Strenghthening your Inner Man VI

November 21, 2025 01:43:59
Strenghthening your Inner Man VI
Pastor Neema Tony Osborn
Strenghthening your Inner Man VI

Nov 21 2025 | 01:43:59

/

Show Notes

Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give

View Full Transcript

Episode Transcript

[00:00:00] Shalom mpendwa wabwana, this is Mama PT na leo na kukaribisha tena kule isikeleza neno la mungu. Biblia inasema ma neno yangu ni roho na uzima. Neno hili ninawezoa kufufua tumaini na kuleta faraja moyoni. Wenda upo kwenye doruba au mawingu mazitu, lakini kuna neno la mungu li lo hai li naloweza kutuliza mawimbi na kukuletea amani leo. Karibu. [00:00:24] Yohana sura ya kumi, mistari wa kumi. [00:00:29] John 10.10. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu. Mimi nalikudia ili wawe na uzima kisha wawe na utele. [00:00:45] Mwivi manayake ni muizi. Na kuomba ndugu yangu. Na kuomba lakini pia na kuombea. Na kuomba lakini pia na kuombea. [00:00:55] Leo tunaelekea kumaliza Mwisho ni mwa topic hii. Ili wiki ijaya utuwanze kitu kingene. [00:01:04] Kwa hiyo nisikirize kwa makini mana utukufu wa mwisho, wau natabia kuwa mkubwa kuliko wa muanzo. Kwa kati ya mbavyo tunamaliza, kuna mambu mkubwa na mazuri kuliko mbavyo tumeanza. Mwizi haji, ukiona neno mwizi, manayake ni mwizi. Mwizi haji manayake, mwizi hajagi kila siku. Hapana. Hakuna mtu anahibiwa kila siku. Hila kuna specific day, au kuna specific season, au kuna specific thing ya kuhibiwa. Mwizi hahibi kitu chuchote tuu. By the way, mwizi hua natabia kuhiba kitu chathamani. [00:01:43] Hata utakapo ingia kwa mfano kwenye hii nyumba hambayo mimi nafanya ibada wakati ho. Uki ingia hapa kuna vitu vingi sana. [00:01:52] Kuna TV, kuna computer, kuna watu, kuna peni, kuna pencil, kuna stapler, kuna vitabu, kuna mimi mwenyewe, kuna cameras, kuna fani na vitu vingine. [00:02:04] Wewe ukiwa muizi, uki ingia, Unamua uwe kipi ila unaiba as per value. Ukiona njio umeacha mabesemi, mabrush ya lio choka, steel wire, mara pa crocks ya zifanani, yanjano na nyeupe. Umeanika vile vitengi vya mdamrefu ambapo uvifu, mara umeogea, mara kuna saa unafutia migu ivo ivo. [00:02:32] Ukiona mtu kaundoka navio Hivyo kawa, hameviiba hivo, huyo atu muiti muizi. Huyo atu namuita Kibaka. Mtu anaiba mabeseni, haume pika ugali, umeka usufuli angeli na okoku, wakakimbia naro. Huyo siyo muizi, hata usimikimbizi. Hau wanaitua Vibaka. Ukijuwa Vibaka, samani yao ni ndogo, hata kuna biblia hawajaandikwa. Lakini biblia imeungiha baliza muizi. [00:02:58] Zinasema hivi muizi haja, hani hajagi kila siku. Ila siku kimuona hamekuja, hana agenda tatu. Hana iba, hana chinja, na kuharibu. [00:03:08] Hallelujah. [00:03:09] Kwa hitu mesha juu muizi hua hana iba. [00:03:11] Tuende luka sura ya nane. Kuna kitu nataka ni kuonyeshe chap ni anza kipengele cha revelation. Luka sura ya nane. [00:03:23] Mstari wakumina moja. Kwa hiyo kwa wakati wako wewe isome Luka sura ya nane yote. Nataka tuanze Luka sura ya nane mstari wakumina moja. Na huo mfano maana yake ni hii. Mbegu ni neno la mungu. Ambao wale wakaribu na njia ndiyo wasikiao. Kisha huja ibilisi akaliondoa neno hilo mioyonimuao. Ukisoma kwanzia sura ya saba na sura ya nane, Yesu alikuwa anazungumu za habari za mpanzi. Tukisoma sura ya nane, mstari wane. Luka sura ya nane, mstari wane. Mkutano mkuu lipo kutanika, luka sura ya nane, mstari wa ine. Mkutano mkuu lipo kutanika, na wale walio toka kila mgi wakimgia, akisema kwa mfano. Mpanzi alitoka kuenda kupanda mbegu zake, nai alipokuwa akizipanda, nyingine zirianguka kalibu na njia, zikakanyagua, ndege wangani wakazila. Nyingine zikanguka penyi muamba, zilipuanza kumea, zikakauka kwa kukusa rutuba. Nyingine zikanguka kati ya miiba na miiba ikamea pamoja na zo ikasonga. Nyingine zikanguka penye udongo mzuri, zikamea, zikaza moja mia. Alipokuwa, akinena hayo, ukiona mtu kawundoka navio. [00:04:47] Hivyo hameviiba hivyo, huyo hatu muiti muizi. Huyo hatu namuita kibaka. [00:04:52] Mtu anaiba mabeseni, au mepika ugali, umeka usufuli angeli na okoku, wakakimbia naro. Huyo siya muizi, hata usimkimbizi. Hawa wanaitua vibaka. Ukijuwa vibaka, samania unindogo, hata kuna biblia hawa njaandikuwa. Lakini biblia imeungiha baliza muizi. [00:05:10] Zinasema hivi mwizi hajja, hani hajjagi kila siku. Ila siku kimuona hamekuja, anajenda tatu. Anaiba, anachinja, na kuharibu. [00:05:20] Hallelujah. [00:05:21] Kwa hivyo tumesha juhu mwizi hua anaiba. [00:05:23] Tuende luka sura ya nane. [00:05:26] Kuna kitu nataka ni kuonyeshe chap ni anza kipengele cha revelation. Luka sura ya nane, Mstari wakumina moja. [00:05:38] Kwa hiyo kwa wakati wako wewe isome Luka sura ya nane yote. Nataka tuanze Luka sura ya nane mstari wakumina moja. Na huo mfano maana yake ni hii. Mbegu ni neno la mungu. Ambao wale wakaribu na njia ndiyo wasikiao. Kisha huja ibilisi, akaliondoa neno hilo mioyoni mwao. Ukisoma kwanzia sura ya saba na sura ya nane, Yesu alikuwa anazungumu za habari za mpanzi. Tukisoma sura ya nane, mistari wane. Luka sura ya nane, mistari wane. Mkutano mkuu lipo kutanika, Luka sura ya nane, Mstari wa nne. Mkutano mkuu lipo kutanika, na wale walio toka kila mgi wakimjia, akisema kwa mfano. Mpanzi alitoka kuenda kupanda mbegu zake, na aya alipokuwa akizipanda. Nyingine zirianguka kalibu na njia, zikakanyagua. Ndegi wangani wakazila. Nyingine zikanguka penyi muamba, zilipuanza kumea, zikakauka kwa kukusarutuba. Nyingine zikanguka kati ya miiba na miiba ikamea pamoja na azo ikasonga. Nyingine zikanguka penye udongo mzuri, zikamea, zikaza moja mia. Alipokuwa haki nena hayo, haka paza sauti haki sema mwenye masikio ya kusikia na asikie manaki kuna mungine anamasikio lakini hasikii wanafunzi waki waka mauliza yesu, maana yake ni nini mfano huo? haka sema ninyi mbepewa kuzijua siri za ufalme wa mungu bali wengine kwa mifano ili wakiona wa siyone na wakisikia wa sielewe mistari wa kumina moja hambo ndiyo nilikuana utaka na hakuwa mfano maana yake ni hii begu Ni neno la mungu. Yani mfano ule wa mpanzi. Wakati nasugumuzia mpanzi, hame toka, hakaenda kupanda, hakapanda, halikua nasugumuzia neno la mungu. Neno la mungu hili hili ambalo mimi inashare saisi na wewe. Ndiyo mana siku mbili zilizopita nilikuambia. Hakuna vita ngumu ndugu zangu. Zaidi ya uzinzi, uongo, kushinda asira, kushinda nini. Kama vita hakusoma neno. [00:07:51] Yani mtu wanaweza haka kaa hivi. Lisazima. [00:07:55] Asisome neno, asifenjote, hamekatu, awa na chezia si mna kufanya mambo mingine. Hallelujah. Lakini yata kapu wanza tu kusoma neno, vinajitokeza vitu vingine vingi vya kumtoa pare. Imagine, mstari wa kumna moja na huo mfano maana yake ni begu nane kumina moja kitabu chaluka mtakatifu. Mbegu ni neno la mungu, wale wakaribu nanjia ndio wasikiao. Kisha huja ibilisi haka liondowa, hilo neno mioyoni mwao. Wasijie waka amini na kuokoka. Kama una biblia yako kama hii, pigia