tarifa ilio sai, na tarifa ambayo siyo sai. Unaiju waje sasa. Hii ni tarifa sahihi au hii tarifa siyo sahihi. Kwa mausiano yako na ro mtakatifu na Mungu ambaye umea jenga kwa mdamrefu. Mausiano yalio jenga wa skumbili tatu. Yanakitu ambacho kina, eni tunasema kuhuwezi kutesti lawyati. Kwa ushoga wamuaka mmoja au miaka miwiri. Mtu ambaye mimi ni mekuanaye for years, vitu ambaye vuhu ni mefanyanaye kwa miaka mingi, trust ya mbao tu mebuildi kwa mdamrefu ni tofauti. Na mtu ambaye hameibuka utu from nowhere, hakaonekana kama hana interest na mambo yangu, haka nisogelea karibu. Sawa toko tu na mausiano, lakini hakuna strong bond kama ambayo ni nayo na mtu wangu kwa mdamrefu. Na ndiyo maana koko Mungu wasiwe kama spare time. [00:42:30] Speaker C: Hallelujah. [00:42:31] Speaker B: Una mchukua tu, alafu una mtumia kwenye shida, alafu una muacha. Mbaka kesho tena, ukipata shida nyingine, unaenda una mchua. So God feels like kumbe mimi kwa hui umtu, it's like a spell, jay. Una tarifa sahihi juu ya kesho yako. Yeah. Can God visit you na kukwambia, don't do it. Zabure sasnabili msari uwanane, anasema nita kufundisha, nita kuelekeza. Njicholangu likikutazama, ana kufundisha. Kweri. Kuweli. Kuweli. Janamtu Bishwa Mungu wakafundisha pale kuna ibada anawake. Hakasema wale wote ambao ni masingomaza. Kinababa wamewakimbia. Mungu wamejitolia pale kwa hiyari kabisa kuwa baba. Wa watotoa wamanake. Mungu saa anawafundisha. Pia nasema watotoa kuwa atafundishwa nabwana. Jie, waku kwenye nafazi ya kusikia. Kwa sababu bia nasema evi nita kufundisha na kukuelekeza njia hile upasao kuyendia. Unafundishika. Una... Yani mtu aneza kakafundisha. Ukailewa, like, huya nai ni fundisha sasa ni Mungu. Ndiye Mungu wakikuambia no. Unaweza ukajua kapisa komba ini no Mungu hataki. Mungu wakikuambia yes. Are you sure? Are you sure? Kwamba ilo jambo, Mungu ana kusupporti. [00:43:42] Speaker C: Hallelujah. Hallelujah. [00:43:44] Speaker B: So, miuyo ye tuwa subuya leo, Mbibiye na sima hivi, anenaye kwa luga, hasemi na watu. Anazungumuza mambo ya ujazayo moe wake. Mbali penge Mbibiye na sima hivi, anenaye kwa luga, anaijenga nafsi yake. Anaijenga nafsi. Nafsi. Nafsi kwa sababu, monadamu anaroho, monadamu anamwiri, monadamu ananafsi. Lakini nafsi ndio diri la mjini kwa sababu, nafsi ndo inamawazo, nafsi ndo inautashi, nafsi ndo inaisia, na mpenda nani, nani simpendi, kwenye nafsi ndo kuna convictions, yani hile, you are just convicted, you are just convicted, you are just convicted, hulishayo kusuma history kwenye biblia, Paolo akawambia, wale watu I say, tusipande hii merikebu leo, in my heart I am just, Nina conviction tu, biblia kingeleza imetumia nina conviction pali. Niko tu convicted kuamba, safali ina shida, tutapata shida uko katikati. So, are you convicted enough, monimo, kuna conviction ya kutosha, inayokupa, go ahead, yes. Una yona green light. Do you see green light? So, the more mtu ana speaking tongues, zaidi sana mtu anavyo nena kwa luga, anavyo mjenga mtuwake uandani, divu anavotoengeneza a bond, ukiachia sadaka, ukiachia kusumaneno, divu anavotoengeneza