More Than a Conqueror III

December 19, 2025 01:41:54
More Than a Conqueror III
Pastor Neema Tony Osborn
More Than a Conqueror III

Dec 19 2025 | 01:41:54

/

Show Notes

View Full Transcript

Episode Transcript

[00:00:00] Shalom mpendo wa wabwana, this is Mama PT na leo na kukaribisha tena kule isikeleza neno la mungu. Biblia inasema maneno yangu ni roho na uzima. Neno hili inawezwa kufufua tumaini na kuleta fara jamwayoni. Wenda upo kwenye dhoruba au mawingu mazito, lakini kuna neno la mungu li lo hai ilinaloeza kutuliza mawimbi na kukuletea amani leo. Karibu. [00:00:24] Tunajipunza habari za imani. Na leo ni siku yetu ya tatu kama niko sawa. Tukiwa tunazungumu za habari za imani. [00:00:33] Maandiko ya powazi, indoku sangu. Maandiko ya powazi, iwe ya masuala ya imani. Hakuna hata mmoja wetu sisi. Ambaye, hamewai kumuendea Mungu, haka muona uso kwa uso. Kama ambavyo, let's say, mimi naiyona peni yangu hii, au mimi naiyona simi yangu hii. Kwa abari ya vitu vinavyo onikana, wala hatuitaji imani. Kwa sababu tayari vipo. [00:01:00] Lakini kwa abari ya mambo ya siyonikana, tunaitaji imani. [00:01:04] Kwa hiyo hatuwezi kukimbia, hatuwezi kukaa mbali na imanize, tunajua kwa nini? Kwa sababu future yetu, mambo yetu ya mbele, bado haya po wazi. Bado haya jaonikana, bado siyo mambo ya kushikiga. Kwa hiyo, tunaitaji imani. Kwa hiyo, tunaitaji imani. Kwa hiyo, tunaitaji tunaitaji imani. [00:01:20] Kwa hiyo, tunaitaji imani. Kwa hiyo, tunaitaji imani. Kwa hiyo, tunaitaji imani. Kwa hiyo, tunaitaji imani. Kwa hiyo, Waebrani tunaitaji imani. Kwa hiyo, ya sura ya kumina tunaitaji imani. Kwa hiyo, moja mstari wa sita Fungua pamoja na mimi hapo nyumbani Mahali popote ambapo unanitazama kutoke tunaitaj hapo Na nduguzangu ambao unanisikiliza, nduguzangu waredioni Mahali popote pala unapo unisikiliza Kwa sasa tuko vizuri sana nda reslam pamoja na dodoma Mahali popote ambapo mungu wamekupa neema ya kunisikiliza kwa wakati huu Fungua pamoja na mimi kitabucha Waebrani ya sura ya kumina moja mstari wa sita Leo jitahidi sana sana kuwa makini, kuwa active. Koja kabla tuja soma ni kwa mbiye jambu onduguzangu. Mungu anaungea. Mungu anaungea. Hallelujah. [00:02:09] Mungu anatuongelesha, lakini nasisi pia tuunamuongelesha mungu. [00:02:15] Yani nandio mana inakua ni mawasiliano. Mambo ya kuamba upande mmoja unahongea, upande mwingine unahongei, atuwezi kusema awe ni mawasiliano. [00:02:24] Ili awe mawasiliano ya Rio Kamili, upande mmoja unahongea, halafu unateke pose, upande mwingine nao unahongea, theni unakutana katikati minatengeneza kitu. Chamaelewano. Kwa hiyo lazima tukubaliani. Sisi tunaungea na mungu, lakini pia mungu anaungea na sisi. Hallelujah. [00:02:43] Lakini ndugu zangu, unajua kama mungu anaungea na sisi sana. Kuliko sisi tunaungea na mungu. [00:02:49] Kuna watu wambao tangia jana tulivyo kuwa nakipindi kitia muka na mamapiti Siku nzima ya leo hata sala baba etu wa wajahomba Mpaka saati saini ngini Lakini hapa katikati hapa, mungu wame waongelesha vitu vingi sana Usile icho, usivaye ivo, usiandika yo message, usijibu ivo Huyo nyamaza, hiko fanya ivo, usiende kwene bankio Nende hapa, usiende kwa wakala, fanya ivi, usile, umefunga, aukula Na vitu katha wa katha Mungu anatuongelesha sisi sana kuliko sisi tunapokuwa mwongelesha mungu. [00:03:23] Hallelujah. [00:03:24] Sisi tunapokuwa tunaomba. Baba katika jina la eso nisaidie moja mbili tatu. Tunakuwa tunaungea na mungu. Lakini mungu anaungea na sisi kupitia neno laki. Kwa hiyo lazima uweke uweke zaji wa kutosha sana kwenye usomaji wa neno. [00:03:41] Kusoma neno, kuna sababu nyingi sana. Za kwanini usome neno? Nyingi sana, nyingi sana. [00:03:49] Kwa mfano, mungu hatendi jambolo lote, isipokuwa miliona neno laki kwako, hallelujah. Iyo ni sababu ya kwanza. Lakini sababu ya pili, ya msingi sana ya kwanini usome neno la mungu, ni kwa sababu neno la mungu ni mungu wanaongea na wewe. Hallelujah. [00:04:17] Lakini pasipo imani hayuwezekani kumpendeza. [00:04:36] Nani kumpendeza mungu? Kwa maana mtu amuendeai mungu, lazima amini ya kwamba yeye yupo na kwamba huwapa thawabu wale wa mtaftao. [00:04:48] Waebrani ya kuminamoja mistari wa kwanza basi. Imani ni kuwa na wakika na mambo ya taraji wayo na ni bayana ya mambo ya sio onekana maana kwa hiyo waze wetu wali shuhudiwa Kwa hiyo imani ni nini, mambo tunayongea kalibia siku mbili zilizo pita Imani ni kuwa na wakika, yani una kuwa na wakika, ya kwamba mimi ni mzima Mimi ni tajiri, mimi ni na afyanjema, mimi ni na mafanikio, hata kama siyaoni kwa sasa, hata kama sipunayo kwa sasa, bado mimi hivu vitu ni navyo. Yani imani ni kuwa na uwakika kwanza. [00:05:33] Kumi kumina saba warumi anatusaidia. [00:05:37] Nambapo leo ni moona ni anze straight hapo ili tusaidia tufike maali flani hithi pakuelewa. Huu wakika huu wa mambo ya imani hupati popote. [00:05:49] Siyo kitu automatic. [00:05:51] Ndugu zangu, imani siyo automatic. [00:05:55] Kazi ya imani ni kusukuma, kusukuma mountains, kusukuma mirima pembeni. [00:06:01] Kazi ya imani, tulisoma jana wafeso 613 na 14 pali. [00:06:07] Imani ni kama ngao ya kujikinga. Vidi ya mishare inayorushwa. [00:06:13] Kwa hiyo, imani inakazi. [00:06:16] Imani siyo automatic. [00:06:19] Imani inakuja kutokia kwenye maali flani hivi warumi kumi kumina saba. [00:06:27] Walumi kumi kumina saba anasima hivi basi imani chanzo chake ni kusikia wao Kwa hivyo vipi kama mtu hana masikio ilo sasa inakua siyo swala letu vipi kama mtu haja sikia ilo pia inakua siyo swala letu na ndiyo mana nimesema hivi mwanzo ni mungu Anaungea sana na sisi. Kuliko hata sisi tunavyo ungea na ye na diyo mana wezo akua kuyaskiliza mambo ya ya ya mungu. Unatakiuwa ue giu sana. Hata kama kwa sasa huko chini. [00:07:04] Jitengeneze njia. Zitakazo kusababisha usikie. Weze. ili uweze kumisikia, hallelujah. Jitengeneze njia, wewe mwenyeo, jitahidi pambana. Haya yotu na wazumumza hapa ni vyakula vya mtu wandani. Kwa hiyo, chakula hata kama ujisikikula, lazima ule ili uweze kua sawa, ili uweze kukua, uweze kusuma hivi, uwe mtoto hataki kula. Kwa hiyo, tusimilishe, akiwa hataki kula, usipomilisha, katadumaa Kwa hiyo, hili mtu wako wa nani ya Sidumae, lazima umilishe hata kama hajisiki kula. Imani inakuja kukusikia na Mungu wanaongea na sisi mara nyingi sana. Ila solidi inakuja hivi, vipi kama usiki. [00:07:54] Siku moja, Mungu wakaongea na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... na... Na mtuto wako huyu, neenda ukwa mtuwe Sadaka Kwa sababu ya tendo hilo, na mengine mengi ya riofanya Abraham, haka endelea kuwa baba waimani Kumskiliza mungu, au kumskia mungu, then uka take action ya kufanya licho kuambia Unaesabiwa kama mtu waimani Haka mchukua mtuto wake, haka pandanai mrimani Mtuto wanamauliza na mambia babangu, mpona kama tuna kila kitu? [00:08:36] Hii, Sadaka hiko wapi? [00:08:38] Baba na mwambia, usiwe na wasiwasi. Usiwe na wasiwasi kabisa. Mbwana mwenyo hata jitualia Sadaka. Hemu kuja kunda tufike kule. Waka anza kupanda ule mlima. Walipo karibu ya kawambia vijana wake wengine. Nembu ni Subilini hapa. Mambu ya kutua Sadaka ni personal. Ni singe penda kunda na mtu. Haka wacha vija kazi wake mahali. Haka panda na mtuto wake. Walipo fika kule. Haka mlaza mtoto kabisa. hakaanza talatibu za kumchinja wakati anakaribia kuwanza kumchinja ule mtoto maniko ya nasema hivi mungu wakamambi Abraham tulia apopo usimchinja ule mtoto then angalia umbali kidogo unaona pale kuna mwana kondo upale kamchukue yule ndiyo natakiu wachinjwe badala ya mtoto wako Abraham wakasikia hakaenda hakamchukua yule kondo mtoto wakawasalama suwale mbalo unajiuliza kila siku vipi kama asinge sikia Vipi kama Abraham wasingesikia mara ya pili? [00:09:37] Vipi kama angesikia hile ya kwanza tu? Ya kwamba mchukua mtoto hako isaka, nenda kamtoe. [00:09:43] Kwa hiyo huwezi kusema hivi, nilisha sikia djana, nilisha omba djana, nilisha toa sadaka djana, nendo nilisha soma djana. Hii ni package ya kila siku fresh. [00:09:56] Mambo haya tunafanya kila siku. Nduguzangu, mana ikashushua djanguani? [00:10:03] Mungu wa kutaka viporu. Haka wambia wana wa Israel. Mana hizi ni nazo zishusha. Una mka alfajiri. Kama satisa. Kama hivi tulipia wamuka. [00:10:12] Una ichukua hile mana Unatembea, kwanza ilikuwa highway kui mlangoni, mbali kido kutoka kwenye nyumba ya mtu. [00:10:20] Unatembea, unachukua, unarudi nyumba nikuwa kwa unaitengeneza, inakua chakula, inakua mkati ndo unakula. Na anasema ifitengeneza portion ya kula kwa siku moja tu. [00:10:33] Kulikuwa hakuna kiporo, chamana, soma biblia yako Kulikuwa hamuna kiporo na mungu waliwambia kabisa yoyote yambai Atachukua kuzidi uwezo watumbola ke a uwezo wa familia kula na kumaliza kwa siku kita mchachi ya ndani Kama ilivyo kawahida ya wanadamu, lazima watesti Kwa kuna ndugu zetu walikua epo pali, wakasema hamuna minapendaga viporo Hakataka katena kutengiza paka viporo vyamana Halipo usema halalia mke saa nane na nusu Akiri kakuta mzigo umechacha. Manakeni ni manakeni ino la Mungu na maelekezo yake ya nakuja fresh kila siku. [00:11:14] Kila siku, ya nakuja fresh. Una shanga, kuna vita unataka kuingia, unamuliza mungu, jie niende. Mungu anakombia nienda, kapigana. Yau afiristi yao, unapige kabisa, unaenda. Bada siku moja, kuna vita nyingine. Ukienda kwa experience ya jie na utashanga. Ziko vita, eh, watu walikona pigenda kwene biblia. Wanauliza kila siku, kila siku, anauliza niende. [00:11:39] Niende, Dawudi, anamuliza mungu, niende. [00:11:42] Lakini unashanga kuona ni jana ya ketu, kuna vita alimuuliza mungu, mungu wakamambia nenda utawapige, haina shida kabisa, kaaenda kuli ya kawapige. Alipo kutana na vita nyingine kesho yaki, anauliza ten. [00:11:56] Kwa hivyo huwezi kusema hivi, nilisoma neno jana, niliamini jana, nilitua sadaka jana, hiyo ni package ya jana. Hilienda na shida zake, hilienda na changamoto zake, hilienda na mapito yake. Ukiamuka asubuhi, hinaitaji mana nyingine ambayo ni fresh kabisa, siyo hile ya jana, na ndiyo mana