mistari, neno wasijie waka amini Na kuwokoka. Kuwokoka siyotu kuwa born again. Kuwokoka manake kuwokolewa. [00:08:40] Yona Yohanna Sura ya kumi, Msari wa kumi, maandiku wa nasime mwizi haji ila aibe na kuchinja na kuaribu. Manake ukimuona mwizi, kuna kitu chia thamani, nimekuambia na iba. Mwizi haibi kila kitu. [00:08:54] Mwizi haibi kila kitu. Trust me. Kwanza mwizi anajipa sometime kwenye maisha yako. Anakusogelea, anasogelea nyumba yako, anasogelea mume wako, anasogelea marafikizako, anasogelea mke wako. Then taratibu sana anakusoma. Kwaani ilazake yanaweka wapi, simi yaki waga yanaweka wapi, kwaani nguwa zake nzuri nzuri za skoku wanaweka ga wapi. Kama anavitu vya thamani yanaweka wapi, then yana kusubiria ukiwa umesinzia, aukiwa umechoka, aukiwa umegisahau, anayingia, anayiba. Ndiyo mana wezi wengi ni wanaiba saati sai. Wachachi sana utawakuta saambili, saamoja, mtu wanafungua TV ya mtu kuna nyumba ya mtu. Nearly to impossible. Haiwezekani kwanini. Kwa sababu muda uo, wanafamilia wako macho. Kwa iyo mwizi natabia kusubiri, wewe ulale ndipuaji aibe. Na, tuna kubaliana. Mwizi anaiba kitu cha thamani. Aibe tu kitu cha kawida. Thus, kwa kusema ivo, kwa maninohaya, neno la mungu ni kitu cha thamani. [00:09:58] Nenu la Mungu ni kitu chathamani. Kwa sababu kama shetani, mandiko ya nasima hivi, very specific ya nasima hivi, ibilisi hujia na kuliiba lile neno kwenye moyo na uwakika neno ni kitu chathamani kwenye maisha ya mtu. [00:10:13] Kwa nini bilisi anakuja kwenye maisha yako? Anamkuta mwume wako hamuibi, anamkuta mke wako hamuibi, anakuta watoto wako hawaibi, anakuta biyashara yako haibi, anakuta amani yako haigusi, lakini analikuta neno analiba. [00:10:30] Manake neno ni kitu chathamani. Manake muda hukusikiliza neno, tulia. Manake muda hukusoma neno, yani kwenye akiri yako sagiri. Sio tu kwa mba nasoma neno. Kuna mahali mandi kwa nasema kula gombo. Yani hii unatua kwenye, yani kama vile unapakua chakula, unakula. So ukiwa unayafanya mambuhaya, mambuhaya tunayo yafanya sati sa indugu yangu. Pambana! Hili ni jambo la thamani. Ukitaka kujua ni jambo la thamani, ibilisi na uibilisi wake. Pamuja na kazu ulionayo, pamuja na mume ulienaye, pamuja na mke ulienaye, eti ya na pukuja kwenye maisha ako, anaiba neno. Ana kuenda naro wapi? Maandiko ya nasema hivi, hili, kutokana na uizi huo, washindwe kabisa kuwamini. Washindwe kabisa kuwakoka. Kuwakoka siya okombaiti kusema hivi. [00:11:26] Bwana Yesu, nakupokea wewe, uwe mbwana, haa huko siyo kuukoka Kuukoka manake ni kuukolewa Kuuokolewa kutoka kwenye dhambi Kuuokolewa kutoka kwenye umaskini Kuuokolewa kutoka kwenye magonjwa Kuuokolewa kutoka kwenye mauchofu na mauvivu Kuuokolewa kutoka kwenye kukatishwa tamaa Kuuokolewa kutoka kwenye kukata tamaa Yani kuuokoka manake ni kuuokolewa Exempted from evil Kutengwa na uovo manake ndiyo kuuokoka Hallelujah. Neno la Mungu ni kitu chethamani. Muda wakulisikia neno, usifanyi masyari. Unalisikia neno kwa niyaba ya watu, wengi sana. [00:12:09] Wengine watoto wetu ndugu zangu, siyotu wadogo katika mwili. Wadogo na wachanga katika mambo ya imani. Wana tegemea hivi, mama nita muuliza, nita mumbia mama, nililala usiku, nikaota ndoto fulani, maana yake nini, inamtaka mzazi, awe yame shiba, awe loaded kwa mtu wake wandani. Asiseme hivi, mgoja nipigie mama piti, mgoja nipuulize mtu fulani, aseme haa, muanangu umeota nini, mama nimeota ndoto fulani, anasema upo upo, ulipo, weka mkono wako tumboni, tuombe, au haa, hiyo ndoto, wacheto mshukuru Mungu. [00:12:44] Kwa hiyo ndoto, wapana manangu. Ngoja nikimbie kaluni, nikatoe sadaka. Au kwa hiyo ndoto, marafikizako wangalie vizuri. Una marafiki wangapi? Hua munaenda wapi? Hua munafanya nini? Mzazi. Mzazi aliejia ufahamu wakimungu. Watoto wako salama, mke yuko salama, mume yuko salama, kazi yuko salama, uruma yuko salama, familia yuko salama. Yani mtu mmoja tu aliejia wa ananenu, anatosha. [00:13:14] Nikasema jana ni atari, wengine tunapukuangalia wewe kwa njicho la matumaini. Nyumbani kuenu, uki misalimia baba, babakwa na kuambia maraba mama yangu. Maraba baba yangu. Yani mzazi wako ni mzee, mzazi wako ni mtu mzima, lakini wewe taali ya meisha kupa majukumu ya mama yake. [00:13:35] Manake wewe ni mzaliwa wakwanza, nikasema tupo wengi tuambau sisi ni wazaliwa wakwanza na tuna michezo hatareishi sana. Yani kwenye mambo ya msingi, maisha yana mambo ya msingi. Kuomba ni jambola msingi, kufunga ni jambola msingi, kusoma neno ni jambola msingi, kutuasadaka ni jambola msingi, kuthuria ibada ni jambola msingi. Usikubali mtuyo yote haku wamishamisha kwenye mambo ya msingi. Soma neno, soma neno, haya mambo mboyo na wambia kila siku. Kadi siku zinavuziri kuenda, ipo siku sitayahungea kabisa. Nitaamini mimi na nyetu mekua, kwa hiyo nitaanzia maali pa makuzi kuenda mbele. [00:14:14] Kwa hiyo Master Mapema, ya kumba siitaji mtu yoyote haniyambie funga wiki hii. Siitaji mtu yoyote hani kumbushe, haniyambie tulia ibadani. Kila unapovavi atuviyako, ukachukua usafiriwako, ukafika kwenye nyumba ya ibada yoyote, nyua ni mekuja kuchukua kitu chethamani. Tulia. [00:14:33] Ndiwa kabisa nimekuja hapa kumiskilizi ya mume wangu. Wengine wetu wa umezetu hawamini. Wengine wa umezetu walevi. Wengine wa umezetu hawa ingi ata kanisani. Wako taari kutuendesha kwenye magari yawe ya thamani na kutudrop unje ya nyumba zaibada. Halafu hiya na undoka. Anakuenda bao, anakuenda kuangalia mpira, mama unakaa pali, unaskiliza neno pekiyako. Sasa, wewe yambe umewe kupali, kama mzali wawakuanza kwenye familia. Mumeo hayupo, amekuenda kucheza bao, amekuenda kuangalia mpira, wewe umeingei badani. Vi totofi yako ni vidogo, vi meenda Sunday School. Hata kule Sunday school pia, have to leave, ina kimbia kimbia, kwa hiu katika familia nzima, wewe pikia kundi wangalawu, una akiriti maamu, umeingia kanisani, ukifika pale na mtumishu wa mungu anafundisha, nguyangu tulia Acha kujishulisha na mambo mengine mengine ya kuhuliza majirani, tuonani ya ibada, kikoba ulitowa, vipi nimependeza, lipstiki imekuwa je, hei, hizi nyole unaona je? Nisuke unayo, aaa, uo siyo mdawake. Kwa nini? Kwa sababu kilicho upeleka pali, ni vile tu hujui thamani yake, au unakuenda kwa mzoea. Lakini kila muendo unawotoka ulikotoka, then unaelikea kuliskiriza eneno la Mungu, ilatakia uwarakishe. inatakiwa ukimbie na ukifika pali utulia, ukaye mkau wakupokea mana huwezi kujua siku iyo mungu atakuambia nini na nakuambia nini kwa niyaba ya watugani Kuhizi ni training, zahia ni mafunzo Neno la mungu kwa mtu wandani ni kitu chathamani to the level ambacho Ibilisi hana kujia, shetani hana iba icho, shetani hana kukuta na wigi, hana riacha. Shetani hana kukuta na vito vya thamani, hana kuwacha. Ma ukitaka kujua, neno ni kitu cha thamani. Ma andiko, ya nasema hivi, kwenye kitabu cha ayubu sura ya kwanza, Biblia nasema hivi, wana wamungu waka nyiuthurisha kanisani mbele za