a bond na Mungu, kwa hiyo in case of anything, Mungu anakombia no, don't, ye, huja wai kutaka wewe kuenda SEM, huja wewe kutaka kupanda chumbo French ya usafiri, huna sababu, huna sababu ya kushikika, lakini moyo ni mua ko safari inakataa. Hujataka kutaka kuunua property, you have money, you have everything, but something within you is slowly saying no. We hujetamani, we hujayikuona mtu, anakupenda, anakuchekea, anachanga kuwa rafiki yako, kila kuna mishini yako yuko wapo kwenye vyatu, kila mali wanakusugi, lakini kila ukimuangalia, Sijuu, yani kwa njie, huyu dada, huyu kaka haja nikosia chuchote, lakini dani yangu kuna kitu kina kataa hukumjina na saa mimi dami yangu na hule mtu wafipatani. Hawana sababu yote. Hawa jawa hii kugumbana, lakini kuna kitu tunakita conviction, msukumo wandani, usiweweza kuzuhilika unawu kupa red light au green light juu ya jambo fulani. Tunaupata kupitia mausiano ya karibu sana na mungu na rumi takatifu kwenye kutuusaidia ku make decision. Life is all about decisions. Saizu umeamuka, unanisikiliza, umeamua kuamuka. Ungeweza kulala. Kuna mtu mkingine ungeweza saisi ya melala. Na nikuambia zaidi. Kuna mtu mkingine haja lala, lakini anachati somewhere. Na kuna mtu mkingine saisi, anapika mandazi ya kufutulia. Tsunajua tumefunga. Na tutafungua samoja usiko. Lakini yameanza kupika saisi. Hanisikilizi. Kwanini? Maisha ni mamuzi. Lakini mamuzi sisi hatuamui. Sisi mamuzi tunamliwa. Tunamliwa nanini? Tunamliwa natarifa. Tunazo zipokea. Juu ya jambu fulani tarifa. Una tarifa sahihi. Kamchungaji nitaju waje sasa. Kama hii shule neta kumpeleka mtoto wangu ni shule sawa au siyo sawa. Kanisa na loenda ni sawa au siyo sawa. Tumishu wa mungu na mskia ni sawa au siyo sawa. Mwingine na masutoli tuya barabarani. Haini kanisani. Na asama jema, tu nakutana siku hizi ya rubaini. Tunakutana millennium tower pale saa kuminanusu. Pitia na maumbi pale. Haa, mii pasatoni si muele wagi. Kwa hani ue kusikia ule jemafu? Uliwai kusikia. Nani alikuambia? Ndiya uli mkuta kwa haufri masona, ila anaoneka na kama, anaoneka na aji. So kuna mtu wana make mawazo yetu yanatepelekea mahali pa kumeke decisions. Na do you know, direct or indirect, kila bada ya sekunde moja, sekunde mbili, tuna make decision. Na mbaya zahidi, eji yambayo tuko macho, unaniangalia mimi saizi, ni eji yambayo tuna watoto pia, wadogu wadogu. Kama anaweza kuomba mtuto wako, anweza kuombea chakula tu. Kwa hiyo wewe kama baba, wewe kama mama, upo kwenye mahali pa kudecide. Almost everything kinachokusuwewe, mumeo, mkeo, duguzako, na watuto. Kwa umbele yako, kuna bufela decisions. Kila baada ya dakikakumi, nionge na nani it's a decision, nisionge na nani it's a decision, nitoye la hapa it's a decision, nistoye la hapa it's a decision, nitapeliwe it's a decision, nistapeliwe it's a decision. Everything is about deciding. Kila kitu. Lakini tisa mtu wa mungu, mtua anatokia wapi kudiside? Anatokia kwenye mawazo. Mawazo anatokia wapi? Yanatokia kwenye tarifa. Na hizi tarifa sasa lazima ziwe sahi inasisi hatuwezi jambololote bila msaada waro mtakatifu. Nandiyo mana ni