mamboaya sisi. Tunafanya kila siku. Hata kama siku kiyona amuka na mapiti satisa. Hakuna hatupu watu jadya. Haimanishi na wewe uko usisali. Haimanishi wewe uko nyumbani usiombe. Haimanishi saa unasima haa bola leo hawapo. Nyingi Instagram, nyingi TikTok. No. [00:12:35] Hallelujah. [00:12:36] Kwayo ndugu zangu imagine kama mungu anamuambia Ibrahim, ya kwamba mtue mtuto wako sadaka na mfukisha mpaka fali. Then Abraham hamefunga antena, hakafunga neno, kama likuwa nasoma, hakafunga kila kitu, kasema, Mungu wa mesha niambia, ni mtue mtuto wangu. Thipi Mungu wa napumuongelesha teno? [00:12:59] Halafu mungu wana mwambevi uyo mtoto usimtoe. Pembeni yako kama pale kuna mwana kondopale. Ka mchukua yule ndo umchinje. Maandiku wana sema Abraham wakasikia. Kwanini? Kwa sababu imani inakuja kwa kusikia. [00:13:14] Swali nutoka nikuuliza imapema kabisa. Unasikia? [00:13:19] Masikyo yako ya rooni ya nasikia, mungu akiongea na wewe unasikia, je unaweza kudizen, unaweza kupambanua luga, unaweza kusikia, jambo, ukasema hivi, hili ni mungu wame niambia. [00:13:36] Hii ni nafsi yangu imeniambia. Hiki ni kiererechangu binafsi. Huu ni ushauri wa mtu. Mtu wanapo kushauri jambo. Ye, roho yako, nafsi yako, mtu wako andani, anawo wezo wakuchudia, wakusema, mm-mm, mama amenishauri jambo fulani, baba amenishauri jambo fulani, lakini mbona andani yangu? Ruhu mtakatifu wananiongelesha kitu kiingine kabisa. [00:14:01] Ndiyo mana mungu halipa mwambia Abraham, mtoe mtoto hako Isaka, haku mwaga hata mamamdiengo Ni mamba gani utakai mwambia eti mke wangu we? Sijuu wewe na mtuwa kwa po nyumbani uwa munasalimia naajia, uwa munazia ato katikati Madeni, ushayika luku. Sijuu kama alimusalimia shalom, au vipi alafu amwambie Mungu ameniambia Tumchukwe mtoto wetu isaka, tumpeleke mpaka mlimani, tukamchinje. Sinyui kama kuna mama angelewa. [00:14:51] Tunazia pali mdugu zangu. Imani is very personal. [00:14:56] Kama unandika. Imani ni jambo binafsi sana. Hali amba tanishu na mume, hali amba tanishu na muke, hali amba tanishu na watoto, hali amba tanishu na mchungaji, hali amba tanishu na mama mchungaji, hali amba tanishu na shosti, hali amba tanishu na BFF. Imani is very personal. Faith is very personal. Jambo ilo ilo mungu anaweza aka mkataza mtu mgini, jambo ilo ilo mungu anaweza aka mkubalia mtu mgini. Ndiyo mana kwenye biblia ii utashangaa. [00:15:27] Kuna mtu alikuwa na wezo wakulala na makahaba kakaito Samsoni na akimaliza kulala nakahaba yule, akienda kufanya kazi ya Mungu, kazi inaenda. Ila siyo potion ya kila mtu. Wewe ukijaribu wabariyo, utashangaa, he mambu, kizi ya vilusi nye melezi. [00:15:46] Sijuivya nini, nisigependa kutaja ugonjwa kumbele za watu, lakini utashangaa bada mda kidogo, utaumwa. [00:15:53] Jambo lile lile ambalo mtua naweza haka ungea. Sisi tuka sema ni uongo. Hapa me danganya. Mungwa na mchukua yule mtu, anasema hivi haku danganya. Hapa litumia hekima. Hapa litumia imani. Kwa hiyo na mchukua huyu, nina muweka kwenye wanafunzi, waliyo graduate kwenye darasa la watu wa imani. [00:16:16] Unawaza, mimi ni kiongea uongo kidogo tu, na kutuwa na mambo magumu na sutuwa, na sutuwa, lakini kuna mungine na fanya jambo lile lile na yuko salamatu. [00:16:27] Mambo ya kuiga na igana kwenye mambo ya Mungu, ya na tuingiza kwenye mashimo. [00:16:34] Yanatuingiza kwenye changamoto, imani is very personal. Kila mtu kwenye Biblia yikuwa wakati wako soma, kitabucha Webrania sura 10 moje, inaelezia pali majia bali wa imani. Watu waliofanya vitu kwenye Biblia, wakau move, wakau shift moyo kwa Mungu. Mungu wakau angalia kwa tofauti, wakasima hawa ni watu wa imani. Wote wameandikuwa pali. Utagundua kila mtu Mungu wali msemesha, tofauti, tofauti. Kwa ina yake, kwa style yake, kwa luga yake, kwa wezo wake wakuelewa. Isipokuwa tule mtu aliobei na imani inakuja kwa kusikia warumi kumi, kumi na saba. [00:17:14] Imani chanzo chake ni kusikia. Nikaweka pose yapo. Nikauliza ndugu zangu unasikia. [00:17:24] Unasikia masikio yako ya roni. Si zungumzi? Haya. Haya ya nasikia bali nyingi sana. Haya. Haya ya nasikia bali nyingi sana. Na zungumzi ya masikio yako ya mtu wandani. Mtu waku wandani ya nasikia. [00:17:39] Anasikia. Hakisha sikia. Anaelewa. [00:17:44] Hakisha maliza kuelewa. Anawezo wa kupambanua. [00:17:48] Luga za mungu ni ngumu sana. Mtu waku wandani. Anasikia mungu wakiongea. Ndugu zangu. [00:17:55] Watu ni kuhuliza usiku, unasikia mungu wakikwambia jambo fulani? [00:17:59] Let's say unakazi mbili mbele yako. [00:18:02] Unataka kufanya jambo hili na jambo hili. [00:18:06] Hukunani mungu wakikuongelesha. Yakomba usi apply hii kazi hii. Apply hii yapa. Au, atcha kazi. [00:18:14] Ndiyajiri mwenyewe. Au, choka kwenye iyo uduma, kafanya uduma yako. Unamsikia mungu wakiongena wewe. [00:18:21] Kama unamsikia correctly. [00:18:24] Kama unawezo wakumsikia vizuri kabisa, basi wote tunaingia kwenye lile darasa la wali amboni graduates unakuta kwenye waebraniya kuminamoja. [00:18:34] Tuko pale, tumekaa pale. Mimi, Dadarabu, Gidioni, Samueli, Henoko, Abram, tuko hote pale. [00:18:43] Haya. [00:18:44] Lakini tukapata msaada wali ambao hatuwezi kusikia. Msaada tunautua wapi? [00:18:50] Maandiko yanasima hivi warumi kumikumina sababasi, Imani chanzo chake ni kusikia na kusikia uja kwa neno la kristo Kwa hiyo tumesha pata msaada Kama swalilangu ni loo huliza mara ya kwanza Mungwa kiongea unamskia Kama humsiki, probably mtu lajiuliza mwenu wake. Sasa mama, mimi mungu wakiongea, sisiki, au sinyui kama uyu ni mungu au sio mungu. Sinyui kama ni mawazo yangu au hofuzangu. Sometimes neza nika request boda boda. [00:19:28] Then nikawa nina... Ndaniyangu, kuna zongo ananjia mbili. [00:19:34] Ni pande au nisipande. [00:19:37] Nilipokuwa na kuji hapa. Nipewa, nipetumia wa meseji moja. [00:19:41] Na ndugu yangu mmoja. Ndugu yangu wakaribu sana. Haka nyembe, mama, kaka angu yuko mwui hapa. Haka sima, okay, sawa. Kabi ni mpige simu. Ya, salama, salama. Ulendele aje fresh. [00:19:53] Uko mwui unafanya. Haka sima, kaka angu. [00:19:55] Halikuwa gorofani, hamepanda gorofa ya kwanza, gorofa ya pili, halikuwa anafunga kitu hivi, then batimbaaya, hakadondoka. [00:20:06] hamevunjika, vunjika vitu vingi sana kwenye muri wa Kituko Moya. True story, hani kiwa njiani na kuja hapa kwenye mkana mapitia. Lakini mama naumba utusaidie kama kuna mtu uto unafamia na nana yapa Moya, tutusugeze, tumeambiwa kutokana na fallen ya operation inabidu ya fanyu operation wiki jayo lakini kwa maumivu anayosikia kwa nawe umuona. Ukisema wiki jayo, sijuu kama atafika. Ni kanza kuwaza mnyewe, mtu wa nani? Nisaidie Kwa hiyo imagine mtu anapanda ngazi Anapanda ngazi ya kwanza Anajua kapisa mimi naelekea second floor Anapanda ngazi ya pili Anajua kapisa pando ni mifika Theni anayegemia ukuta mbuo unashida Anahanza kufunga ta Mpaka anatereza anadondoka Huku nani alikuwa anasikia je? [00:20:55] Je kulikuwa kimia kabisa Hakua anasikia chochote Mano ako nduguzangu mbuo asiki chochote Ani roboti Asiki chochote Yali asikia kitu labda asijibiwe message. Yani kama, okey, wanginu nasimama machali hame nicheza. Machali hanamcheza mayi wake yuko hapi. Hapu ni uwe hanamcheza. Kini mitu mingine vya msingi haya. So, najiuliza Anapanda flow ya kwanza, flow ya pili, anaweka stuli, anahanza kufunga sujui kitu gani ya pota. Mtu wake wandani ya likua anasema aje? So hapa ni Najibu suwali kwa mfano, what if mamamchungaji, mimi sisikii au sijuii kama nasikia au sisikii. Dawa tumekusha ipata, nasema hivi imani. [00:21:39] Basi imani chanzo chake ni kusikia Na kusikia hujia kwa Neno la Cristo Pigea mstali biblia yako hapa Neno la Cristo Do you read Neno la Mungu? Nduguzangu Neno la Mungu unasoma imani ni kuwa na wakika na mambo ulio yaona na mambo ulio ya sikia kwenye Neno la Mungu Bas Definition is simple. [00:22:27] Chanzo chake ni kusikia Kumbe imani siwa automatic Iri kudevelop imani siwa automatic Imani katika Christo Mimi nazungumzia wa Christo Izo mamboza kotha miti shamba sijuo urisikia wapila Mimi nazungumzia baliza wa Christo Walokole, watawua, halleluja Halleluja Anasema imani, chanzo chake, ni kusikia Na kusikia hujia kwa neno la Christo Wale ambao hatu siki Wale ambao mioyo yetu inasikia mala haisiki. Au tunasikia lakini we cannot disend. Yani hatuwezi kuwa na ule ujiasiri wakusema nichukue atuwaipi sasa niajiri ue au nijiajiri. Kati kati yapo. Nifranyeje nikiwa nasikia hivyo. Nenu la Kristu. Basi imani chenzo chake. [00:23:18] Ni kusikia na kusikia kuna kuja kwa neno la Cristo. Hii inatupa definition yetu sisi wenyewe. Kwa ngu mimi na wewe nasema hivi imani ni kuwa na wakika na mambo ambayo umeasoma au umeasikia kwenye neno la Mungu. 