buwana. Shetani na ibilisi, haka enda kati kati yao. Yani kila hakiona kuna neno la buwana, anenda kukaa. Hili yafanya nini, hakupe usingizi, hakupe uchovu, hakupe moods, hakupe kukasirika, hakupe kukuazika, ushinduo kupokea, anajua nini kabisa, anacho kifanga. [00:16:53] Anajua exactly yanacho kifanya, anaiba Maandiko yanasema hivyi, lakini ibilisi hudia kuminamodia Luka sura ya 8, misteri wa 12. [00:17:04] Wale wakaribu nanjia ndiyo wasikiao. Kisha uja ibilisi, aka liondoa neno mioyonimuawo. Tuna kubaliana, kusikia peke aki haitoshi. Unaweza ukasikia na ukafurai, ukawa excited. Baada sikumbiri, neno lile ulo lisikia, unashindwa kuenda kuli-apply same nyingine kwa sababu li meibiwa. [00:17:29] Halipo, uwe huja hii kusikia neno, juu ya utajiri na mafanikio mtumishwa mungu wanafundisha, theni ukawa so excited, ukafurai, ukasema wao, nimelelewa ili neno, siitakua masikini tena. Baada, sikumbili tatu, kuna kauli unazisema, mpaka tunajiuliza, hui muenze tu, kwenye ibaada alikuwebo, mpona hanaungia maneno kanakuamba hayopo? [00:17:54] Kumuimarisha mtu wako wandani. [00:17:57] Mtu wandani ni kama mtu wanje. Una niona hapa ndugu yangu, nini misimama hapa, nina kichwa, nina macho, nina pua, nina mwili, nini mivanguo. Ni mejipamba, ni wewe tuwa umejipamba nini. Ni mejipamba, kuna vitu ni mepiga vipia kabisa. Ni wewe tuwa najicholako la shali. [00:18:18] Ni mevangwa yangu ya njano hapa, ni kiwakilisha madini ya Tanzania leo. Ni meyamua nifike, neza kupata mawaso ya kuwa mchimbaji. Kuhu ni mevapa, ni mependeza huyu ni mtu wa nje. Mtu wa nani? Yule neema mama piti wa mtu wa nani? Yuko hivi hivi kama unafanyona mimi. [00:18:37] Yuko hivi-hivi, hana macho, hana pua, hana maskio, hana ngu, hana wa. Yuzi tuka soma kwenye petrol kwanza 3-3, hana mapambu, hana nyipamba. Mimi ukunje nime wa hereni, nime piga vitu falani hivi, lakini yule uandani yetu ndo poda changamoto hana. ya ya na upole na sijui utuli utulia na mambo kama uli na siyo kwa mba haja jipamba ila hami jipamba chakula chakuanza cha mtu wanani ili haweze kunenepa na kukua na kuongezeka kina hito wa mfungo Lakini naomba nikiachi hiki chakula kwanza niluke mpaka kwenye chakula kinaitua Revelation. Chakula kinaitua Mafunuo. Chakula kinaitua A Unique Way. Njia yako ya tofauti ya kufanya mambo yaku. Ndugu zangu. Maisha haya. [00:19:33] Kama wewe ni msumaji mzuri wa neno la mungu, lakini pia hata kama umeishi apa dunyani, ukiwa hujawai kabisa kusoma neno la mungu, utakubaliana pamoja na mimi, hakuna jipia chini ya jua. Hakuna jipia kabisa. Na pia hata hizi vita ambazo tuna zizungumzia kila siku, hakuna vita mpia. [00:19:56] Hallelujah, bisikirizio kwa mwakini ndugu yangu, mimi na wewe leo, tunafurahia buwana. [00:20:02] Hakuna vita mpia, hakuna changamoto mpia. We angalia tu maisha ya vizuri, utagunduwa hakuna changamoto mpia. Kabisa, zote ni zile zile. Hapa nazungumzia hata kama huja wai kusoma nino la mungu. Let's say wewe ndiyo mara yako ya kwanza unajihunga pamuja na sisi, huna biblia, kabisa, laba ndiyo kwanza saisi unadownload, akonye simi yako, nimesema hapo ya kuamba tusome Luka sura ya nane, tukasoma pia John 10-10, ndiyo kwanza unadownload, huna biblia, ni kutue wasiwasi, hata katika maisha yetu binafsi ya kila siku, hakuna tatizo jipia. Yani, matatizo yako it's either unahumwa, Unauma mwili, yani marelia, utihai, kiuno, macho, ukimui, figo, ini. Hakuna jambo jipia. [00:20:55] Hata ugonjwa mupia. Hakuna. Magonjwa haya yapo years, miaka mingi. Marelia ipo. [00:21:02] Haya, tatizo jingine utakalo kutana nalo kwenye maisha labda changamoto za mausiano. Hakuna jipia. [00:21:09] Mausiano nini either umepigwa Wiyo maiwako ni bondia anakupiga au muongo anakudangania au mchoyo. [00:21:21] hana kunyima chakula, hana kunyima hela, hau mbairi, hau muhuni. Hana kumbia neno ilo ilo moja na kuna wanaume wenzio, hau wanaake wenzio wengitu, hana wambia neno lile lile. Yani yakiwa na wewe, you feel so special. Hana kumbia I love you, lakini kwa kia I love you, ni neno la kawida hana wambia wa stiyana wate na ukutana na u. So, changamoto za mausiano ni zile zile. Hakuna ambia. [00:21:47] Ndugu zangu, changamoto za konyi kazi. [00:21:50] Kushushwa, cheo, kufukuzwa kabisa, kupunguziwa mshaara, kupunguziwa kitengo, ni hizo hizo. Ukia chunguza maisha haya, utagunduwa hakuna changamoto mpya. Then ukienda mbali kidogo, ukaenda kwenye biblia, utakutana pia na changamoto zile zile. [00:22:07] Hakuna changamoto mpya, na niyo mane inatakiwa tu kwa kati yambabu siku zina kue nda ndugu yangu. Ukue! Yani ukue tu na ukue upunguze zile tuna hita panic disorders. Yani kitu kina kutokea, unasaidi ya mangi, ime kuaji? Kwa nini? Yani hakuna nyipya. Hakuna nyipya. Hata mtu haki kutukana. Hakuna tusi nyipya mbalo wana kua invented today. Hakuna. Yote ni yali yali. Ila! [00:22:35] Hii ponjia umpia ya kusovu changamoto zile zile zazamanu. [00:22:41] Zile zile. Zile zile. Hila matatizo ni yale yale. Yale yale. Kila huluma unazo ziona pa dunyani, zina changamoto. Unakuta labda kuna changamoto kwenye uongozi, au kuna changamoto kwa subordinates huku. Labda waasi wengi. Kila huluma utakuta kuna watu wanaundoka, lakini pia kwa kati ambavo wanaundoka, nijo kuna wengine wanakudia. [00:23:06] Kawaida, Hamuka na Mwapiti, kuna watu ambao tulianza nao, wakafika katikati, wakachoka kuhamuka usiku, hawapo tena. Lakini chakushangaza, kadri siku zinabiu endelea, Hamuka na Mwapiti, tunaungezeka. Kwa hiyo, siyokomba atupati challenge ya watu kuondoka, watu wanaundoka. Then pia, tunapata challenge ya watu kuflock in. [00:23:28] Kati mingine, tunapata changamoto ya internet. [00:23:32] Watu wakiwa wengi, Vodacom, wanalemeo. [00:23:36] Kwa hiyo changamoto zipo zile zile, lakini namna ya utatuzi wa changamoto hizi ndiyo upo tofauti. Ndiyo upo tofauti. [00:23:50] Kila mtu kwenye let's say mausiano yake na ndoa yake anachangamoto. [00:23:57] Nikikuambia kuamba nimeishi maisha ya ndoa mbao ni smooth, haya na changamoto, nitakudanganya. Kwanema ya Mungu, tukisukisha December 7, mimi nitakua nimeishi na pitii tukiwa kwenye ndoa miaka kumi na tano. Nitakudanganya ndugu yangu nikikuambia, miaka kumi na tano yote ilikuwa miepesi, nitakudanganya. Kuna nyakati unatamani kama vile umefanya mamuzi ya haraka sana. Kuna wakati unaona eh! Mbona haku ni chukua mapema? Mbona mambo yako muake muake raha? Mbona ngetakiwa hii anvesarii tuwe sasa na miaka 20? Kwanine singe nio miaka kalibia 20 ili opita? Lakini guna moments unasema hivi, hivi nilimtoa wapi? Yani ilikuwaje siku yoi ni kasema yes I do. Pastor niniyelewa, awa kunielewa. [00:24:47] Lakini, ndoa zina changamoto na mausiano yana changamoto. Ila, Katika hizi changamoto, kuna muingine anabeba vituvi yake, anaenda nyumbani. Anasema siwezi. Huja nitoa kwenye mti na hundo kazangu. Kwa wazazi wangu kuna TV na kuna kitanda na kuna wali ambao viumba vietu tangia tu metoka majumbani