muimu kawa naichi kitabu mtu wa mungu. Yote anau kuelezea Sijia atuwa kichuani. Ya po humundani. Unaweza nje kupata mawazo hali yo sahi. Unaweza nje kupata tarifa hali yo sahi. Kesho tutanzia po. Unaweza nje kutake action. Unaishi kesho kama leo. Ili kesho ikifika, ndoa yako inaamani. Famili yako inaamani. Moe wako inaamani. Kitabu hii Tumishu wa Mungu wa meandika kila kitu. Huu mundani ndoo hamelezia kwamba mawazo ya natuka naji na tarifa. Unapataje tarifa sahii. Tumesoma apa konya hesabu sura ya kumina tatu. Udawetu humeenda atya tuombe. Tunesoma hesabu sura ya kumina tatu. Nila kasome kwa wakati wako, utagundua kwamba wakatuwa tarifa zainambili tofauti. Moja ilikuwa tarifa wrong, nyingine ilikuwa tarifa sahihi. Watu wa Mungu Alia mua kuchagua kuuogopa, hakaugopa. Baba katika jina la Yesu Christo, muwana wa mungu alihai. Tuna kushkuru kwa ajili ya subu ya leo ambayo umetupa na fase ya kutifunga. [00:49:19] Speaker F: Leo rako, juu ya kuiweza wakashigawa. [00:49:22] Speaker B: Pasipo wewe, sisi ya tuwezi kukahalena lote. [00:49:26] Speaker F: Pasipo msaada wako, sisi ya tuwezi kituchote. Nilazima utusaidie. [00:49:32] Speaker B: Ni lazima utasaidia. [00:49:32] Speaker F: Kwa hivyo utusisi, saada na mbuwe, kwa hivyo ni lazima utasaidia. Bila wewe, atuwezi baba, tutameku ondusishu, tutameku ondusishu. Kwa hivyo utusisi, saada na mbuwe, kwa hivyo ni lazima utasaidia. Bila hivyo utusisi, saada na mbuwe, kwa ni lazima utasaidia. Bila hivyo utusisi, saada na mbuwe, kwa hivyo ni lazima utasaidia. Bila hivyo utusisi, saada na mbuwe, kwa hivyo ni lazima utasaidia. Bila hivyo utusisi, saada na mbuwe, kwa hivyo ni lazima Kusu mdoa zetu, utasaidia. Bila hivyo utusisi, kusu maisha saada yetu Kusu kila kitu, ni razima tuwele taarifa saihi Baba kati kajanga la isu, utusaihie, mgubu za kufokus Mgubu ya kufokus, kwenye taarifa saihi Shatarabande, korabashata, latorabasata, riakotarabasata Lantarabaseke, korabashanda, matorabasata Heredo shataramanda, otarabasata Utu. [00:50:39] Speaker B: Saidiye. [00:50:39] Speaker F: Buwana, utu saidiye buwana, mana pasipo wewe, sisi atuwezi kitu tuchote, sisi atuwezi diambola yote. Utu saidiye, utu saidiye, kati-kati ya tarifa nyingi, zinazoe merea kuhumungumu. Nioyo yetu. [00:50:53] Speaker B: Nioyo yetu mbwana. [00:50:55] Speaker F: Niweze kujua. Nini chakufanya. Nini chakutofanya. Katika jena waisu. Tarifa ipi tuendena yo. Tarifa ipi tusiendena yo. Mwishe mtu wetu walani. Roma takatiku. Anayishi ndani yetu. Haa wishe. Haa mwishe mtu wetu walani. Hawezi kukusikia. Ukisema tukusikia. Kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo, kwa. [00:51:18] Speaker D: Hivyo. [00:51:34] Speaker F: Kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa Ili. [00:52:23] Speaker B: Kuweza wakati ujawa Kwaza inaweze kana kabisa. Kuhishi maishi ambayo haya na surprise. Kani danganya. Ni metaperiwa. Nyama ni mulangu kahu mua. Sijuinini, inaweze kana kabisa. Kila wakati, room takatifu kueza kukupa tarifa ya nini na nini kidainderea ila tengeneza mausiano. mausiano ya kudumu. Usiwe na mausiano ya msimu. Kama tu