2 verse. [00:23:38] Two bars. [00:23:40] Usinambia imani nikuwa na wakika na mambo ilo ya ona Instagram. Kula ni vitu vingine. Instagram, TikTok, Facebook, mitandao yote ya kijamii. Kule hakuna imani. Iri weze kuhitua imani. Ika mirike kwamba ina imani. Mahali uliposikia. Umesikia wapi. [00:23:58] Uliposikia apo. Mahali uliposikia. Pananguvu sana kuliko umesikia nini. [00:24:04] Hallelujah. Tuanzii hapo. [00:24:08] Mahali uliko patia tarifa. [00:24:11] Tuendele kutoke hapa. Mahali ulipo patia tarifa. [00:24:16] Pananguvu sana kuliko tarifa hii. [00:24:22] Ni ya kweli au ya uongo, ni yomana siku modia mungu waka inda kuatembelea watoto waki Mwanzo sura ya tatu, haka inda haka watembelea, kabla haja watembelea Nyoka hali inda kuatembelea, haka kutena na hawa pali, waka zungumuza mambo mawili matatu Ika tokea mambo ya kula pali na mambo ya kula haya, ya meenza kusumbua mda, hakala lile tunda Bada yakula lile tunda, bada ya muda kidogo, maandiko ya nasema hivi Adam na Eva wote wakajiona wapo uchi Hawajafaa kitu chochote, sawa sawa na neno ambalo shetani ya liwambia Halleluja, halleluja, sawa sawa na maandiko ya komba Siku mtakapokula, siku mtakapokula Sawa, mungu hakaja. [00:25:20] Halivyo kuja pali, hakauna mpona siwauni. Hakanza kuhita. Adam, uko hape? Hakasema, aa, buwana mungu. Tumejificha. Mimi na mke wangu, Eva, tumejificha. Kwa nini? Tumejificha kwa sababu tuko uchi. [00:25:37] Ilikuwa ni kweli. [00:25:39] Ila nani harie waambia ndoe ilikuwa na shida. Mungu hakasa, mm-mm-mm-mm-mm. Nye? [00:25:46] Nye, nye, nye. Kwanza habali ya kuogopa kwa sabu maandiko ya nasima hivi. Wakamjibo kasinga buwana, Mungu, since tumejificha. Tumejificha kukua. Tumeingiwa na hofu. Tumeogopa. Hina lugo ya kanza kumisumbawa Mungu. Hii lugo ya kuogopa. Hapa Eden. Malia mpapo mimi nipo. Wanaugopaje malia mpapo mimi nipo. Then wakapiga atu. Wakasima hivi. Tumejificha kukua. Tuko uchi ya kambia. [00:26:10] Nani alie wambia? Nani? Nani alie wambia hizi ya bali zakomba nye mpouch? Nani? Kwa hiyo, when it comes kwenye mambo ya Mungu, nani ame kuambia? Ina msingi sana, ina uzito sana kuliko ame kuambia nini. [00:26:27] Hata kama, hey, hallelujah! [00:26:29] Hata kama alicho kuambia ni chakweri. Yeah. [00:26:33] Alie kuambia ni nani? [00:26:36] Shetani ni baba wa uongo Kwa hiyo, ukiambiwa baba, usifikiri kumba ni mwana ume, au kijana wa kiume, au akaza wa atoto, au kishambiwa baba, baba manake sos, manake muanzo, manake originality Yani kwa hiyo, nani ya kitu kinaitua uongo, kuna shetani mwenye kwa hiyo, kila atakacha kuambia shetani, nicha uongo Tarifa ulionayo, source of your faith. Tarifa uliono inangupu kuliko kile kitu chenyewe chanani, mani uja kwa kusikia, lakini kukusikia kuna kuja kwa neno la kristo. Hayo ono ya sikia, ndugu yangu, yanakutia hofu. Umea sikia wapi? [00:27:39] Nani kakuambie? [00:27:42] Hayo ndiyo ya naifanya imani na pata shida Kwa hiyo, kwa wali ambao nduguzangu wanasima hivi mimi sijui Mimi na shundo kutofautisha Sautii ni ya Mungu au ya Shetani Read the Bible Nipande bajaji au nipande boda boda Read the Bible Niyajiriwe au nijiyajiri Read the Bible Mbele yangu kuna wadada katha wa katha Mungu wa Mungu Nimchagwe huyu au nimchagwe huyu Nani yapa niondoke na imu wote Wana tofautia na ufupi tu, lakini kuna mmoja ufupi hapa hapa, lakini wote kazi, wanaonekana wanaweza kudeki kushe vevo, kukalbisha wageni, kunipa madi ya kunyo, kupiga magoti, wote mitiani yote yambo unapewa. [00:28:24] Kabla interviews ando wa huko. [00:28:27] Zote mmeshinda, wewe na mpinza ni waku, wana mpa mpa wawili. Okay, tutulie kwanza. Tutulie na mambo ya imani. Nime mwambia buwana na tutulie kwenye imani. So, imani inachanzo. [00:28:39] Imani siwa automatic. [00:28:41] Imani inachanzo. Ndimekuwa ni kisema sikurizi mbili zote. Imani inachanzo. Imani inachanzo. Imani siwa automatic. Imani ni kama shule. Unakuenda, unajifunza. Ndiyo mana tumewekewa wenzetu kwenye weblani ya sura 10 na 1. Tumewekewa wenzetu ambao katika hao tuaweza kujifunza. Kwani ya lifanyajefanyaje? Kwani alifanya jefanya je uweti? Akawa ni moja kati ya watu wenye imani? [00:29:11] Hallelujah! [00:29:13] Kwani alifanya jefanya je? Rahabu alifanya je? Rahabu alifanya je? Waebrani ya kumina moja ya thirathinina moja? [00:29:22] Alifanyaje, imani inakuja kukusikia Lakini kukusikia, siyo kusikia tarifa ya bari Siyo kusikia mambo ya kunyi social medias, no? Imani chanzo chake ni kusikia moja Lakini huku kusikia, kuna kuja tu kwa neno la cristo Ndugu yangu, hilo neno la cristo unalo Biblia unasoma au unasomewa Waeblania kuminamoja mistali wa 30 na moja Anasema hivi? [00:29:52] Kwa imani rahabu, ndugu yetu yu ambaye tuna msoma tangia juzi Yoshua sura apili Kwa imani rahabu, yule kahaba Biblia hayo ni shida kumuelezea kwa mba likuwa kahaba Ila ni kahaba mwenye imani Na shawishika kwa maelezo haya ambayo ni miafundisha apa Na shawishika ni kahaba anaisoma nenu Sijawai kuhonu. Anasima kwa imani rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na hao waliwasi kwa kuwa aliwakalibisha wale wapelelezi kwa amani. [00:30:38] Eh! [00:30:41] Wow! [00:30:43] Wow! Kwa hiyo rahabu, Kuna tarifa alikuwanayo Kwa kuwa imani siyo automatic, imani siyo dahania, imani siyo vitu vya kusikia tu viko hewani, no Imani ni kitu tangible unaheza ukakishika, ukakiona ndiyo Manajiana nimezungumza nika sema imani inaena na vitu viwiri, imani inakuwacha ukiwa kwenye athari, imani inakuwacha na usemi muingine kabisa, lakini pia imani inakuwacha ukiwa na matendo mengine kabisa Maniko na tuambia wazi, imani bila matendo imekufa Kwa hiyo imani ni kitu walisi kinaweza kuwa high, lakini pia kinaweza kufa Anasema ete kwa kitendo, kitendo, kiangalia kitendo, chaku wakaribisha wapelelezi kwa amani, kika hitu wa imani, mtu wakaandikuwa Lakini kwanini hali wakaribisha? [00:31:42] Mbona uyu ni Kahaba? [00:31:43] Kahaba manake anahost watu wengi sana Anahosti wateja wengi sana, hallelujah Anahosti watu wengi sana na waudumia hapo kwa shuliza keza u Kahaba Mbona hawa, yani mini kime mfanya rahabu, hakauna hawa siyo watu wakulala nai? [00:32:03] Yeshua Surah 2, tumalizie pali Kitabu chayoshua sura ya pili tuanzie mistari wakumi leo Kwa sababu tumekua tukisoma mistari hii yote Bas, tuanzia mstari watisa. [00:32:23] Lakini kwa wale ambao, probably ndiyo marayo ya kwanza kabu sandugu zangu, finaongeha bariza imani. [00:32:28] Ambazo, tumezianza lo ni siku yetu ya tatu. Imani, chanzo chake ni kusikia. Na kusikia, juu ya imani, hii ambao na izungumza hapa, tunasikia kutoka kwenye nene ula mungu tu. Mini sina sosio yote. Usinambia, babangwa aliniambia. Mamangwa aliniambia. Rafikiangwa aliniambia. Kama haijandiku wa kwenye nene ula mungu, usiniambia. Hallelujah. Imani chenzo chake. Ni kusikia. Lakini pia imani inafundishwa. Unafundishwa shule. Ni kama unapofundishwa shule kusoma. Jana nika sistiza nika sema nduguzangu peleka watoto shule. [00:33:03] Acha ubahiri wa kusema nita wafundisha nyumbani. Peleka watoto shule. Ili walau waweze vitu viwiritu kusoma na kuandika. [00:33:14] Ili siku ya mwisho, siku ya hukumu, siku ya mwisho, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya hukumu, siku ya Kutoka, kumbukumbu latolati, hesabu, mambo ya walawi. Bass. [00:33:45] Imagine. [00:33:46] Imagine, duguzangu. Wenzetu wazamani walikuwa na vitabu vitanotu. Mwanzo, kutoka, hesabu, kumbukumbu latolati, mambo ya walawi. Bass. [00:33:57] Kutokea Yoshua kuenda mbele, yote walikua wana yafanya na kuyafanya na kufanikiwa na kufanikiwa in reference Kutoka kuna vitabu vitano tu, mimi na we mpaka sasa tunafitabu 66 Mpaka wagalatia, wakorinto wakwanza, wakorinto wapili, wathitalunike wakwanza, yamani, wathitalunike wapili, wafeso, wafilipi Haya, kuna wangine tukaonekana ni maslo, tukaandikia waraka wakuanza wa Johana, Johana akaruna tujaeliwa. Akaandika waraka wapili, akauna maslo lena. Akautuandikia mpaka waraka watatu. [00:34:40] Tuguzangu, tuwache kutia haibu. Tusome neno. Kila kitu unachokitafuta. Ni amini mimi. Kila kitu unachokitafuta kwene maisha ko, kipo kwenye neno la mungu. Ni uja tulia tukusoma. Ni vile tu kila wakati unaraaka. Kila wakati unakimbizana na vitu via nje. Au, umetengenezea, koma, umetengenezea wa mentality ya kupapatika na kuangaika na vitu via nje. Jambu ilikitokea, utafuti solution from within. Unaitafuta solution outside, ndiyo mana kila wakati unakua disappointed. [00:35:13] Huku njia akuna njia zozote za kudumu. Unapo pitia changamoto, yoyote. Yoyote kwa mana yoyote. [00:35:22] Tulia kwanza, then baada ya kutulia. [00:35:25] Na kutopaniki, tafuta majibu ya changamoto. Ndani yako, siyo nje. Huku ndani huku. Rumta Katifu, unaniambiage. [00:35:36] Naona ninakrisis kwenye mausiano yangu. [00:35:39] Kabla ujasima hivi, nafikiri nishone wigi jipya. Nafikiri hili wigi langu hili haja lipenda. [00:35:45] Nafikiri ninyoe kama mamapiti. Nafikiri nipungue kidogo. Au, hui unavomuona muangai kaji, hui unapenda uanene. Ngoja nikatafuta ya supplements. Nile ni umuke hivi, mtu flani hivi. Au, au unibadilishe mavazi. Au unianze kupa madela. Nafikiri madela ni ati. Au unipate kanyeramumu. Kabla ujianza kutafuta njia za njie. [00:36:08] Za kusofu changamoto unazopitia kwenye ndo wa kwenye mausiano. Tafuta njia kutoka nani. Halleluja. Halleluja. Cheki na mtu wa nani. Muuliza nduku yangu. Tunapitia changamoto wapa nyumbani. Tufanyaje. Una changamoto kwenye biyashara. Kwenye kazi. Kaba udianza. Nafikiri nini mitafuta sui nani. Anitangazie kiki duka langu. Si uni mtafute nani influenza huko mgini? Ajilai kama kajifunika hama shuka, ndo niuze. Au ajilai kama hamevaa hizi nguo za nani, ndo niuze. Kabla sijanza kutafuta TV, na radio, na social medias, nikawa mbunifu, kwenye kubuni matangazo. Nduguzangu watu anabuni matangazo, ya kuweza kutangaza products zao za biyashara. Mpaka wanajithalirisha. Yani mpaka saa unakuwa kujui lengo hapa. Unauza product ya unajiuza we mnyeu. [00:37:00] Hile yote hile ni kupapatika, ni kuangaika, ni kuamini kwenye maneno ya nje enye ushawishi. Ya kumba ni kifanya comedy, ni kichikecha chikecha hivi, ni kinyithalilisha hivi, ni kivuampaka nguo hivi, labda, labda nitauza. [00:37:17] Kila unapopitia changamoto yoyote, search within. Huku ndani hukukuwa ni kuna semaje. Ndiyomali tunamuona dada yetu Esther. Tulisha soma, miyezi mingi liopita. Hakapitia changamoto kama ilivyo kawaida ya wanadamu hote. Nimewambia mara nyingi sana. Ndiyo mana jana wakati tunasoma wafeso 613, tukambiwa imani kazi yake ni kama ngao. Ngao ni kuzima mishale ya hulu muovu. Yani mishale inapukuja, unaizima na na imani. Manake nini? Manake mishale itakuji. [00:37:50] Manake mishale itakuja. Useme no, mimi nimesha improve, nimesha kuwa ni mtu wa imani, so mishale itakuja no. Kwanza kazi ya imani ni kuizima mishale. Kwa hiyo, the more ambavu tunazungumza habaliza imani, tegemea mishale. [00:38:08] Itakupunguzia disappointments. Ndiyo mana wakati mgini mtuo nasimaa hivi. Haa, yani mama wakati unafundishia somo la kufunga. Nikapitia changamoto hii. Yani zahidi sana ya navo isikiliza mka na mama piti. Sometimes ndodohona mambo ya nakua magumi. Eee. Kwa sababu ukiwa na boxi kubwa limejia dawa. Manake ni. Manake weni mgonju. [00:38:29] Dawa zanin. Tunafundishia na hizi zote. Tunazita kwa ujumla sila zavita vietu. Unaweza aje kuwa na sila kama