kuetu, wata wadoguzetu wame katazwa kuingia. Yani umesha olewa lakini baba nasuma hiki chumba ni chadada mage Kwa hiyo mage huku alikuwa naishi lakini kubaba haki na mama haki hana chumbachake kiko wazi Ndiyomona kitu kidogo tu anajua chumbachangu kipo narudi nyumbani Hila ndoa hizo hizo kuna watu napitia changamoto na wapo? [00:25:29] Waposawatu, they are very stable, wako makini, wako sawa, uwaoni kwa njinje kama wana stress, kama wana musongo wa mawazo, au wana depression, tina unamkuta ata haki ingia kanisani, haongei, haombei kabisa bali za baba George, huko nyumbani, do you know ndugu zangu, tunamamazetu, Na watu wazima waliyotu uzidi katika ndoa au mausiano, anaingie nyumbani mwabwana, anaumbe ongezeko. Baba katika jinalesu, bariki uduma ii, uduma ii, ongezeko. Nyumbani katoka kapigwa na Baba George. Nyumbani kandua usirudi. Hilo kanisa Lawahuni, unaenda usirudi yapa leo. Ana mambia, Baba Ji, Baba Ji, utaniona siku zote. Uyo anakuwea boda, anafika church. Na akifika kanisani, mama yule anaimba. Mama yule anasifu. Ana msifu Mungu as if. Nyumbani kuko sawa kabisa, kumbia najua kabisa. Sijui kama leo nikirudi nyumbani, babaji ata nyelewa au hato nyelewa. Hapa na kifika tupali, hata kwenye maombi, hamtaji, hawezi kusema buwana corona, mpige babaji huyu, hafe, hapati stroke. Hata hamtaji, hii anaombea tukazi ya Mungu, hana mombea mchungaji, hana mombea mama mchungaji, hana ombea swini watenda kazi pale, hana ombea teams pale, hana ombea mambo mingine kabisa, haki maliza nakombea mama ji, hana biba kimkoba chake, hana inda nyumbani. Yani ukimuona mama ji, muwezi kujua kabisa kama hana marito crisis. Lakini kuna muingine, hapigui Haji fanyole hote baya, message tu hajajibiwa. Kanisani ni maombi. Hayo, hayo. Tu kisema hizi, tu na muombea babayetu piti. Baba naomba kwa jili baba angu piti ili aweze kua sawa, aweze kusovu mgogolo wangu mimi. Yani kwenye kila prayer point, ana muunganisha mtu wake. Haya tu ombea uchumi. Baba nga tika jina lesu, barekia uchumi wangu. Ili baba ji. Ha'ache kuninyanyasa. Iri babaji. Ha'ache kunipiga. Haya bas tunaombea wakwe, wapande ezote. Baba, namoombea mamamko wangu. Iri babaji. Yani anazunguka, lakini prayer point, unindowatu. [00:27:34] Wote hawa, wapo kwenye changamoto za ndoa, lakini wanawe o Yasog Mambo tofauti. Kuna kitu kinaitua mafunuo. Wazo laki mungu. Wazo laki mungu. Yani, unakua umekatu, then unapitia au upitii changamoto flani, lakini lina kujia kama wazo. [00:27:55] Kama wazo wazo laki mungu, wakati mungine, inakua kama like a very strong conviction. Ndugu zangu, wafilipi mbili, mstari wakumi na tatu. Wafilipi sura ya pili, mstari wakumi na tatu. [00:28:19] Maandiko ya nasema hivi, kwa maana Ndiye mungu atenae kazi ndanienu narudia Kwa maana Ndiye mungu atenae kazi ndanienu Kutaka kwenu na kutenda kwenu Kwa kulitimiza kusudi lake jema Wanayesu nisaidie mimi na ndugu zaangu Wafilipi sura ya pini mstari wa 13 Kwa maana Ndiye mungu atendae kazi na nienu Kutaka kwenu na kutenda kwenu Kwa kulitimiza kusudi lake jima Tusome u mstari teratibu kwa mara ya mushu Kwa maana Ndiye mungu. Yani kuna mungu wapo. [00:29:18] Atenae kazi dhanienu. Manake, kuna mungu. [00:29:23] Halafu kuna mchakato wa utenda jikazi. [00:29:26] Ila huu mchakato wa utenda jikazi, unatenda kazi dhanienu. Sio nje enu. Sio nje enu. Dhanienu. [00:29:37] Kutaka kuenu moja. Kutaka kuenu mbili na kutenda kuenu. [00:29:45] kwa kulitimiza kusudi la keje mandugusa. For it is not your strength but it is God who is effectively, yani shio rojo rojo, effectively at work in you both to will and to work that is strengthening, energizing, na kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa An energy deep within you. [00:30:47] Kama angala umeshi alatatu kwa mda wako, unezo kachuko biblia yako, ukadownload other versions za biblia Kingereza. Hapa nimesoma tuchache Amplified pamoja na i the message. And then tutarudu kwenye kiswa ilichie, tutanielewa tu. Nimetamani kupanua uelewa, kutokana na uzitu wa jambo, ro mtakatifu wa leoni, pakulizungumuza kwa kuleo. [00:31:10] That energy is God's energy, an energy deep within you, God himself willing and working at what will give him the most pleasure. [00:31:23] Kiswahili ya nasema hithi, wafilipi mbili kumina tatu kwa maana, ndiye mungu atendae kazi, mungine anitaftie hapo KJV. [00:31:37] Yes, KJV. Naumba version ya KJV hapa. Kwa maana ndiye Mungu atendae kazi ndanienu, kutaka kuenu, sharp please, kutaka kuenu na kutenda kuenu na kulitimiza kusudi lake jema, KJV. KJV anasema hivi, For it is God which worketh in you. [00:32:00] Yani huyu anakuwa ni Mungu ila Anafanya kazi dhani yako. Yani nimezungu kakote huko. Nadaka tunikuoneshe jambo moja. For it is God which works in you both to will and to do of His good pleasure. [00:32:16] Aye, turudi sasa kwenye Kiswaili chetu. Lakini kwenye Kiswaili chetu, pia tunayotafsiri ya Kiswaili kabisa version nyingine ambayo inaitua Neno. Hembu tufike pali kwenye Neno. Tuangalia mituambiaje kwenye wafilipi sura ya pili mstari wa kuminatatu Kwa maana, ini ya kiswaili Kwa maana, kwa maana, yes? NLT NLT, sante Una mtu wame nipatia another version hapa NLT For God is working in you Mungu yupo anafanya kazi naniyako giving you the desire and the power to do what pleases Him. Now, turudu kwenye kiswa ili chetu. [00:33:08] Wafilipi sura ya pili mstari wa 13 kwa maana ndiye Mungu atendae kazi naniyeno kutaka kuenu na kutenda kuenu kwa kulitimiza kusudi lake jema, ndugu zangu zamani. [00:33:24] Agano Lakali, kabla ya ujiyo wa Yesu Christo, Mungu alikuwa haka indani ya watu. Mungu alikuwa nakaa juu ya watu. [00:33:35] Sio ndani. [00:33:36] Sio ndani. Baada ya ujiyo wa Yesu Christo, yaani Agano Jipia, ndiyo mana hii wa Filipi haipo kwenye Agano Lakali. Hiipo Agano Jipia. Kabla Yesu Christu hajaja, Mungu alikuwa anakaa juu ya mtu, si yondani. Juu ya mtu kwa mahanagani, kwa manahii. Ndiyomana unamuona Samsoni, si kiramala alikuwa nanguvu. Mungu alikuwa anakuja, anakaa kwa mtu. [00:34:02] Anakaju ya mtu na kumpa assignments, kazi wa katha wa katha za kufanya, then Mungu wa kisha maliza yali majukumi yaki kwa mtu yule, anaondoka. Ndiyo mana unamona Samsoni yule yule, roo wa Mungu alikuwa akiwa juhu yaki, anachukua yali mageti anayabeba, anapandisha kwenye mabega, anaondoka. Ndiyo mtakatifu, hei, roa mungu alikuwa kiyondoka, anasema hivi samsoni, anakuwa monadamu wakawaida. Yani anakana Delilah, wana piga story, Delilah anachukua mpakuwa mafuta, anapakata. Kwenye mapadya yake mpakuwa mafuta, anapakatua na Delilah wakati mungu hayupo. [00:34:44] Kwa kuwa zamani ilikuwa mungu wana kujia seasonal, anakuja kiuwa na assignment fulani, anakuja kiuwa na jebo fulani tu kwenye maisha ya mtu, anakuja anafanyia kitu kine hitu wa uvuvio, anavuvia kwa muda uotu, then yule mtu akimaliza majukumi yaki mungu wana undoka, yule mtu wana kuwa mtu wa kawaida