Maombi ni daraja la roho kuunganishwa na Mungu, si desturi ya kawaida bali ushirika wa upendo na imani.
Kupitia maombi roho hupata nguvu, faraja na mwongozo wa Mungu.Ni mahali pa kuzungumza na kusikiliza mapenzi ya Mungu kwa maisha yetu.Ndipo mbingu na dunia huunganishwa kwa kusudi moja.
Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give
Mfungo na maombi vinaenda sambamba , kazi ya mfungo ni kukusongeza karibu na ulimwengu wa roho, Ukifunga make sure unaomba, unasoma neno, na unamaanisha.Ili...
Kusikiliza neno la Mungu hufungua moyo kwa mwongozo na hekima yake.Hupatia mwanga katika maamuzi na faraja wakati wa changamoto.Hujenga imani na kumsaidia mtu kuishi...
Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give