unavita? [00:38:39] Hallelujah. Unaweza je kutengeneza sila kama una vita. Ukiona mimi nimesimama hapa. Nanawa, nanawa silazangu. Ujue vita. Ujue vita. Mimi nilikuwa sijulikana na mtu yote. Mipaka nilipuambia ndugu zangu, amuka na mamapiti. [00:38:55] Saatisa tuombe. Ndiyo kila mtu wakauna eti kumbegesi, inaweza ikageuka ni jambu la kuzungu mziwa. [00:39:03] Mimi ushuhuda wagesi nimeutoa 4 times Kwa mtu amba na nisikiliza mimi vizuri Unafuatiria mafundisho ote ambao nimewai kusema Nimewai kusumama mimi mathabauni, nimepua microphone na piti au hapa Kwa jumla nezo zikumbuka mimi Nimezungumuza habari za ushuhuda wagesi 4 times Hakuna haria kuwa anaona, wala kujua, wala kunisikiliza Mpaka siku nimesimama apa, nika sima siraza vitavietu Noiseless victory, ushindu usiokua wakawaida Waja wakaniambia sawa. Kila unaponoha sila manakevita ikonjiani. [00:39:38] Kwa hiyo tunapozungumzisha na mambuwa ya imani Usiasikiliza tu kama mtu fulani vipoteza munda No, yasikiliza kwa makini Baada siku mbili ndugu yangu utahitaji imani Baada siku tatu, baada ya wiki utahitaji imani Yako mambu ya nakaa beyond logics, beyond reasoning, beyond common senses Yanahitaji imani tu Kuna magonjwa ndugu zangu, utawugua au utawuguliwa Ukimuangalia yule mugonjwa unasema buwana yesu ni ponyetu. Au buwana yesu mponyetu hui umtu. Imani. Kwa hiyo kila tukio tunazungumzia, chakula, chochote, chia mtu wandani hapa. Kaa stand by. [00:40:19] Kaa stand by. Ukina mimi nazungumzia hivi, silaza vitavetu. Silaza vitavetu. Mana ingawa, tunaenenda katika mwili, lakini silaza vita vietu, zinawezo katika mungu, hata kuangusha ngome. Ukiniona nime shika silaza vita vietu. Kwa luga nyingine nakuambia, vita is on the way. Inakukaribia sana. Mlango wangu na mlango wako. Ndiyo mana tunanoa silazetu. Kila mfungo lio ufanya, siyobure. [00:40:44] Kwa sababu, wakati muingithe, tunasongwa na mambo mengi, hata mungwa kiwa na tupigania vitazetu, hatujui. Lakini tungekua calm enough, tungegundua, mifungwa yame tusaidia wengi sana hapa. [00:41:02] Especially cases za ajali, amazing so many. [00:41:08] Lai tungu kwa tunafuatiria tu maisha etu. Mama Pitilo wamefunisha nini? Then iangalia wiki yako. Utagundua. One week, two weeks kutokea hapa. You will encounter something. Kitakacho kuhitaji uwe na imani tu. Uwe na imani tu. Na imani siyo automatic nguya ngu imani. Unaikuta kwenye neno. Umesoma neno. [00:41:28] Uwe unapata muda wa kusoma neno. Hii siyo show off. [00:41:32] Hii siyo swala la kusema, laba, aaa, siyo tuu chakula cha mtu wa nani pikea keno. Unapo soma neno la mungu, unatengeneza imani. Jana ni kawambia hivi utapitia changamoto, hii takuitaji uwe unaneno. Ndugu yangu, dada yangu, kaka yangu, ulia mka saisi. Ika tokea unachangamoto yote hapo nyumbani. [00:41:52] Unaandiko lolote. [00:41:55] Let's say mtoto wanaumwa, merala usiku vizuli, kapali wana mate, mate ya mikosea njia. Saa ingine mate uwa ya nakosea. Ya meingia kwenye mfumu wa hewa, mtoto wana kuhua. [00:42:07] Bila kutulia, unandiko la kutuliza iyo thoruba. [00:42:11] Asubuhi, miamka tu vizuli na maiwako, uka muambia hivyi. [00:42:15] Bwana? Kila siku nakuambia. [00:42:17] Dawa ya mswaki. [00:42:19] Usibinye hapo juhu. Binya kuanzia chini, panda juhu. [00:42:27] Kila siku inamuliza jambo ilo ilo. Hailewi, anabinya hapo, anabinya. Ukimaliza kujisaidia, flashi. [00:42:35] Huyo ndiyo, waunafikiri kesezi za wanaandoha nini? [00:42:38] Ni hizo hizo. [00:42:40] Hakishafungua hile Colgate, anaacha. [00:42:44] Mfunika wa huku, Kolgeti huku. [00:42:46] Ana marisa kujisaidia, ana undoka. Wewe kazi yako, ndo kila siku kubonyeza. Na umekuwa kituwa seminal. Uki marisa kusafisha maungo. Unyeza hapa, anakombia sawa, nimekuelewa. Habonyizi. Inapo toki wa mtu kisiku wa subuhi, sasa kachoka kukuvumilia. [00:43:01] Nimekuambia, hada ya msuha kifunga, fungua, funga wewe, kwani nini? [00:43:06] Unalo neno la kutuliza dhoruba. [00:43:11] Haa wendu guzangu kisikia achangamoto za wanandoba, suno unafikitu kila wakati, wamekutua, siju wapi, haa achangamoto za wanandoba zinachekesha. Kavua viatu, au wamevaa viatu, ulipodeki. Na we umechilo kujifunza kudeki manja ya kaa uki kwa haraka. [00:43:27] Ukamui, tambala vizuri, mikono imeregea hivi kama unamatatezo ya zanimu Kwa hiyo, hame kanyaga na zile buti zaki pale Semina inaanza, minarekiwa, unakanyaga, hey, hachwa! Hizo ndiyo changamoto za unafetu kwa sababu hauna andoa Kwa hiyo, unahimagine, hata kwa meza wa tuto sita nje Ndiyo changamoto, amna! [00:43:47] Ndiyo hizo ndogo-ndogo, dawa ya msoa kiminya Kutokea chini, kweta juuya na minya hapa juto Kwa hina, unekana kama imeisha Kume bado hipo Anahandika matumizi mengine Colgate. Mbuna hipo? Awa kifungua, mfuniku wa huku, huku. Wanagumbana, unapo ziona zoruba kwenye mausi ya noyaku, unahandika wata moja. Moja tu! [00:44:11] Huo ndo umuimu wa kusoma neno Buwana sfiwe sana Imani huja kwa kusikia Lakini husiki kitu chochote Neno la Cristo Unalo Neno la Mungu na alijawe kwa wingi ndani enu Anajua linakazi gani Linakazi ya kumtengenezia mtu imani Juu noo ndugu zangu Ukiwa umelisoma wemo nye neno humu Umekutana na ndikolako umu. Unajua ninu la mungu unatabia kutengeneza ujasiri. Ujasiri ndiyo yoyo imani. Yeshua sura ya pili mstari wa tisa. [00:44:51] Haka wambia, wale wanaume, mimi najua ya kuwa buwana amewapa nini nchi hii. [00:45:03] na ya kuwa hofu imetuangukia mbele yenu na ya kuwa wenyeji wote wanchi wanaeyuka mbele yenu maana tumesikia jinsi buwana alivyo kausha magi ya bahari ya shamo mbele yenu nika sema hizi habari Hawa ni wale wapelelezi, rahabu anazungumza nao sasa. [00:45:35] Anawambia hivyi, ndugu zangu kariboni. [00:45:38] Tukumbuke uyu rahabu walikua, Nick Khaba. [00:45:41] Anawambia, ndugu zangu kariboni, kariboni mkai hapa. [00:45:46] Ninawaficha ki mkakati. [00:45:49] Imani inaathiri maneno, Imani inaathiri matendo. [00:45:54] Manenu unayo ya ungea wewe kwa sababu wainaflani ya imani ambayo unayo ni tofauti na manenu ambayo ya ungea mtu mungine hana imani. Una sogea mbele kidogo. Matendo unayo ya tenda. [00:46:08] Ndiyo mana kuna ichi kitabu cha piti Signs and Tokens kinasema hivi Ishara na vitendo via imani Manake imani haisimami peki yake kaishia kwenye maneno Imani inapiga atua mbele Imani inaenda mpaka kwenye matendo Hallelujah Imani inaenda kwenye matendo. Anasema ishara na vitendo vya imani vienye kuzalisha matokeo. Vitendo, vitendo, vitendo. Manake imani haishi kwenye maneno matupu. Now, imani inakuunganisha mahali pa matendo. Yanaitua matendo vya imani. [00:46:49] So tunamuona rahabu wakiwa kahaba. Kwanza amewakaribisha. Ndiyo mana waebrani ya kuminamoja. [00:46:56] Selathini na moja pare. Anasema hivi. [00:47:01] Anasema kwa imani rahabu yule kaba hakuangamia pamoja na hao walio asi. Kwanini? Kwa kuwa ali wakaribisha wale waperelezi kwa amani. Wow! Kuyu kitendo chucha kuwakaribisha na kuwakarimu na kuwaweka pale na kudanganya kwa mfalme kama ulikuwa ni uongo. Wakusema watuwao wamesha ondoka kumbe bado wapo. Ile ilikuwa ni kitendo chya imani. [00:47:31] Hallelujah Lakini haki kuanzia tu kwenye vitendo Siokomba ali waona tu alafu waka jisikia tu Kwa mba karibuni nina jisikia tu mkaino Anasema mm-mm Nye na wajua Nimesikia mstari wakumi Anasema maana tumesikia Tena nikuambie Imani ilivo very personal Hapa anasema maana tumesikia Manaki tumesikia wengi Siokomba nimesikia peke yangu Tumesikia wengi Lakini alia chukua atuwa Nimimitu Maana mfalme atu waliochukua mesima na wataka wa watu. Sinyuini, sinyuwa, sinyuwa, nitaita kuwafanya nini. Hila na wataka. Rahabu wapa nasima hithi. [00:48:10] Msa ruku wakumi. Maana tumesikia jinsi. [00:48:14] Maana tumesikia jinsi, buwana alivyo kawusha magi, ya bahari, ya sham. Ahaa, tumesikia. [00:48:25] Wote hapa tukamuka na mamapiti. Watu kalibia F3, F4, F5. Wote tunasikia. Ila imani haishi kwenye kusikia. Imani inaambatanishwa na matendo ya imani. Yani baada ya kusikia, unafanya nini? Moyoni mwaka unesikia kabisa. Mimi sitakiui kuwajiriwa, natakiua kujiajiri. Haitoshi. Baada ya kusikia, utakacho kifanya baada ya kusikia. Matters a lot. [00:48:53] Na kusikia nduguzangu, tunasikia wengi. [00:48:56] Tunasikia wengi, ila tunaofanya baada kusikia ni wachache Anasema hivimana, tumesikia jinsi buana alivyo ya kawusha magia bari ya sham, mbele yenu Hapo mli potoka Misri. Tena mambo hayo mlio watendea wafalme wawili, wawamori, waliokuwa huko ngambo ya Yoldan. Yani, Sihoni na Ogu mlio wangamiza kabisa. [00:49:24] Anasema tumesikia. Ndugu zangu. Ukisoma kitabu cha kutoka. Yani, unapo imaliza muanzo. [00:49:31] Ukiingia kitabu cha kutoka, ndiyo unakutana na habari Za musa na farao Unazikuta zinaanza kitabu cha kutoka Waache wanawaiza e waende Ni abalisa kutoka Mapigo kumi kutoka Abalisa kusema bari yashawu imekawushwa Uiwawezi kusema amesikia kuamba amesikia kwenye radio No way Hakua amesikia Hakua amesikia Ila likuwa mevizingatia Na kuvisoma Vile vitabu vitano Vyatorati Kahaba msumanenu Hallelujah! Hata mini ngekuwa mungu. [00:50:13] Kahaba msomaneno. [00:50:16] Kahaba na biblia haijaona tabu kumpa jina lingine angalau laki utakatifu la kusema ivi yule rahabu alie kuwaga kahaba. Wameandika ivi rahabu yule. Kahaba manake bado alikuwa naendelea. [00:50:35] Uwe uwe. Badwa likuwa naendele. Bibliya hivosi kudanganya. [00:50:39] Ingekuwa hameatia. Wangethima hivi rahabu yule aliekuwa kahaba. Mzigo umeendikuwa hivi rahabu kwa imani. Rahabu yule kahaba. [00:50:50] Malaki hakuwa hameatia. Hila ni kahaba msomaneno. Very very informative. Ndugu yangu, nini kinakuzua usisomeneno? [00:50:59] If a harlot, if a prostitute, if a whore can read a Bible, anawezo kufichukua vitabu vitabu vitano viatoratu huwezi kuniambia alianzia tu kwenye kutoka, no? [00:51:18] Nende kwenye biblia yako kama unayo tuende kwenye table of content kama unabiblia yako angalia kitabu cha kwanza ni kitabu cha muanzo kitabu cha muanzo kina sura msini kahaba likuwa namuda wakusoma sura msini za kitabu cha muanzo Wewe ata panaungiha bali za