kabisa, anahindelea na mambo yake mingine. Samsoni anatembea, anahona Simba kwa mbali, anakujia wazazi waki ya miwatanguliza mbele Rowa Mungu anamvaa, anapatanguvu, anamrarua yule Simba, anamuumiza vibathana, anamuacha Simba ananza kutoa asari, kaumiam paka katoa asari Alivuanza tu kutoa asari, Samsoni anaruri, anakua mwanadamu wakawida Mwenenjia, anachukua hile asari, anakula Hilo yilikua ni agano lakali. Agano nyipia, Mungu wakaona uo utalatibu, hauweze kane tena Ndiyo maana haka wambia, wanafudzo haki msi jisikie vibaya, msi jisikie uzuni, mina wa shangaa mna lia nini? Msi lie maana, naundoka mimi hila hana kujia msaidizi. Uyu msaidizi ni no more, ilitakiwa ni kiwa nakufa mshangilie mfurai kwa nini kwa sababu na waletia msaidizi. Uyu msaidizi si wapi na kuanyanganya. [00:35:57] We mtu andani unayi moja kwa moja, sio kwa mba leo unayi, keshwa unamu. [00:36:03] Kwa hivyo, Yesu wanaumbia hivyi, wanafunzi wangu, msiliye, msijisikevi bae, na waletia msaidizi, msaidizi ya liwa pakua mke, msaidizi ya likua niromu takati for stroke, mtu wa ndani. [00:36:15] Yani kila unaponisike minazungumuza bari za mtu wandani na mzungumuzia room takatifu. Sasa mtu wandani au room takatifu kwenye agano njipya tukapewa kama zawadi ya mlele. Kila anai mpokia Yesu Christo kwa buwana na mokozi wa maisha ke na anaenda apo na zawadi ya room takatifu. [00:36:34] Kila unaposema vibwana yesu na kupokia wewe kwa buwana na mokozi wa maisha yangu na mkata shetani na kazi zake zote na mambo yake yote. Ukishamaliza kusema sala yatoba, kinachofu ato, ro mtakatifu wanakuja. Pamesha kuwa pasafi yanakuja. Hiyo ndiyo tofauti ya aganu lakali na aganu jipya. [00:36:53] Yani yagano lakali hulikuwa anakuja seasonal, anakuja kwenye assignments, lakini yagano jipya unae masai shnane. Ndiyo mana anasema hivyi. Kwa maana, wafilipi mbili 13, kwa maana ndiye Mungu atendae kazi, siyo njienu tena. Siyo njienu tena. Uyumungu mbili mpokia saizi, anafanya kazi nani? [00:37:15] Hanafanya kazi ndanieno, halafu inavipengele viwili. Kutaka kwenu na kutenda kwenu. Yashike yu manieno mawili. Ndiyo revelation, ndiyo mafunuhu. Yani mtu wa ndani, hakishakula chakula. [00:37:31] Mwanayesu naomba ndugu zangu wanielewa. Kinielewa leo umetoka. Kinielewa leo utajidara utena. Kinielewa leo hata utakapu kwa unasoma nieno, utalisoma kwa uzito sanga. [00:37:43] Hapo kuna vipengele viwiri, kutaka na kutenda. Kwa hiyo, ni yei mungu atendae kazi indanienu. Yani yanakua ni mungu halafu anatenda kazi indanietu. Akishianza kutenda kazi indanietu, kinachofuata ni kutaka kuetu na kutenda kuetu. Manayake kama roo wa mungu, yuko ndaniyako. Unachokitaka, ndiyo mungu atakitaka. [00:38:09] Unachokitenda, ndiyo Mungwa nakitenda. Na ndiyo mana unatakiwa kuwa makini na matendo yako. Ukinuna, ukikasirika, ukigafilika, ukipigana, mandikuwa nasema mahali falani, yee, ifinye watu mnaakiriko, hamdziwi, ya kwamba miilienu, ni hekalu, laro, mtakatifu, vaa vizuri, kula vizuri, ongea vizuri, kuwa na nithamu, kuwa na adabu, kwanini, ndani yako wewe kuna Mungu, Ndani ya koe kuna mungu, siyo juhu yako, ngugu zangu, sisi wote. Mimi pamuja na unayiniangali hapu, mungu yuko ndani yetu. Kwa hiyo, kule kutaka kuetu na kule kutenda kuetu, niyo mungu wa metaka. Niyo mungu wa metenda. [00:38:55] Na ni kwa sababu tu ya kuchelewa kujifunza mafundisho haya. Tu mechelewa kweri kumisikia au kusikia mafundisho ya namna ya kumisikia Mungu. Ndiyo mana tunakuenda aroundi kuahomba watu wengine Ushauri, hata mungu ndani yetu wanasononeka, mungu ndani yetu wanajisikia vibaya, hanasema neema, hanasema dada Margaret, ndani yako wewe mimi nimekaa, unahendaje kuomba ushauri kwa mtu mgini nyinje, nyeye mungu atendaye kazi, atendaye kazi, ndani yenu, yani unacho jisikia wewe umdani, ndiyo mungu. [00:39:32] Ndiyo mungu anachokitaka. Kwa hiyo, ukijisikia Ukijisikia, kugombea. [00:39:39] Kwa luga nyingine, nani yako, Mungu wameona kuna assignments kwene iyo kata, kwene iyo tarafa, kwene iyo wilaya. Kwa iyo anakuekia kitu kinaitua msukumo. Right number one, msukumo. Kwa iyo revelation au mafunuo ya namba tana na msukumo. Yani tunasema convictions. Yani unokuwa umeka ato, lakini unasema apana. Na jisikia kufanya jambo fulani. Respect your feelings. Kila unapojisikia kufanya jambo fulani. Juu wakabisa ni mungu wana kuambia. Unaingia ibadani. Kwenye nyumba ya ibada, let's say kanisani. Unaona madhabahu imipambu wa vibaya. Unaona pale mbele ni pachafu. Ruhu ya kondani inasunoneke. Unasema jamani. Ili ni kanisa gani hawana mafagio. Usitume watu. Usiagize mtu mgini. Hembu uchukua fagyo, fagyo ya pali. Kwa kuwa wendo umesikia, hiyo ni ya assignment yako chukua we. Kila unacho nchisikia nani, ni Mungu ndivyo anavyo jisikia kwa wakati huo. [00:40:43] Kuna kitu kinaitwa convictions. [00:40:45] Misukumo ya ki mungu. Unajisikia. Haini unajisikia ato. Huna sababu yoyote ya msingi. Lakini katikati ya kuscroll na kuangaika usiku. Gafla umejikuta, amuka na mamapiti. Kwa huku unje huku, wanavu mzungu mze mamapiti, unuona ni kitu gani, hivi misuwezi kusikiliza. Lakini something within you kinakuambia, Ananinulako uyu. Mskilize, ananinulako uyu. Sawa, inazikana kuna haya, kuna haya yana ungelewa, but ananinulako uyu. Himbu mskilize, that conviction, kuhu msukumo wo, ndicho mazao ya chakula, cha mtu wandani ya kishiba, anakupa msukumo ilio sahi. Kwa sababu, huku kukua ni msukumo, kuna mtu anasukumu wa mpaka anaenda baa. Kuna mtu anasukumwa mpaka anayingia lodge, kuna mtu anasukumwa mpaka anayinda kukopa. Yani ya mekatu, na ndiyo mana the biggest revenge au punishment unaaweza kumtakia au kumuombea duyako ni kumupa misukumo rongu. [00:41:47] Hujayikuona mtu wamekaa, hana jisikia tu kukopa. Hana jisikia tu kukopa. Hana shida yoyote na iyo elahana. Lakini kuna kitu kinaitua spirit ya debts. Roo ya madeni inamuita mahali. Inamuita mahali. Inamutengenezia convictions. Inakuza zile intuitions. Oh my God. Inakuza inakuza hile intuitions zake zandani. Mpaka anasima hivi, mgoja na mimi ni kope. Ukimuuliza kwani umekopa? Kwani umekopa? Unajua kila mtu... Na ndiyo mana nimekwambia kutaka na kutenda. Yani kutaka kunaenda pamoja na kutenda. Ndiyo mana mtu anahiza kawa wamekaa. Inapo kujia idea ya kuenda kuzini. Ndugu zangu kuzini ni process. Una tafuta venue, una tafuta eneola kufanyia, una tafuta mtu wa kufanya nae, una tafuta muda, una anza kubuni mwinu. Tuingie saangapi, tutoke saangapi, tufanye kwa mdagani ili uwasituhone Kwa hiyo, kuna kutaka kuzini na kuna kutenda kuzini, tendole nyemi Kwa hiyo, hila kuna mchakato wa kutoka kwenye kutaka mpaka kwenye kutenda Ambao mchakato unaendelea kichuani kwa kutumia mtu wandani Na ndiyo mana unatakiwa umlishe kweli kweli. Kwa nini? Mawazo yako, maamuzi yako, ya nategemea mtuwako wandani, hame shiba kiasigani. Kama haja shiba tu, utakua na hela na utaiba. Kama haja shiba uwandani, utawalahani watu, hamao ndiyo baraka