watu wa kawahida, tukiwa na mausiano nao ambayo hayako stable, wana tusaidia hila kwa machari. Sembuse mungu. Kwa lazima tuengeneze mazingine ambayo. Every time, zabule, thesnabule, msali, wanani, itakua raisi kutimia. Bibi ya nasema nita kufundisha, nita kuelekeza, Jicho langu likuwa lina kutazama na unajua jicho la mungu likisha kutazama, you are safe. Yote ambao na azungumza siya toi kichuani. Tumishu wa mungu wa meandika umpia. Ni fanya je sasa niweze kupata tarifa sahii. Ni fanya je. Ni nafanya je ili kumisikia mungu. Ni na wakikagani katika hili alio niambia ni mungu wa misema. Baba katika jina la yesu. Jina lako baba libarikiuwe. Asante kwa kuwa we ni mungu muema na ni mungu mzuri. Ni na kushukuru babayangu kwa jili andugu zangu hawa. Ambawa metenga mudawawa wa thamani na kunisikiliza. Kati kajina laesu, ukawasaidia kumuwisha mtu wawo wanani, ukawapesha ukunahami ya kulisoma neno lako na kukuelewa, na kuisikiliza sauti yako na kuielewa. Kati kajina laesu. utakapa waambia nenda, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa waambia wasiende, utakapa Ni taa ya miguu, waamb ukawasaidia eneno lako, watakaru kuwaona lisoma mara kwa mara, likamulike maria bapo, miguu yao inapita, na wakawe salama. Katika jina ala yesu. Namba unazo ziona hapo, utumishwa wa mungu kwenye screen, ni namba unazo weza kutumia, kutuwa sadaka. Usi mkope mungu, mtu wa mungu. Tunajua, songesha mpaka sasa wanaelikia kupelika maakamani, wamechuka. Lakini mtu wa mungu, usikubali kudayua na songesha, kudayua na mungu. Singe nyumbani mwabwana, mikono mitupu, sio vizuri kwa iyo. Hakikisha unatoa sadaka yako kwa session zuri ambao tumekuwa nao siku ya leo, pata na fasisoma, kitabu cha hesabu, sura ya 13. Utaonapali kuna tarifa mbaya, kuna tarifa nzuri. Sura ya kuminane, watu wakamua kuenda na tarifa ya kuatia moyo, tarifa ya kuaincourage, wakawendea mji, wakapiga, taifa bada ya taifa, wakakonka. Bibi yanasema hivi, Mungu akiwa upande wetu, ni nani alieju yetu, lakini akikisha jambo moja tu, akikisha Mungu yuko upande wako. Nema Mungu yukutunze, yukusaidie, shalom. [00:55:31] Speaker A: Asante kukua pamoja na mimi kuanzia muanzo mpaka mwisho ibadahe. Usiache kuhomba, usiache kumjafta mungu. Na kama umebarikiwa na manenohaya, unaweza kutuwa sadaka yako kupitia nambazifatazo 0659 68 75 69 au 0753 08 57 89. [00:55:53] Speaker B: Shalom.

Other Episodes

Episode

September 06, 2025 00:59:47
Episode Cover

Silaha za Vita Vyetu I

Our spiritual weapons are divinely given tools that help us resist the enemy's challenges. They include faith, prayer, the Word of God, and righteousness,...

Listen

Episode

September 01, 2025 01:40:01
Episode Cover

Ulinzi wa Ki - Mungu

God’s protection is a shield over our lives, guarding us from harm, danger, and unseen attacks. It brings peace in the midst of uncertainty,...

Listen

Episode

September 05, 2025 01:44:49
Episode Cover

How to Respond to Affliction

The right response is to choose trust over fear, prayer over complaint, and worship over despair, turning trials into testimonies and pain into purpose....

Listen