nyoka. [00:51:38] Unajuliza hivi nyoka mu? Nyoka likuwa muanzo kutoka. Alikuwa muanzo banu. Takwa sura ya tatu ya pili. [00:51:47] Haya. [00:51:48] Muanzo inasura msini. [00:51:51] Rabu kazi soma zote. [00:51:53] Kahaba. [00:51:54] Tukaenda kutoka. Kutoka ina sura 40. [00:51:57] Sura ya kwanza mpaka sura ya 40. [00:52:00] Kahaba kasoma. Sura 40 za kitabu cha kutoka. Wow! Wow! Kahaba anamuda wa kusoma neno. Kahaba bila kuambiwa, bila menta, bila mchungaji, bila kuwa na muangalizi waseli, bila kuwa na mamapiti, wakumombia rabu, shalom, shalom, mamapiti, mpuacha wuka haba. Haba si soma neno, hakuwa nae. Self-motivated. Hallelujah. [00:52:47] Haya, haka soma Mambo ya Walawi, vitabu 67. [00:52:51] Izo ni sura, chapters, 67. [00:52:53] Haka soma Hesabu, 36. [00:52:57] Haka soma Kumbukumbu latolati, vitabu 38. Kahaba. Kahaba anajua kusoma na kuandika. Sio kuchati tunawateja, no? [00:53:08] Niko wapi, tajificha, njosa ambili. Hizu walikuwa naziweza to the level aka weza kujenga na gorofa. Maandikuwa nasima hivi, wale wapelelezi ali waficha kwenye dari manake hile ilikuwa so flat house. [00:53:22] Mzigo ulikuwa unadari manake ulikuwa ni gorofa. Kahaba msomanenu. Kumbe kusoma tunenola mungu, kuna muwamisha mtu, anayingia kwenye wate ule. [00:53:33] Graduates, walio graduates kwenye mambo ya imani. [00:53:38] Wao. Wao. Kahaba. Kahaba msumanumia na niuma sana labo. Kwa sababu wengine sisi hapa ata atujiuzi. Zambi zetu ndogo ndogo ni ukudanyange tu kuchonganisha chonganisha, kuangaliangalia, mamapiti, kafanyaje, kafanyaje. Zambi zetu ndogo ndogo tu. Wewe zambi kubwa ata utendi. Kwanza unagopa. [00:53:57] Mgini hapa nawambia uzinja, nasema mna mini ifanya maramoja tuefunja mianti satsina ambili. Una mtu kazini, efunja mianti satsina ambili. Mpaka leo kafunga solexi. Hataki viungo viko salama. Hila neno wahasomu. Rahabu, rahabu kahaba, mesoma. Hinawambia hivi, sikilizeni. [00:54:14] Tumesikia. Tena, unaliona neno kwa wingia, nasema tumesikia. Manake tulikuwa tunasoma. Manake tulikuwa tunaenda kanisani. Najaribu kuinyambua kwa levo yako. Manake walikuwa wana makutaniko, makusanyiko ya imani. Maniko nasimafikuwa kutokucha wa ebrani ya kumunamuja yishinatano. Kwa kaji yambavu siku hile inakaribia. Msiache kukutanika. Kama ilivyo the story ya wengine, manake rahabu hapa kisema hivi, tumesikia. Manake tulikuwa tunakuenda kanisani. Tulikuwa tunakuenda kwene makusanyiko, pamoja na waminiuo wenzangu. Nikiuwa mimi na pambana na mamboyangu ya ukahaba. Yetu nilikuwa naenda kanisani. Nini kinakuzuhia wenzangu? Kwa hivyo, kwa hivyo, kwa hivyo. [00:55:14] Unakuta media team ya wakati mungine, kansani kwetu, inapitia changamoto za kima usiano We, vijana, media team, wana stress za mausiano Network ya mna, unabadirisha rota, mnara umecheza Na wana kudanganya, wana kupa terminology, wana zojua uzijui Anakombia HDMI imefaliki HDMI? HDMI amefaliki? Anakombia extension cable haikamati mawimbi. Extension cable. [00:55:47] Watu wa media mbinguni watapasikia kama vile amplifier. Mwenu wanapasikia vile radio. [00:55:55] Sometimes bimi naangalia Ibada online. [00:56:01] inabafu, yani inajirudia vile vile, rabu yule kaba, rabu yule kaba, rabu yule kaba, rabu yule kaba, wakati kule pastatunia meshe ameshe, yani kisha fika mbali, rabu yule kaba, unapigia media, mbona tunabafu, mbona inajirudia, unakombea tunabadilisha rauta, we rauta ujui, unakau, unansa kugugo rauta, rauta, badeo unakombea hdmi, amefariki, hdmi ni waya, si mtu, Kwa hiyo wanazungumzeh, ni kanakomba ni waya, yani kanakomba ni mtu, anaroya mauti ya mekufa. Badai wanakomba evi, extension cable, haishiki mawimbi. Ndugu zangu, extension cable. [00:56:42] Hasa minaye wapo. [00:56:44] Waungo. So, wewe unasalia nyumbani, utasikia sangapi na imani chanzo chake ni kusikia. Rahabu wapa anaposema evi, tumesikia. Manaki, anaongia wingi. Kitabu cha Yeshua, sura ya Pilim, sura ya wakumi. [00:56:59] Hanasema maana tumesikia jinsi buana halifo kawusha majia baria sham Manake rahabu, jumapili halikua hanaenda kanisani Ndiyo maana anasema kwa wingi, tumesikia, ni kahaba lakini hanaingia kanisani Na hakiingia kanisani, hategi mingo, hanasikiliza neno Mchungaji kasema pointi ya kwanza, pointi ya pili, pointi ya tatu, to the level anawezo kusema hivi. Tumesikia, nilikuwepo ibadani. Wakati mchungaji wangu wanaongea bali za mungweno, hameikawusha baari ya shamu, nilikuwepo ibadani, nilikuwepo, nikaskia, na tukafungua kitabu fulani, tukasoma kahaba na tulia ibadani. Wewe sio kahaba, kwanini utulia ibadani? [00:57:43] Badai, badai. Nduguzaku wakikuuliza, tuumejifunza nini. Hai, mama piti ya liche mkaleo. Tuume, wame, nini, mama funa lio ya lipiga sutu nya upena. Anapendeza kawaiti. [00:57:54] Mama piti ibuwa na mpela ngini. [00:57:57] Neno kafundesha nini, huna ulicho toka nacho. Nomana maandiko yanasema hivi makahaba, wata watangulia. Wenyewe wanajijua. Sisi, mda wetu ni mchache. Tukitoka hapa ni sell tu. Tukitoka hapa ni kujiuza tu. Ngala umuda utupo kanisani, tutulie, tuandike, tuandike notes, tusikirize, pa kusema amen, tuseme amen. Wewe ukienda kanisani, unakaha kama monye kiti wakata ya mkakata. Yani unakaha mka wambao, unajibembelezia kulala. [00:58:27] Usingizi ni mkau. Kuna mkau kikaa tata kama una usingizi unalala. [00:58:31] Hutuli badani, choni kila wakati, kufinyafinya wenzio, idalaya uchambuzi wa mavazi, kava aje, kanyu aje. Neno lila kupita hivu. Na weku wakiliyako unawaza lilo pita ni neno tuu. Sio neno. [00:58:46] Liki kupita neno manake imani ime kupita. Siku utalitaji kulitumia, huna. Jena nika sema imagine unaingia kwene changamoto, huna neno. [00:58:55] Unamona yesu wakajaribiwa? Bada ya kujaribiwa, tina ki toka kwenye mfungo, akajaribiwa. Kila jaribu lake, alijibu kwa andiko. Hasa, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no, no Yali majaribi yalikuwa ni matatu, ungetumia mdagani na shetani yalavu ungea raka raka. Akusubilie we usome ineno nda unjibu. Do you read your Bible? [00:59:37] Kama kahaba, anawezo kutulia ibadani. [00:59:42] Akasoma muanzo, akasoma kutoka, akasoma hesabu, akasoma mambo ya walawi, akasoma kumbukumbla torati. Kwanini we usomi biblia? [00:59:53] Na we sio kahaba. [00:59:55] Anasema hivi? Maana tumesikia jinsi buwana livu kawusha majia bari ya shambele yenu. Hapo umlipotoka Misri. Kanakwamba itoshi tena mambo hayo umliwatenda wafalme, wawili, wawamori. Waliokua huko ngambo ya Yoldan. Mstari wakuminamoja. [01:00:12] Mara tuliposikia hayo. Yani tulipakua ibanani. Tuliposikia mchungaji huto na tuambia buwana wale watu wana kujia Wanakuja na uku kututuwa imakini, hii ndiyo historia ya watu, wanaukuja Yeriko Anaseba mala tuliposikia, mioyo yatu iliyeyuka Wala haukusalia ujasiri waote katika mtu hawaya yote Wao, kwa iyo kazi ya neno la mungu ni kukupa ujasiri Thenu ujasiri, una develop imani Ndiyo mana ukimisikia mtu wanaungia wakati mgini Unaweza ukasema ni pride au ni over confidence, no? Ni luga ya imani, hallelujah Halelujah Basi sasa na wasii, ni ya pieni kwa buwana, kwa kuwa ni mewatendea yisani ya kwamba ninyi nanyi, mtaitendea yisani nyumba ya babayangu. Tena ni peni alama ya uwaminifu, ya kwamba mtawaponye hai babayangu na mamayangu, na ndugu zangu wa ume na wanawake, na vitu vyote wali vionavyo na kutuokua rozetu na kufa. Kahaba! [01:01:21] Kahaba na iyo kuwa familia. Kahaba. Wewe mbeni mwombaji. [01:01:26] Una muka na umuka na umapiti kila siku saatisa. Kuwako yalitakiwa yawe mambo mengi kuliko haya. Kuwako zilitakiwa kuwa kuna miujiza mingi na shuda nyingi kuliko za rahabu. Tukumbuke rahabu hakuwa na mchungadi. [01:01:44] Kwa hivyo kwa kuhusu, kwa kuhusu, kwa kuhusu, kwa kuhusu, kwa kuhusu, kwa kuhusu, kwa kuhusu, kwa kuhusu, Kanisa lapi, wewe tu kivangu ofupi kanisani, unapewa kitu fancha kukufunika. Na siyo kahaba, ni vile tu unapenda kubavimgo vya watotu. Yani unajua watu hawajia kueleo. [01:02:18] Wewe uvangu ofupi ila wewe unapendo kwa watotu. Kwa iyo unawahenzi. [01:02:26] Ukifika mtumbani kule, ukisikia mpende mwanao, mpende mwanao. Upendu ulionao kwa watoto. Siuna kwa sasa unaonabola uwanze kufangu wazaao. Hila sio kumba unavangu wa fupi, hau vingovya vya kuache tumbo wazinoo. Hilo tumbo wako usingependa kulionisha. Hila upendu, hatu tunakuelewa vibaya. Wewe sio kahaba. [01:02:45] Jambo tutodogo ukilifanya kwenye nyumba ya buwana these days, people are ashamed of you. Kuna wengine hata wazazi wetu wakiro wana tuekia mashaka kututambulisha. They are not even proud of us. [01:02:58] Na hapo siyoka haba. [01:03:01] Siyoka haba. Unatabiyeza kututu cha cha cha cha unamaliza na nazo. Mumtu wana ugopa. [01:03:06] Hata mimi kuna watu na ugupa kuwa identify kumba huyu, naji huwananae kwa sababu sijwi kesho atake ukwa kitu gani. Nao rahabu sasa, na uwakika mchungaji wake. Tena ukutia likuwa nakakule mwishu. [01:03:19] Haiweze kane, ukae mbele, wa mamu wa kitu lana, wakuwache. Hawa zikukae mbele, rahabu walikua kae mbele. [01:03:26] Rahabu alikuwa akai mbele Rahabu ibadani alikuwa naikuwa nyuma kwa sabu kahaba unajua Anavu bandika kope, anavu pakalipu stiki Kwa sabu kushakuwa kahaba ni muda wote wau natafta soko Kwa hiyo na uwakika hata ibadani ya likuwa na kanyuma. Hila nasikiliza neno. [01:03:43] Wao unakaa mbele, unakaa katikati, hila ni kufinya tuenziyo, kufinya tuenziyo, idala ya tarifa, mambo ya sio kuhusu, nani kaja, nani hajaja, nani ya na mchumbia nani, nani ya li mchumbia lakini wakaa chana, nani ya li achika tangia siju wapi, nani ya naolewa marapili, nani ya na watoto, yani unatarifa za watu wengi, neno husiki. Rabu hui wapana saa m... [01:04:05] Imagine kwaneno alilo lisikia Kahaba anawezo kukua familia nzima. Hapa amikuwa so specific. Anasema ngoja kwanza. Naumba mni ya pie. Unajue nini? Kahaba mezoja kunegoshate. [01:04:19] Kazi yanayo ifanya, imepa skill ya kutumia mpaka hukumbele. Kazoea kunegoshiate. Masama wili, laki. [01:04:27] Daka kumi, F3. Kazoea kunegoshiate. Kazoea, ni uewe tu ambaye, watu wanachukua, wanaundoka, utaki chochote, umeutuwa