yako. Na utawabariki watu, hamao ndiyo olahana yako. Kama mtuwandani haja shiba, utainuka, utaenda kukopa, mali ambapo huitaji kabisa hizo feather. Kama mtuwako wandani, yupo weak, Mnyonge mnyonge, revelations, mafunuo, changamoto zina kuja kwenye maisha Nobuna ni katoa mfano, mtu anakutana na changamoto, mtu, watu ni wawiri Changamoto iyo iyo moja, maandiko ya nasema hivyi, watu wawiri wali jenga nyumba, wote wali jenga Mmoja akajenga kwenye muamba, mwingine akajenga kwenye mchanga Dhoruba zikaja, kama hivyo kawaida ya maisha, dhoruba utazikuta tu. Hata ukuwa mnye nyekevu kiasigani. Unasema mimi kwenye ndoa yangu ni itakuwa mnye nyekevu na ungea kama mamapiti. Utaungea kama mamapiti na bado utaikuta misuko suko, misuko suko, ipotu. [00:44:10] Utasema this week kazini natulia Na wae kufika na chilewa kuhondoka Na jitoa na fanya kila kitu kila kitu wapakazini Ndugu yangu, utafanya kila kitu kazini Na bado something will be wrong wenye uema wako Siyo kila mbaya mekosia, mekosia kiwa natinda mabaya No, wengini tumekosia katikati ya kutenda mema Katikati ya kuwa please watu Katikati ya kuwa ufuraisha watu Tuka kosea Kwa iyo Mifungo, kwa hiyo kufunga, kwa hiyo kusoma neno, kwa hiyo kuomba, kote huku kunaenda kunaenda kunaenda mpaka kunaathiri mchakato wa imani ambo imani inakuleta sasa kwenye maali pa mamuzi I mani inakuleta sasa kwenye wafilipi mbili kumina tatu I mani indo inakuambia Wewe unapitia changamoto Mumewako hame kufungia mlango Siku thelathini, siku thelathini haja kuongelesha Lolote, let's say ulilalana ile siku ya kwanza Nduguzangu tunajuana kama ulikuanae mumeo Na habari kawa nzuri, mambu ya kenila vizuri sana Baada ya siku mbili anakuita tena Baada ya siku mbili anakuita tena Esta hakuitua tena Hakuitua, hani haliitua moja Maandiko ya nasimafia kapata kibali, mfano miaka mpenda, haka sima hui ndiyo malkia, baada hapu waka undoka. Ni mumegani yambea na ua mke, pensi bichi bichi. Ni malkia yete na changamoto. Usianze kusimafia kwa sababu mini masikini, kwa sababu mimi hali yangu siyo, kwa sababu mimi hivi doona nionionea. Kwa sababu, mm-mm, Esther alikuwa ni malkia yete na changamoto. Haya we ni malkia wanguba. [00:45:56] Tumekuteua. [00:45:57] Dada Margaret. [00:45:59] Malkia wagoba. [00:46:02] Misi goba vijijini. [00:46:04] Mwenzio, malikia mwenzio basi. Malikia mwenzio estha. Pamuja na tagi ya kifalme. Tagi ya kifalme kwenye kichwa chake. Pamuja na mavazi ya kimalkia ya kifalme ya liokuwa nawe. Yet, haka pata changamoto. Kama hamavio ni kawahida, maisha na changamoto. Sasa, changamoto zina pukuja kwenye maisha. Husovu changamoto kutokea inje, kuja andani, utakosea. [00:46:28] Ndiyeye mungu atendae kazi, ndani kwa hiyo. Mzigo hote unanzia ndani. Majibu yote unanzia ndani. Kutoka kote unanzia ndani. Kufanikia kote unanzia ndani. Mahe utajiri hote unanzia ndani. Amani yote unanzia ndani. Ndugu yangu, kama ndani yako hamna amani. Huku nje, hata tuki kubembeleza, hamna. Hukunje hata tukikupaela, hamna. Kuna binti yangu mmoja wana mshanga sana. She is always sad. Always. [00:47:00] Yani hata uchekeshe vipi, acheki. Hata umpele vipi. Jana nikuwa naongea na Dr. Alpha, yu ya jambo fulani, la mambo ya uongozi na nini. Nikamombia I have come to realize money is not enough as a motivation. [00:47:14] Yani ukiwa umezungukwa na watu wana kusaidia mambo wakatha, pesa. Sio kitu peke chaku wapa, chaku wasababisha wafanya kazi. Wapena yesu. [00:47:26] Utambayela na bado yuko sad. Kwa hiyo uponyaji na majibu ya kila kitu vinaanzia ndani. Ndiyo mana Esther hakaja, Modeka hanamombia hivi tunajambo. Tunachanga mwitu hapa Esther. Esther hanamskiriza hito. Hanamombia hivi shida nini, hanasema hivi kunajambo nimelikosea. Kule nje, siku msalimia vizuli Hamani. Hamani hakipita, inatakiwa tuiname namna ii. Lakini mimi, mimi siku inama. Kwa nyu kuinama, uncle? Asa kusabu sisi ni wayaudi. Wayaudi atuinamii kila mtu. Come on, atuinamii kila mtu. Siwezi kumuomba Mungu siku wamanane, na asubi ni kainza kuomba umba watu. No, no, ni kipiga magoti kwa Mungu, ni memaliza. [00:48:04] Wayaudi, nivotulivotu na sheria zetu. Unaomu watu njugu yangu. Umuombe Mungu, au uombe uombe watu. [00:48:11] Amka na mamapiti, tu mekata kuomba umba watu. Tu utamuka saatisa, tu utamuomba Mungu wetu, tu utasema amen. Ata tufungulia milango. [00:48:23] Sasa, mwende kaya na mwambia hivyi, kuna jambo ni merikataku lingana na imbani yangu. Kuna jambo ni meri kata kulingana na mtu wangu wandani. Mungu undani yangu kuna vitu wamevi kataza. Yale mambo mbogo piso onojo mungu wana kata. Na unayajua wala hui itaji mtu mgini nje kukuambia. No, no, no, unayajua. Mudekai ya kasima hivi, anamombia, hista, hapana. [00:48:46] Mimi kwa imani yangu, mimi miyawudi, ukiona ni meinama na muinami ya mungu tu. Hasa hapa hamani ya mesema hivi, akiwa anapita, tuiname wenzangu wanainama. Kwa hiyo wa Yahudi, lakini mimi sijainama, Esther na mambiwa mdiyomba Kwa hiyo hiyo imeita shida kubwa, shida hii ni kumba tumeandikiwa athabu Kwa kosa langu mimi mmoja, tumeandikiwa athabu wote tuwawe Sasa Esther na mbuza, kwa hiyo tufanya jee anko? Ana mambiwa tufanya hivi Kwa kuwa huyu ni mme waku, hallelujah Kwa kuwa huyu ni mme waku, wewe toka Ndenda. Kaongena, na mambia, anko haiweze kani. Haiweze kani. [00:49:27] Huyu siyo mwana ume wa kawahida, huyu ni mfalme. [00:49:30] Ukiolewa na mfalme ni tofautu ukiolewa na mtu wa kawahida. Mfalme unaenda ukiitua. [00:49:35] Kwa haka sima mimi miongwa janita, mode kaha na mpa njeza zamulia. Na mambia, Ndenda, na sima siwezi kuenda. Ili uende. Lazima mfalme atoke pali nje kone nyumba aki. Na siju utolatibu upoje wo. Ni familia mke na mume. Hila mwana ume yanalakule, mwana mke yanalauku. [00:49:52] Anasema hivi inabidi Falmea Asuelo atoke kwenye nyumba yake, aninyoshe fimbo hivi kuwelekea uwelekea wa nyumba yangu, ndiyo niende. Hajiafanya hivyo, anasema hajiafanya hajia niita. Tangia nini, anasema hajia niita, leo ni siku ya 13, Modekai yaka sema yeso wangu. Tunafanya haji? Wana discuss mambo ya muilini, ambayo kila siku hayanaga majibu. Achana na muili uo, utakupoteza. [00:50:19] Vita ya kuchambana, acha. [00:50:22] Vita ya majibishanu, acha. Haifiki po poti. [00:50:26] Maandiko ya nasema hivi, modeka ya li pona, Esther haileke, ya kamombia Esther, utajua mwenyewe, fanya utakacho kifanya ila tuokoe. [00:50:35] Usithaniye we utapona. Kwa kuwa wanao utakiwa kuhuwawa, sawa kosa ni lango, lakini wanao utakiwa kuhuwawa ni wa yaudi, kwa kuwa we ni yaudi, utawuwa wa pia. Halafu sisi munguwe tuwanakarida kufungua mlango, wezi kujua hata tufungulia mlangu gani, ha Esther akashutuka. Haka sema hakini hapana. [00:50:53] Nyumba hangu Modekai kwa nini hamekata kuinama? Hamekata kuinama kwa sababu mtu wake wandani. Hana sheria zake, hana desturi zake, hana vyakula vyake. Huna vyakula mbabo ukila ni najis kwa mtu wandani. Huyu huyu haliye tuwelekeza tusiname. Huyu