mwili wako kuwa thabi, utakatifu, watu wanapata bule, na unandiko lako, mipewa bule, toeni bule, bas. Rahabu wadikuwa mezoea kunegoshiate na wategia waki. Masama ngapi, shingapi. Ndiyo mana nivona wanaume, haka sima ndugu zangu sikilize ni hii ni dili, hii ni dili. Kazi yangu hii ya kila siku na uifanya, ime nifunisha kunegoshade. Sasa tukubaliane, nime waficha. Sawa sawa, sitaki feather, sitaki mali. Nataka jambu mwje tu nikirudi, nye mkirudi kuhipiga yeriko ni we salama. Waka mambia safi, imefika. Kahaba. Kwa kuwa nasoma neno, Mungu wa naisaidia brain yake kudizen, kupambanua. Nani nampa mwili, nani simpi mwili. Nani nampa mpaka wapi, nani naongea naini. Hallelujah. [01:05:20] Nani na negotiate nainini kwa ajili ya familia yangu. Akusoma neno. Kulipambanua neno, kusoma neno, linaisaidia ata akiliyako ya kawaida tu kwenye kuongea na mteja. Wengine ato wezi kuongea na wateja yotu kuna biyashara kwa sababwa tusomi neno. [01:05:39] Hatu na kawuli nzuri wengine, hatu njui hata kuhongea na watu wazima. Hatu njui because we don't read the Bible. Hatu kuwai kuwona uku mtu, mke haki muambia mwume wake. Buwanawangu, buwanawangu. Buwanawangu, ukiona mtu na mueshi mwume wake, unasema apana. Mime kumpapatikia mwanaume vile, siwezi, siokomba wezi. Ujiasoma neno, huku kuya biblia, mandiko anasema hivi, sara mama enu waimani. Alikuwa na muita Abraham, buwana, Lord. [01:06:08] Wanawangu. [01:06:11] Dane mmoja na hito Abigail kwenye Biblia. Alimjibu vizuli, mfano medaudi, mpaka alimuo. [01:06:18] Abigail yalikuwa na shepu nikuambi. [01:06:20] Hiyo ya kwa kuyo, umechongoka vizuri kama mtu wakuchola, bigeli ya kufiki. Hali kwa tu mzuri wawuso wapa. Hila kawuli, wangini sisi ni wazuri, hila mdomo ukionge watuote ni again. Kwanza ukimua, tulasima, please dada nisame. Hamdia ungea chochote, hila unahomba musama. Kawuli, reading of the word ina kusaidia weku reason kwenye mambo ya kawaida. Neno la mungu ni natabia kumpa mtu hekima. [01:06:48] Hallelujah! Neno la mungu ni natabia kumpa mtu hekima ya kuenenda maisha ya kawaida tu. Hekima ya kuongea na baba, hekima ya kuongea na mama, hekima ya kuongea na wakwe, hekima ya kuongea na mke, hekima ya kuongea na mweme. Neno la mungu tu. By reading of the word, anajua wanaume nionge nao vipi. Wangini hatuna ni thamu. Hata ukikosea, kumuambia mtu samani. Nimtiani mkubwa. Omba msama, mm-mm, misi wezi kumnyanyekia mtu. Why? Ujawai kuhona ukuwe, kunyanyenu mtu aka omba msama. Kwa hukuhakuwa inakua shida. [01:07:21] Ukikosea unatuna. [01:07:23] Yani utalipeleka lile jambo, paka wewe ndo uombo msama. [01:07:28] Rahabu, yule kahaba, ana-negotiate, siyotu kwenye biyashara kwa niyaba ya nduguzaki. Anasema, sikiliza, mutakapu kuja kuyangamiza Yeriko. Nina baba, nina mama. Waka mwambia, sawa. Hakataka kuondoka, hakataka, nina nduguzangu wakike. [01:07:46] Nina nduguzangu wakiume, waka mwambia, usiwe na wasiwasi. [01:07:50] Haka mbia, no, wanamalizao. Wana kondo, wana mbuzi, wana mifugu, wana feather. [01:07:56] Waka mambia inashida, zote ziretu hapa nyumbani zikai sawa. Deal done. [01:08:01] Kahaba mwene wezo wakunegoshiate. Bila elimu. Mpaka mtu wamekua kahaba, I doubt kama hirikua mesomu. Wewe na umesoma, watu wameyambia unamasters. [01:08:12] Mass communication, mass communication. Lakini unavo communicate. Haa, siju kama koli hifika degree. [01:08:19] Ya, unamutu unamasters. [01:08:22] International relation. [01:08:25] Mausiano ya kima taifa. Hila mausiano yake tuu hapa buza. Hapa buza tuu. [01:08:32] Yeah, masters. [01:08:33] International relation. [01:08:37] Anawezo wa kuipatanisha. [01:08:40] Pakistan. [01:08:42] Mwefaya mchezo. Hila kujibu, mbanaanisha heno na maiwake yawezi. [01:08:49] Mambo ya nje haripi. Kuna mtu wapakatikatia tu wapana masters ya international relation. Unaelewa international relation? Malaki ni Mausiano. Ana niambia mkulu genzi yapa yae yanayo. [01:09:02] Diplomasi. Sijunini? Inaituwa juhu? Anasema international relation and diplomasi. Hupo, wavatai tu huku. [01:09:13] Uwadiplomasia. [01:09:17] Kuuipatanisha, Ukanda wa Gaza, Pakistan, Iran na Iratu wapatane, yeye na mamake ya waongei. Mimi siwezi kuwenda eshwa. [01:09:28] Hila ana masters, international relation and diplomacy. [01:09:34] Bila neno la mungu, unashido kumpatanisha mdogo wako, lastiboni na festiboni ya waongei. Hila uedadapakatikati, unainternational, yani tunawezo kuletia mataifa we mdogo wake kofi ya nani, uka wapatanisha. [01:09:47] Bila mungu, elimu ni bule. [01:09:51] Bila mungu, connection ni bule. Bila nino la mungu, uzuri ni bule. Nimeo kubia kuna dada mmoja yalikuwa na itu wa Abigail. [01:10:00] Mume waki yalikuwa na itu wa Nabali, Samueli wa kwanza 25-25 kwa wakati wako soma. [01:10:06] Nabali yaka mjibu vibaya sana mfalme Dawdi. Dawdi yaka pata moto, yaka sema naenda kuwa wote huko. Anajibu hivi mimi Nabali. [01:10:15] Hakaenda hakanywa pombe na bali, hakapotewa kwenye usingizi Uku kwenye mapombe, mkewake hakaambiwa Mumeo, hame mjibu mfalme Dawidi vibaya, hanakuja tutangamia ote Yule mama, hakuwa na chocho, cha likuwa na kaulitu, hanamombia buwanawangu Dawidi, buwanawangu mfalme Mzalawa hui na bali, kwanza ni mpumbavu na mpumbavu wanao, tule m, haliongeane dakikakumitu Dauli unojua kifanya, nabari ya ripo kufa tuwa kamao. [01:10:46] Kaa ulitu. [01:10:47] Sio cheti. Kaa ulitu. [01:10:49] Wewe. [01:10:51] Ndiwa. [01:10:53] Menda chizi wa mta. Haya. [01:10:56] Saa kufanya jee sasa. [01:10:58] Halleluja. [01:11:00] Mstari wa kuminane. [01:11:02] Basi, wale wanaume wakamuambia. [01:11:08] Uhayu wetu badala ya uhayuenu. Kiapo itu. [01:11:12] Kutoka kwa kahabu, kahaba rahabu, anawambia hivi wanaume wame muelewa muanamuke, muanamuke anawezwa kunegosiate na wanaume bila kujiuza, wow, bila kujithalilisha Bila kufuwa utuwake, bila kufunja ndowa za watu wengine, ananegoshete na wanaume kwa adabu, wanaume wakamoelewa. Waka mwambia hivi, wale wanaume wakamwambia, uhayu wetu badala ya uhayuenu, ikiwa Kwa mba kama mtatunza siri. Kisha, itakua wakati wabwana, ata kapotupa nchi hii, tutakutendea kwa isani na uwaminifu. Mistari wakuminatano, nipo akawashusha kwa kamba dirishani, Maana nyumba yake ilikuwa katika ukuta wa mgi Na haya likaa ukutani, haka wambia Enendenizenu mlimani wale wanawafuatia wasije wakawapata Baada ya kiapa wapa Mkajifiche uko Siku tatu Na udu kwenye three days Siku tatu hata wawanawafuatia watakaporudikisha Enendenizenu Kwa nithamu kabisa ya wapasayo kufanya ili kia pocha kialicho kiyomba kiweze kwenda sawa. Mstari wakuminasaba wale wanaume wakamuambia. [01:12:55] Sisi, tunataka tusiwe na hatia kwa ajili ya kia poiki ulicho tuapisha Angalia, tutakapo ingia katika nchihii Funga kamba hii nyekundu Katika dirishahili ulilo tuteremishia Na we uwakusanye kwako Nyumba ni mwako Baba yako, mama yako, duguzako Na watu wote wa nyumba ya baba yako Tunakubalena jamani raabu walikua atajili Hakuwa na chumba na sebule Angi waweka wapi wote au? Angiwaweka wapi wote yao. [01:13:31] Be rich in Jesus name. Amen. Na ue tajiri katika jina la yeso. Amen. Ili inapo tokea mambo kama haya. Unawezo kumambia baba njoka, mama njoka, dada njoka, wewe njoka. Si uchumba na sebule, utashino kuwakua watu. Hallelujah. Amen. Itakuwa mtu awai yote. Atakae toka katika mlango wa nyumba yako, kuenda njiani, dami yake itakuwa juu ya kichwa chaki monyewe. Na sisi tutakua atuna hatia. Na mtu atakae kuwa ndania ya nyumba yako, dami yake itakuwa juu ya vichwa vetu, mukono wa mtu ukipata. Wana mwambia hivyi, ukishawa kusanya. [01:14:11] Nduguzako wote ya wandani na vitu vyote uwalivyo na vufunga mlango mtu asitoke Imani, imani inakuenda na matendo Imani aishiku enye maneno matupu, imani inakuenda na matendo, duguzangu Kwasisi kuwa zaidi ya washidu, unajuu hapa anjo kifanya rabu? Rabu anashinda na zaidi ya kushinda, hapa Kwa kuwa hana ushindi waleo, then hametengeneza mazingira rafiki ya ushindi uupia kuhona kesho. Hanawambia nye watu ni yapieni, mtakapo rudi. Manake siyo sasa. Kwa hapa sofa ni meshinda. Mfalme hajajua nye kama hampo. Tena, hanawapanjia kabisa. Tokeni, mkakai mahali siku tatu njia ya mrimani. Hawa nduguzangu na wajua kupanda milima wawezi. Nendheni milimani mkakai kule. [01:14:59] Siku tatu. Baada ya hapo, watu wao watachoka kuafatili. [01:15:04] Huu ndiyo ushindiye ndelevu. Yani unashinda leo, unashinda kesho. Uwezi kusema we are more than conquerors. Wakatu umeweza kukonka leo, kesho wali nimbali. Read your own Bible. Read your own Bible. Soma Biblia. Umondani umo. Utakutana na mambo ya kuijenga imani yako. Imani ni kuwa na uwakika na maneno ulio ya soma kwenye Biblia. [01:15:31] Tuombe ndugu zangu, kabla tuja fika mbali zaidi. [01:15:35] Tukiwa tuna malizia tuombe, buwanaisu tusaidie. Ndugu zangu, kila siku na wambia. Kuomba ni kusoma neno, ni kazi. [01:15:43] Mtu wanaweza haka pambana, kuwacha vingine na hakaweza. Wako watu kelele zangu za mambo mengi na tabia mbae, nyingi wameza kuzimasta. Neno kusoma, hawezi. Mwingine ni katoa challenge hapa ya kunua biblia, haka nunua. [01:15:59] Kamaliza, kaiweka. Kila siku wanaifutatu. [01:16:03] We are praying. [01:16:07] The grace to read the word of God. [01:16:33] Haleluja, hila wakati wikihindugu yangu, hayo ndiyo maumbi yako. Kama ambavyo, naweza kutengeneza muda wakuenda kuhosha nyuelezangu na kusuka na kujirembesha na marembu katha wakatha Kama ambavyo naweza nikatenga muda, nikatengeneza tangazo kwa ajili ya kutangaza biyashara yangu. Kama naweza kutenga muda, nikafanya suju scrub, suju nikafanya masaji, na mambo mingi, buwana yesu nisaidia pia. Katikati ya ratiba nyingi ni rizonazo. Ikumbusha nafsyangu, hata ikosesha ya mangi. [01:17:11] Mbladi niweze kusoma niyo. [01:17:13] Sio salama. Sio salama, ndugu zangu. Sio salama. Maisha ya na tusemesha. Na nime kwambia, mungu wa na tuongelesha sana kuliko sisi tunavuongea nae. [01:17:23] Malaki mungu wa na tusemesha kila wakati. Tuweze kukonfirmu kwenye neno lake. Nitajuwaje mama, kama hili neno ndilo mungu wa na utaka