huyu na mrudia, haniambie tufanyaje tuweze kutoka hapa. Haka mrudia, haka funga siku tatu. Bila kula, bila kunywa. [00:51:20] Haka sema alie tuletia matatizo ni mtu wandani. Ndiyo mena ni kakwambia hivi, ingawa tunaenenda katika mwili. Lakini sisi, silaza vitevetu, zinawezo katika mungu. Siwezi mimi kufanya mazoezi, ukapungua wewe. Siwezi kufanya dietu, ukapungua wewe. Matatizo hayawezi kani ya kanzia roho ni wewe ukasobu mwili ni utakesha. Stress will be your best friend. [00:51:43] Esther haka sama, mbono nataka nichukwe njia ya mwilini? Kwani mjomba mode kakosea nini? Haka sama mjomba mode hame kosea, maali pa kuinama, ya ya haka inuka. Nani halia mwambia hasiname? Mtuandani. Something within Modekai. Kitu chandani cha Modekai kili mwambia hivi, pamoja na komba mpuu hapa, siyon chienu. Nyi hapa tu ni watu wakawahida tu hapa utumwani. Hila! Pamoja na utuma ulio kuwa nao hapa. Usiname. Mtu wandani. Kuzubu hawakuwa na kanisa pali hawakuwenda. Wala tukwai kuhoneshi wa mchungaji wake mwodekaile mwambia usiname. Aha, inaman. [00:52:21] Roo mtakatifu undaniyako ni mualimu afundishaye. Roo mtakatifu ni mualimu afundishaye. Anawezo wa kukufundisha mambo yote. Yote. Yote kwa maana ya yote. Ni mesema matatizo ya nafanana. Ila utatuzi, una tofautiyano. Ila roo wa mungu undaniyako anakuambia we ufanyaje kuatatizo ilo. Hata ndo wa nimekumbia zote zinachangamoto. Ila solvings. Namna ya kuzisolve, tofauti. Kuna mtu mgingine Kusovu kuwa ke ni kunyamaza. [00:52:55] Hila we unajua, babaji jinzi ya livo kunyamaza na kuwa. Kwa hii huwezi ukachukua njia yangu a unjia ya mtu mgini kusovu mguguru wako. Sio raisi, sio raisi. Ndewa zinatofautiana. Kuna manamkia mgini ni mkorofi. [00:53:10] Bibliya inasema hivi dada hitu Abigairi alikuwa hameolewa na mtu na hitu wa nabali, mpumbavu na upumbavu wa nao, jina tulenyewe manaki ni mpumbavu, yani kuna wanamuke alikuwa na akili smart, sijuu walikutana wapi, lakini yani mchizi na kukuangaika uku mausia noa ya nafu kupeleka. [00:53:29] Abigailia likuwa na akili njema, hakaolewa na nabali, hakaishi na nabali bila stress. Abigailia kuhonekana hame, anahongea mwenyewe. [00:53:41] Abigailia kuhonekana anadatizo la stress. Abigailia kuhonekana mahali popote kwenye sijui wana psychology ya. Abigailia kuhonekana kwa mtu yote wakufunda, kumuelekeza namna kuhishi na nabali. Yeye mwanye wakarondani yangu, mtu wangu wandani utanisaidia kuhishi na kiumbe muenzangu huyu. [00:54:01] Ndivyo ilivyo paswa kuwa, na ndivyo inafo utakiuwa kuwa hata sasa. [00:54:07] Namna ya kusovu mambo yako, mafunuo yako, revelations yako, mawazo yako, kutaka kwako, kutaka kwako, na kutenda kwako, kunaanzia ndani, mungu aliko. [00:54:22] Haku wazi nje. Kila ukianzia kusofu changamoto za kwenye maisha, kuwanzia nje, utashanga. Esther haka sima, mm-mm, mbu nirudi nyuma kidogu. Kwanye ilikuwaje mpaka mjomba angu, modekai, haka ingia kwenye shida hii. [00:54:38] Hana sima, haa, huyu hali ingia kwenye changamoto kwa sababu Hali kata kuwabudu, nani hali yetuwa ilo wazo la kutuwabudu? Hiyo idea ya kutuwabudu ni mtu wandani. Esther haka murudia mtu wandani yule, haka murudia aji? Kwa kufunga. Kwa kufunga na kuomba, siku tatu kwa wali ambao hawajui, maswale mikua mingi. Mama nafungaji? Vipi kama afya yangu? Vipi kama nini? Kwa ngu mimi? [00:55:09] Haya ni mambo ya imani. Imani inakaa juu ya logic, imani inakaa juu ya reasoning, imani inakaa juu ya current situation, imani kama imani. Vipi kama Esther ngekua na vidonda viatumbu? [00:55:22] Ikisha kua option, uwezi kuanza kuhitetea. Vipi kama Esther ngekua mtuto mdogo? Mpaka hapa tuju Esther na umbiga. Vipi kama Esther ngekua mdiamzito? Mbona matatizo ya kitaka kukupata haya kukonsidi? Ujawai kuona. Iko ni kiswa ilu, tajua mwenye. Wewe hujamai kuona, Ocean Road ipali, Moi, kuna vitoto vidogo vina kansa. Ho uja ikono? [00:55:51] Mtuto mdogo anakansa. Juuzi nikuona moona mtuto mmoja anamiaka nani, anadiabete. [00:55:59] Anasukari, ugonjwa watu wazima tuliote gemea over 55, laba miaka msinatano kwenja juu. Mimi namjua mtutu wana miaka nane na anasindano za insulin. Kwanini kisukari ya kisemi hivyi, aaa, huyu ni mdogo, tusimnani, mtutu wana zaliwa. [00:56:16] Tundu. Moyo, una tundu. Mtoto anazaliwa, anamaambukizi ya virusi via ukimu. Kwa michezo ya kutisha sana, anayoifanya babaki. Kwa michezo mbaya, anayoifanya mamaki. Kitoto kinazaliwa, hakina hatia. Ila kinamaambukizi ya virusi via ukimu. Mbona haa ukimu wenyea usemi hivi, aa, uyu mtoto tumuachi. Kuwewe unanjanyasika kazini, biyashara hako ina changamoto. Kusiju maiwako anakusumbua. Mbona wewe changamoto hazi kuhonei uruma? Kwanini kwenye kuzitako, kwanini kwenye kuziulumia, kwanini kwenye kupambana nazo, ndoo unaanza kunegoshieti. Hii tatu kafukweli imekaaje kiafya, imekaaje kiafya, uu maskini umekaaje kiafya kwenye maisha yako. [00:57:02] Hiyo kansa imekaje kaji, imani inakaju, uwezi kuleta logics hukuchini, under normal circumstances, nonono hakuna under normal circumstances, unajua katikari ya kawahida mwili wa mwanadamu, unatakiua unyue maji, unatakiua unyue maji Kama tatizo lako ni kifo na njia ya kusovu ni siku, tatu, bila kula wala kunywa na usinuze fima mchungaji na anziya wapi, unanziya hapo hapo. Three days dry fasting manake ni kukaa bila kula wala kunywa ila unasoma neno la Mungu na kuomba masaa sabini na mbili ya kuesabu. [00:57:40] Imeisha hivo, ya kifika masaa sabi na ambili, ndiyo unafungua unakula. Yani siku tatu kwa mfano, ukianza leo alhamisi sabi na ambili ya subuhi, wewe chakula, alhamisi jumajumamosi, wewe chakula unakula jumapili ya subuhi. Imeisha, usianze maswali, sinamajibu. Kwa hiyo kama uwaga ni na vichomi vya moyo, huyo mayi wako mbuna kila siku anakupa heartbreak. [00:58:03] Kila siku unakuta ma-message ya kutisha. Kila siku unakuta mambo ambayo alitakiwa kuambia wewe tu mkiwa chumbani wawili. Anamambia kila mtu ukonji. Mbwana hakukonsibi kama wewe unahatatak? Kwanini kwenye kushinda na kwako ndoo unahanza kubagenisha? Hivi huku kufungua ni saa kuminambili au saa moja kaso. What are you saying? [00:58:24] Yani unange nini? [00:58:26] Kwenye mambo ya msingi usiweke logics. Kama anaumwa, kama anaumwa, magonjwa tu yenyewe yalitakiwa ya muone uruma. [00:58:35] Mbuna hajia kuone uruma? [00:58:37] No, my dear, funga. Mandiko anasima hivi Esther kwa kuliangaria ukubwa watatizo ndugu zangu. Wakati mgini tunafunga kwa kuangaria ukubwa watatizo na kule tunakoenda. Wewe huwezi kufunga tatu, pumzika. Hapa Esther mbeliaki gafla, yani ya melala, Yatima, hamelala, malkia, hameyamka, mzaliwa wa kwanza Ndivyo maisha yalivu. Nomana mungine nikua naelezea kitabu wapatia mzaliwa wa kwanza hamesha jibalansisha. Hanasema haka, misio mzaliwa wa kwanza utashanga Kaka wa kwanza anafariki, kaka wa pili anafariki, mdogo wako chini anafariki, unabakia wewe na mdogo wako mmoja na wazazi wako waze. Gafla umesha kuwa mzaliwa