nifanyi. Hilo jambu wa na luko mbia. Lina align, lina enda sawasawa na neno lake. [01:17:39] Mungu wa hizi kwambia uwibe. [01:17:41] Huwezi kusuma hivi, nasikia msukuma kwenye moja wangu wa kumitapeli mtu. Huyu ni mungu au siya mungu? No, msukuma wa mungu kwenye moja waku. [01:17:51] Utaenda na nenolake. Kama hulijui, hutajua. [01:17:57] Kama ujui chikitu ki meandikuwa, uu msikia parabu wa nasimaa ki tu meskia. [01:18:03] Kanisani tu meskia, tu mefundisho, uu kiskia tu meskia. Kwamba alisikia, kwamba ilipita tangazo, radio call, au kulikuwa kuna speaker za winjilisti kusema jamani, kuna wana wa Israel, bari ya shamu imekauka, wakapita. No, hapana ni matukia Rio Pita, miaka na miaka ya kaandikuwa. Haka soma. [01:18:26] Halipo somatu, halipo waona. [01:18:29] Nafisi yake nani kasema ndiyo hawa. [01:18:32] Ndiyo hawa. Wewe ukiona mtu wa kukusaidia kwenye kazi yako, kwenye biyashara ako. Una mjua, au una mtu kani, au una mjibu vibayi. Ndani, huku wakuna tarifa yote. [01:18:43] Na nini ulamungu ndugu zangu husomewi. [01:18:47] Nimeanza kwa kusema mambo ya imani ni mambo personal. Maandiko yanasema mungu wakamuambia Yoshua Kitabu hiki chatorati kisiondoke kwenye mdomo wako kamwe ya atafakari maneno haya. Sentesi ilikuwa so personal. [01:19:04] Ni ya mtu mmoja, siyo so many. [01:19:07] Siyo yatafakarini. Wengine walikuwa nje. Wengine walikuwa mbali. Mungu wanaongea na mtumishi wa Keshua. Anamambia kitabu hiki chatolati kisiondoke kamu kijwani mwako. Yatafakarini manenuhaya mchana na usiko. Awezi kusima mpona ameniambia mimi tu. Mpona wengine no no no no. Mpona ngeni ya watafakarini. Mpona wengine ya waindi kanisani. Mpona wengine ya wasomi. Lile kanisa mimi siwezi kuenda. Kwa zabu shoga angu waendi personalize your spiritual life. Amen. [01:19:36] Hallelujah! Weka ubinafsi kwenye mambo yako ya roho ni mungu wanaongea na mtu mmoja mmoja. Haongei na watu kama kundi. No. Hata kama akitaka kuliatendi kundi, anaongea na mtu mmoja tu. Then yule mtu anenda kuliambia kundi. Kundi likiamuwa kukubali, limefanikiwa. Likiamuwa kukata, halijafanikiwa. [01:19:56] Hila hakuna sauti ya mungu ya jumla. [01:20:00] Imagine mtu wanainda kutuwa sadaka ya mtoto peke yake baba mwenye nyumba. [01:20:05] Yes, kwa sababu mama ajesikia. [01:20:08] Mama haja sikia. Kama haja sikia, siwezi kuanza kupoteza muda wakuongea na watu ambao hawaja sikia mambu ambayo mimi nimesikia. Mungu wameongea na mimi. Mungu wa menembe ni takuwa tajiri. Mungu wa menembe ni takuwa mzima. Mungu wa menembe ugonjwa unapona. Mungu wa menembe ya mimi ni takuwa ndugu zangu. Kwa hiyo, sina haja ya kuanza kuenda kuatambishia watu na kuaunesha na maastatus. No! Something personal, mungu wa mekwambia lichukue, litende kazi. [01:20:42] Bwana yesu wa sifiu, lichukue, litende kazi. Neno la mungu ni kuajiri ya kutendewa kazi. Ukisha maliza kusikia, libebe, kalitende kazi. [01:20:52] Kweli imani inaanza kwa kusikia, lakini imani haishi kwenye kusikia. [01:20:58] Imani inaanza na kusikia, lakini haishi na kusikia. Imani inaanza kwa kusikia, imani inaishia kwenye matendo. [01:21:06] Maandiku wanasema imani bila matendo, imekufa. [01:21:12] Kama ambavo mtu hakisha kufa, hawezi kunyanyuwa mgu, hawezi kunyanyuwa mkono, hawezi kuwimba, hawezi kusigni mkataba, hawezi kupata tenda nyingine, nani yanawezo wa kumpa tenda mtu ali ya kufa? Nani yanawezo wa kumuowa mtu ali ya kufa, ata kama ulimpenda kiasi gani? [01:21:30] So long as inimare, huwezi kumuowa. [01:21:34] Kwa iyo imani ya mtu mmoja tu, inaenda kwa watu wote kwenye familia mtu moja tu amba hamefanikiwa kumisikia mungu hamewanusuru wenzia wote mtu moja tu personalize yu wa spiritual journey toa huwa usingizi pambana na mauvivu wayo achana na ujana usiyo kusaidia read the word soma leno ndugu zetu bijini baba zetu na mama zetu wana tusubiria hukumjini sietu tu make it tupate neno moja tu tukawatowe kutu Wana kusubiria wewe ndugua, wana kusubiria wewe tu. [01:22:11] Vitu, vingi vikubwa mungu wa meviwe kambere tu. Vina tusubiria tu sisi. Tupate imani ya kufifanya. Do you know hata kuwacha kazi? [01:22:21] Kuwajiriwa na kujiajiri mwinewe, inaitaji imani. [01:22:26] Kuondoka kwa wazazi wako na kuwelewa ni imani. [01:22:34] Kuwacha biyashara hii, ambayo mungu wamekuambia iache Kuenda, kuanzisha biyashara nyingine ni imani Kuamka subui, ujafika duka ni kwako, lakini umeamka Kuoga, kujianda, kupanda unachokipanda Mpaka sinsa, mpaka kariako, mpaka kwenye duka lako Do you know ni imani? [01:22:57] Hata mimi kusumama hapa. Niimani. Naamini. Tuko mba, hata tokea mtutu hapa. Hata nisikiliza, hata nielewa, hata soma neno, hata fanyia kazi, hata geuka raabu wa familia yao. Mam, hata uko uko mzima. Mini naamini tu. Imani, imani kweli inaanza kwa kusikia, lakini imani haishi kwenye kusikia. Ukisha maliza kusikia, wekatua ndiyo mana ya kitabu hiki Signs and Token, piti ya meandika Signs and Token Part 2 tena nyingine, ziko mbili. Na kipenda hichi kitabu kwa sababu, kina kupeleka kwenye kupractice. [01:23:35] Imani is practical. Ukishia sema I'm blessed. Ukishia sema ni mebarikiwa. Unavaa kama mbarikiwa. Unaungia kama mbarikiwa. Unaachana nyule kama mbarikiwa. Una tembea kama mbarikiwa. Una behave kama mbarikiwa. Hallelujah. [01:23:52] Imani inakutuwa kwenye maneno peke yake. Inakupeleka kwenye matendo. Ni kweli dada hitu rahabu alisikia. [01:24:01] Alisikia, lakini alipuona wa watu, hakuishia tu kuambia kwamba mimi nimesikia. Mimi nimesikia, no? Hakuishia pukunye kusikia tu. Alivyo maliza kusikia habari zao. Haka piga atuambele. Haka waficha. Ukisha maliza kusikia. Kwamba wewe siyo masikini. Kwamba famuja na kumba weni mzariwa wakuanza. Kwa sasa hali ningumu, unasikia moonimu wako kabisa. Utakuwa tajiri, utafanikiwa. Unafanya nini baada ya kusikia? Iyo ndiyo imani enyeu. [01:24:31] Ndiyo mana waebrani ya kumina moja moja nasema hivi, imani nikuwa na wakika wa mambo ya tarajiwayo ni bayana ya mambo ya sio onekana kwa sasa haya onekani. Ila yako bayana, huo ndiyo ushindi. Huko ndikokuwa more than a conqueror. [01:24:55] Ndugu zangu, more than a conqueror ni mtu ambaye yuko hapa leo, lakini yuko hapa kesho. Leo, ana leo yake, lakini pia leo, ana kesho yake. [01:25:08] Mambo ya kusima hivi, sijui kesho itakuwaje. Mungu atasaidia. Mungu wakipenda. Mungu wakipenda. Mungu waspopenda. No? Uwezi kuwa more than a conqueror alafu kesho yako imefichua. [01:25:21] Unapotaka kuwa motha ne kumkara, lazima kishu wako iwe wazi sana. Niitahanzia hapa, niitapita hapa, niitaolewa na huyu, tutafungua hapa, tutaenda huku. Mpaka mwisho umewona, ndiyo mana rahabu. Wale watu walikua hawajaja bado, hawajai piga bado, yeriko. Lakini anavone negoshete, kanakwamba mapigo ni leo. [01:25:44] Naenda kasome biblia yaku, uonegepu lilo tokea katia siku wambayo alinegoshiate Siku wambayo alizungumza na wale watu, akaingia nao mkataba wa makubaliano Mpaka siku walio rudi kupiga Bwana sifuwe zangu. Haikuwa ni jambola leo na kesho. Faith inakubeba leo, imani inakubeba leo. Halafu imani inakuwa inakubeba na kesho ukiwa bado leo. Rahabu kahaba anaungia bali zaku. [01:26:26] Yani anaungia kanakwamba wawatu watarudi kesho yake. Hawa kurudi kesho yake. [01:26:32] Muda ulipita, wakutosha. [01:26:34] Imani, imani inakupa kukujia ndana na kesho yako Kwa utulivu kabisa nambia mkirudi, msipike hii nyumba Nitakua umu na duguzangu na watoto wangu Nitakua umu na babayangu na mamangu na vitu viofi takua umu Ha'i kutokia kesho yaki Lakini ilikuwa imeambatana na matendo na matendo. Yani anafanya matendo kanakwamba hawa watu wamesha kuja kuipiga. Anazungumza nao, anabageinisha nao, kama nikiswaidi sahi. Anabageinisha nao yakwamba msitupige. Na hawa watu pia wanamjibu, wanasema hivi, sisi sikurotoko, kutunamambo mengi. Tutakua bize, watu wakupiga ni wengi, nyumba mbazo zipo ukutani ni nyingi. Iri tuweze kujua ya kwako, chukua hii kamba nyekundu, linginiza kwa hapa chini tuiyone. [01:27:28] Kana kumba ni jembo lakesho. No, siyo jembo lakesho hula ni jembo li mefanywa na kahaba mwenye imani. [01:27:36] Impani ni kuwa nakika. [01:27:38] Muamini Mungu. Muamini Mungu, ndugu yangu. Mini Mungu wawezi kufanya. [01:27:43] Hakuna kitu mbacho Mungu wawezi kufanya mambo ila imani na ni kuambia khufu za maisha. [01:27:51] Kwa sababu jana nimesema atuishi sisi kwenye kisi wapeketu. Tunaishi duniani humu. Kwa hiyo tumewai kuwaona watu. Waliyo soma kama sisi wakakosa ajira. Kwa hutuki waangalia, wanatutisha. [01:28:04] Usifkiri mtu anagopa kutokia kwenye from vacuum, no? Mtu anagopa kwa sababu viko vitu vinavi omtisha. [01:28:15] Viko vitu vinavu umtisha, hamewai kuwaona watu. Leo unomombia habali zando hamewai kuwaona watu. Walio wana, wakapendana, wakavaa sari hapamoja vitenge, baada hamda kidogo wakachan, hamewai kuwaona. Nini kita msaidia huyu mtu? [01:28:32] Imani! [01:28:33] Nini kita msaidia wimtu? Kusoma neno, huu ndio msaada peke amba wa umtua nao. Kwa nini? Kwa sababu hatuishi kwenye kisi wa chetu peke etu. Sisi kama walokole tunoka kitu chetu peke etu. Ambacho, ndoa hazifunjiki. Ambazo, watoto awaribiki. Ambazo, biashara watu wafilisiki. No, tupo kwenye dunia hii, unamuona leo mtu wanaanza biashara, kesho wamefilisika. Unamuona. Kwa hiyo moyo wako unaingiwa na hofu na wasiwasi. Unaipiga hile imani. [01:29:02] Ndiyomana vita, vyote ambavu tunapigana ndugu zetu ni vita vya imani. [01:29:09] Vita vya imani. [01:29:11] Vita vya imani. Kila jaribu inapokuja kuhaku. Lina mambo mingi linafanya lakini ultimate goal linaitafuta imani. Ndiyomana kumina nane nane luka bipale na saa iwi mwana wadamu wakinje. [01:29:24] Hata ikuta imani kuhiria, lazima ulizo kwa sabi ya hali ya ewa na vo'i yona huku duniani. Changamoto, huu mwai kuwaona watu. Wakifa na magonjwa. [01:29:34] Mtu wali ingia kwenye operation, kuenda kutulewa Fibroid, hakurudi. [01:29:39] Hume wai kumuona. Kwa hiyo leo ukiambiwa hivi, amini mungu, amini mungu, mungu hata kuponja. Una wasiwasi. Hili kuweza kupambana na ule wasiwasi. Sio kuenderia kuhugopa, neno la mungu hili. [01:29:53] na nikuambia hili siyotu neno la mungu lio nikuona wanadamu wakauida liinauvuvio waromu takatifu hili neno liinajitegemea yani hili neno hallelujah hili neno haliitaji kitu kingine chakukitegemeza automatic tu ukisoma neno unajikuta tu kuna maisha unayo, kuna raha unayo, kuna pumziko unalo yani kuna vitu falani tu ambapo unavyo havina majibu ya kimiladamu lakini unavyo Nenu la mungu ni linauvuvio kwa nini kwa sababu li meandikuwa lineno kwa uvuvio wa romta katifu. Lina romta katifu ndani yaki? [01:30:27] Kwa hiyo kisoma linawezo kujifanyisha lenyewe mchakato wakikazi ndani ya mtu. [01:30:35] Ndiyo mana rahabu hakuitaji nguvu nyingi ya ushawishi Kuwaelezi ya watu no wakati na zungumza tui abari ya madeno ya Mungu Yani ya lipoeka tule mfano, ya kumba tuu mesikia abari Tuu mesikia abari za Mungu enu alicho kifanya kule kwenye bari ya sham Basi mioyo ya wale watu, ikaanza kulegia, ika muamini Ika muamini, ika sema huyu ni rahabu kahaba lakini tuko salama hapa Soma neno kwa nini? Kwa sababu maisha ya nakupa kila sababu zakua na hofu. Kila sababu macho yako kila siku ya naona ndoa za watu zikivunjika. Kila siku. Sometimes hata za watu ambao huku wategeme. [01:31:24] Za watu ambao huli wangalia kama role models. [01:31:27] Hui mweni moko najiambia hivi, ndoa naitaka kama ya hulipale. Now, imevunjika. Huna tegemeo ujingine. [01:31:34] Lakin nenu la mungu, ndiyo tegemeo ulenyewe. Baba katika jina la yesu. Tunakuomba, tunakuomba, tunakuomba. Erebo sana, Ramahata. Kenderebo sana. [01:31:46] Hallelujah. [01:31:48] Hallelujah. Amen. Duguzangu. Imani ni kwa jili ya future. Amen. [01:31:55] Imani ni kwa jili ya mambo ya jayo. Hata hapa tumekusanyika usikuhutu naomba kwa jili ya mambo ya nayo kuja. Baba katika Kwa imani. Yes. Kwa imani. Yes. Kwa imani. [01:32:23] Tutafanya mambo ambayo atukuwaza kuyafanya Kwa imani, tutaweza kupona magonjwa ambayo atukutegemea kupona Kwa imani, tutaweza kufanya biyashara ambazo atukutegemea kuzifanya Kwa imani, tutageuka matajiri na misaada kwenye nyumbazetu ambazo atukutegemea kuwa kama tutaweza kufanya hivyo Katika Gina Layasi Baba Katika Jina la Esu, tuna kushukuru. Kwa kwa siku nyingine hii, umetupa chakula. Umetusaidia. Umesogeza imani zetu. Umesogeza maisha yetu. Umesogeza kazi zetu. Umesogeza biyashara zetu. Umesogeza mambo yetu. Ume, umeimprove wafya zetu. Umetusogeza na sisi wenyewe. Maali ambapo tupo leo, hatuta kuhepo keshu. Katika Jina la Esu, hata kama leo tunaona, tuko jangwani. [01:33:17] Maji ni shida, chakula ni shida, nyuwa ni kali, viatu vinatubana, mavazi hata ngea tumetoka nao Misri, tumefika apa jangwani, lakini kuwa imani, tunaitazamia kaa nani. [01:33:32] Tunaitazamia ngambo ya pili. Kati kajina la esu. Kila mbae ni masikini na muitaji leo. Nenu lako limetuambia buwana. Aweze walau kukiri tuu na kusema mimi nitajiri. Alie mungonjwa, aseme mimi ni mzima. Alie muitaji, aseme mimi ni nautele. Alie na mapungufu, aseme mimi ni medyaa. Kati kajina la esu. Mbae hata tupata sisi. Magonjwa hata tupata sisi. Maitaji hata tupata sisi. Halia chini hata tupata sisi. Sisi ni zaidi ya kahaba. Sisi ni zaidi ya kahaba. Sisi ni zaidi ya kahaba. Nyani yetu sisi. Tunairo yule yule. Alie mfufuwa Christo katika wafu. Sasa naishi nyani yetu. Hata fufuwa kazi zetu. Hata fufuwa ndoa zetu. Hata fufuwa mausi ya noetu. Hata fufuwa vitu vietu. Hey katika jina la yesu. Baba katika jina la yesu. Tumepokea uzima. Tumepokea amani. Tumepokea kushinda. Tumepokea kusogea. Tumepokea kupigea atua. Tumepokea ujasiri. Tumepokea nguvu ya kulisoma neno lako. Katika jina la isu. Kila silai tuaka ufanyika juu yetu, haitafanikiwa. Haitafanikiwa. Haitafanikiwa. Kila silai nayo inuka. Kinyume na imani. Kinyume na imani yetu. Mbele za mungu. Kila mapigo ya siri na mapigo ya wazi. Tunayo pigwa. Ambayo ya na tufanye tu question. Ya komba tumiamini sai ya usiyo sai. Kila sila haizo. Hey hazita fanikiwa. Kati kajina laesu silaza muilini na silaza raoni. Hazita fanikiwa. Hazita fanikiwa. Hazita fanikiwa. Hazita fanikiwa. Hazita fanikiwa. Kila hila zaadui kwenye maisha yetu. Hazita fanikiwa. Kila hila zaadui kwenye kazi zetu. Hazita fanikiwa. Kila hila zaadui Kwa watoto wetu hazitafanikiwa. Kila hila zadui kwenye ndoa ezetu hazitafanikiwa. Kila hila zadui kwenye uduma ezetu hazitafanikiwa. [01:35:40] Kwa hila hila zaadui kwenye hafya zetu. Hazi tafanikiwa. Na kila ulimi. Maali popoti. Unautunenia tu me shindwa. Unautunenia tu takufa. Unautunenia tu tapata ajari. Unautunenia tu tashindwa. Katika jina la yesu. Tuna ukumu ulimi huo. Ya kwamba umekosea. Ya kwamba siyosisi. Ya kwamba siyosisi. Wa kushindwa siyosisi. Wa kupigwa siyosisi. Wa kutaperiwa siyosisi. Wa kuwa Kati kajina. Amen. [01:36:20] Hallelujah. Ndugu yangu na amini umebarikiwa na naamini leo tena mungu wamekuchukua level nyingine. Soma neno. Katikati ya dunia iliojea chaos nyingi, story nyingi za kusikika na kufikirika, hadithi za uongo za kukatishia atamaa. Bado neno la mungu lina uwezo wa kushinda. Na siku nyingine iaerewa alhamisi hii, ukashinde katika jina la isu. Ukashinde katika jina la isu. [01:36:49] Ushindu wa siofungu lako. Mabaye hayata kupata wewe. Wala uaribifu wa utakukaribia. Katika jina la isu. [01:36:57] Amen. [01:36:58] Duguzangu tunaibatha siku ya leo alhamis pale millennium tower Makumbusho ambapo tunafanya udumayetu pamuja na mtumishu wa mungu piti. [01:37:08] Ibada inaanza saa kumi na nusu gioni. [01:37:12] Duguzangu Rahabu wakasema hivi. [01:37:15] Tumesikia yale mambo ambayo. [01:37:20] Mungu enu ametenda kama kukawusha bari ya shamu na kuapiga na kuawawa wale wafaume wawili Alisikia, alisikia. Ndugu yangu kusikia ni mkao. [01:37:37] Kuna mkao kikaa husiki, na kuna mkao kikaa unasikia. [01:37:43] Nenda ibadani. [01:37:45] Usiwe na sababu yote. Kama huu na sababu yote ya msingi, usisema mimi nitasari online. Usiwe na sababu yote ya kusali online, nenda kanisani, pambana, kaa cities ambeli, sikia, imagine kama rabu wa singe sikia, mana yake angeangamia sawa na watu wengini. Ndiyo mana unahona kuna jamii nyingine, wengini ni masikini, wengini siyo masikini, na wana kaa pa moja. [01:38:11] Wangine ni wagonjwa, yae siyo mgonjwa, na wakana wagonjwa. Jamini ingine biyashara hake, mtu inaenda vizuri, na yupo katikati yaofanya biyashara ambao, hawafanyi vizuri. Life is personal. Tunaibada leo saa kuminanusu, njoyi badani. Anaisikia kitu live. Ni tofa utipale na watu anawangalia online. [01:38:32] wakati mgini network inakata, wakati mgini network inasumbua, wakati mgini uko uliko wakuna utulivu atawa kuomba. Kuomba ilivyo kazi. [01:38:41] Sembusa kupata mazingira. Njoyi badani. Bada inanza saa kumi na nusu jioni. Hallelujah. [01:38:47] Sifuri 753, Sifuri 8, Hamsina 789 Kwa ndugu zangu wanaunisikiliza Redioni, ndugu zangu wa Dodoma na ndugu zangu wa Dar-e-Salam. Hizo nizo nambazetu za kutoa Sadaka. Sadaka ni suwa la hiyari. Maandiku anasema kila mwenemoyo wakupenda na hamtole buwana. Manake inaanza moyoni. Moyoni mwako ukiona siyo kitu pumzika mtu wa munguma. Ndikuwa nasema kila mwene moyo wakupenda kumtolea buwana na mtole buwana. 07 5308 5789 ni namba yetu ya Vodacom wa mbao tunaitumia kwa jili ya sadaka, pa mbuja na 0659 688 7569, tuguzangu wa YouTube na mitanda yote ya mbayo mnaniona, namba ziko hapo chini. Unaweza ukatumia namba hizo kutuma sadaka yako? Unaweza kutuma namba hizo kupige, au kutuma ujumbe kwa WhatsApp, au kwa kawaida kama unatatizo, unachangamoto, unamambo katha ya katha, unayona ya nakulemea, unakabisa hili sasa. Siwezi, siyo mambo ya kawahida. Mengine mengi tunafundisha na hapa. Na tuna yaweza, hallelujah. Koyo kiona jamboli, inakulemea sana. Unaweza ukatumia namba hiyo na Mungu. Hakubarike, hakikisha, ukosi badani. Usikose. Wezi kujua, utasikia nini. Semoni ya sikumoja tu, maubiri ya sikumoja tu, yanaweza yaka transform maisha yako kabisa. Kuenda kunye kitu kiingine kabisa. Mimi tunawaza, naimagine. [01:40:21] Nyinge tokea siku yo rahabu hajisiki kuenda kanisani. [01:40:25] Hanamudi, anaumwa, amechoka, yuko down, anastress, anasonono, halafu hajisiki kuenda ibadani. Thendo siku yo mchungajua wanafundisha habari za mungu wa wana wa Israel. alivyo kawusha baari ya sham, unafikiri rabu angesema haji hapa kwa hao. Angekua hana point, probably bada nyingi zimekupita ambazo ungeweza kupata neno na kukusaidia kwa sikuyo usitharahu. Maandiku anasema kumina moja yishinatano waibrania. Kwa kade mbafo tunaitazamia sikuile ya kuja Yesu Kristo, basi tusiache kukutanika. [01:41:01] Kwa huwezi kusema unakutanika kama unangalia online, unakutanika na nani pali. We upu hapa, hapa, hapa, Dar es Salaam. Una huwezo wakufika mungwa kutia nguvu na kusaidia kuyatendea mambuha ya kazi yambayo tunazungumza. Kifika saba kamili mchana, piti ya podcast ya Pastor Tony Kapola, ya Mama Piti na Emerton Osborne. Unaweza ukona pali kuna mafundisho mengine mengi ya naendelea kila siku. Niyani nini? Ni kumulisha mtu andani yashibe. Mtoto alie shiba na mtoto ambaye haja shiba wanapiga na vitambiri tofauti. Hata uku waji wawo unatofauti. Ananema ya Mungu ikutunze, ikuifadhi. Kesho tena, saatisa Kamili usiku, mimi na wetu takutana tena. Shalom. [01:41:45] Asante kukua pamoja na mimi kuanzia muanzo mpaka mwisho ibadahe. Usiache kuhomba, usiache kumjafta mungu. Na kama umebarikia na maneno haya, unaweza kutuwa sadaka yako kupitia nambazifatazo 0659 68 75 69 au 0753 08 57 89. [01:42:07] Shalom.

Other Episodes

Episode

November 15, 2025 01:33:59
Episode Cover

Strenghthening your Inner Man III

Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give

Listen

Episode

September 22, 2025 01:04:43
Episode Cover

Dealing With Destruction I

Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give

Listen

Episode

September 13, 2025 00:46:21
Episode Cover

Kuuweza Wakati Ujao III

Ni uwezo wa kiungu unaotupatia hekima, ujasiri, na mwongozo wa kushinda changamoto zijazo. Kupitia msaada wa Mungu, tunaingia katika kesho tukiwa na tumaini thabiti...

Listen