wa kwanza. [00:59:18] Mzigi hua bali ya kuwa mzariwa kwanza, hawangali mtu estahakujua kama hini mzariwa kwanza. Hali lala kama yatima. Wakawahida tuwa likuwa hana baba, hana mama. Haka lala kama mtu wa mbaya nalelewa na mdionbake. Ika toki atina haka lala kama Kwa tu malkia mke wa mfalme, kaa mka kesho, mzali wa wakwanza, ambaye nategemewa siyotu na mwodekai, no taifa zima kule nje li nategemewa li na mambiha hista tu saidiye, wewe ndiyo upo karibu na mfalme, tunautegemewa msaada kutoka kuhako. Kwa hiyo gafla likuwa malkia, kutoka kuha malkia mpaka prayer warrior. [00:59:55] Kuusemevi, haa, hae mambo, ni watu wene changamoto. Hakuna naizi penda changamoto. Hila inatulazimu. Esa sura ya... Esa sura ya nne mstari wakuminatano. Thank you. Haka watuma ili wamjibu modekai. [01:00:16] Mstari wakuminasita. [01:00:18] Uende, uka wakusanye wa yaudi wote, waliopo hapa shushani, mkafunge kwa jiliyangu, msile wala kunywa, muda wasiku tatu, usiku na mchana, na amina wajakazi wangu, tutafunga vile vile, kisha nitaingia kwa mfalme kinyume cha sharia, baada ya esta kuona ivi Hili jambo la mjombangu modekai, ni jambo la rohoni, ni jambo la mtu wandani. Hila mjomba ananiletea mimi njea mwilini yambo siwezi. Haka sema kwanini, kwanini, kwanini meku waji? Tuka ingia kwenye shida hii. Tumeingia shida hii. Tumengia kwenye shida hii, tukiwa tunapambana na mtu wandani, tukiwa tunayafuatiriza maelekezo ya mtu wandani, ya komba sisi ni wayahudi, kwa hiyo tusiabudu mungu muingine, maana kuinama na kuinuka manake ni ibada. Na sisi ni wayahudi, tunambriye, tuambriye tuya kwanza, mimi ni buwa na mungu wako, usihwe na mungu muingine ila mimi. Kwa hiyo kiniambia ni kusujudia manake una nitengenezia mungu hamani, modeka hile ambri ya kasema hapana. Hapana kwetu kumuabudu mungu ni ambria kwanza. Hata wakati tunatoka Misri, tunakuja nchi ya adi. Tulimuaga Farao. Tuka mambia Farao tuwache sisi tuendezetu. Tuka muabudu mungu etu. Jangwani. Kwa hiyo kisho tutuwa sisi ni ibada. Kwa hiyo tunakijua tunachokiabudu. Kwa hiyo hatuwezi kukuabudu. Kwa hiyo tumeingia shida hiko kwa maelekezo ya mtu andani. Hembu tuumfote mtu andani atutoe kwenye shida tulio ingia. [01:01:49] Nduguzangu, hali poona alakwanza hali wezekani, haka wambia wali watu tufunge na kuomba haka anza kumulisha mtu andani. Mtu andani hatoi ijibu kama hajala. Hatoi ijibu kama hajala. Funga ndugu yangu. Funga ndugu yangu usisubili shida zikukute. Mutu wandani hatuei majibu kabla ajala, na ndiyo mana kafunga skutatu, manake mutu wandani ya likuwa ananjia sana. Ingekua ni mutu wange, manake yange tumia, na nubana nimeanza kwa kusema, mutu wange ni vile vile kama alivu mutu wandani. Kwa hingekua Esther ana risofu jambo ilake kwa kutumia mutu wange, manake ingetakiwa hivi consecutively. 72 hours unakula tu, unakula tu, unakula tu, ilikuweza kuitako a certain challenge. Esther kasema tunafunga. Na kwa ukubwa wa tatizo, tatizo sentesis ilikuwa zimetoka, siku imesha pangwa ya kuwa wa kasema kwa tatizo ili, hapana, mtu andani hatokula siku moja tu, mtu andani hatokula siku mbili tu, mtu andani hatokula siku tatu tu. Kwa tatizo ili, haa, inabidi iwe siku tatu. Tena, sigusi chakula wala magi. Na wakati unatakiwa niendele kubihevu kama kawaida, nikiwa nafanya shuli zangu za kawaida, za kila, zikundugu zangu. Wakati mgini nakuja hapa kuafundisha ya mka na wapiti, sijala 24 hours, masa 48, sabi nambi. Kuna siku ngini napitiriza hata masa sabi nambi, na niko sawa tu. Sijai kufika hapa hata siku monja, nikasema, eh eh eh dada magi, eh eh eh eh, chiki chiki chiki kama kachai, aaa. [01:03:19] Hata jana hapa tumamaliza kipini ni kambia utuomungu, mbu kuleni kulikuwa kuna baitu wa make up, ni kasa no no no, I don't need. Nyi etu kuleni. [01:03:28] Kwa kuliangalia jambo na uzito wake, chakula na kiaji. Sura ya tano baada tu ya Esther kufunga ambako tunasema kufunga ni chakula cha kwanza kabisa cha mtu wanani. Sura ya tano mstari wa kwanza, ni tasoma haraka haraka. [01:03:45] Ikawa siku ya tatu, alipo maliza tu mfungo. Ikawa siku ya tatu. [01:03:51] Esther aligivika mavazi yake ya kifalme. Hakasimama katika ua wandani wanyumba ya mfalme. Hamesha maliza kufunga. Hakaoga, hakavaa mavazi yake. Ndiyo wana, usisawa wandiko letu. Wafilipi mbili kumina tatu. Ndiye mungu atendaye kazi na nienu. [01:04:09] Kutaka kuenu. Mbili kutenda kuenu. Ukisha maliza mfungo, watch mawazo yako yanayo kujia na matendo yako very careful. Esther mimaliza kufunga tu. Hakukaa andani tena. Hakusumemi nipeni uji. Nauna kama nina vichomi yabisi. Nipeni uji kama nini. Hakavaya yali mavazi. Hakasema nilifunga kwa Kwa purpose ya kusaidiwa kwenye Vita, hakava mavazi yake, nili waambia kwamba wakifunga pamoja na mimi, siku 3 mfululizo, nitakuenda kinyume cha sharia. Kwa hile baada ya siku 3 tu, hakava vazirake, hakaenda mahali ya mbapo walikuwa hawezi kabla ya kufunga. Hey, hallelujah. Halipo maliza tu mfungo. Mfungo kitu cha kwanza, unakupa ujasiri. [01:04:54] Tabia ya mfungu. Mwamtu na kumbia hivu unajiamini nini? Misi jiamini kitu lakini nayamini maumbi yangu. Nayamini mfungu yangu. Weka tu mama piti kama kapungu. Nayamini mfungu yangu. Kuliko elimi yangu niliyo soma. [01:05:10] Kuliko vieti nilivopewa na wanadamu wenzangu. Mambu wambau ninafungia katika hayo. Nafunga na kumomba Mungu katika hayo. Kila napokiona chakula, mimi tumamapiti. Then nika kiignore, nika kiacha. [01:05:23] Na mna confidence na utokanayo upali. And weangu, hata chetichangu chamasters hakinipi uja siri ugu. [01:05:31] Kwa hata sinyuki kuhapi, Mungu ni saidi. Ikawa siku ya tatu, Esther alijivika mavazi yaki ya kifalme. Hakasimama katika ua wandani wa nyumba ya mfalme. Kwa hiyo, kufunga kuna kupa ujasiri. Kama faida ya kwanza, wakufanya yale mambu wambayo hulikuwa uwezi kuyafanya. Automatic. [01:05:49] Yani ntu wako tu wandani, anataka na kutenda mambo ya kijasiri. [01:05:56] Kuhilekea nyumba ya mfalme, na ye mfalme akakea tiju ya kitichake chaenzi katika nyumba ya mfalme Kuhilekea mlango wa nyumba, yani gafla akakuta hivi wakati Esther hametokeza na mavazi yake hamesmama hivi na mfalme na ya hametoka hamesmama wanaonanae, bila kugopa Haikuwa hivo. Katika siku telathini zilizopita, mind you, Esther likuwa naugopa hata kuenda pare. Saisi hamenda, siyotu kinyonge, kaenda na mavazi ya kifalme. Ukimaliza mfungo, vaa vizuri. Hallelujah. [01:06:31] Mstari wapiri, ikawa mfalme alipo muwona malikia Esther, hamesimama uwani, yei hakapata kibali machonipaki. [01:06:41] Haka pata kibali machoni pake, na mfalme haka minyoshia estafimbu ya dhabu, aliokua nayo mkono ni mfungo, diambola pilu na cho kifanya mfungo na kupa kibali. [01:06:53] Kukubaliwa bila sababu. Watu kukupenda bila sababu. Kazizako kuwa appreciated bila sababu. Una popeleka CV yako au una popeleka maombi ya kazi maari. Funga. Unafungo unakawahida ya kukungarisha na kukupendezesha katika roho. Yani watu wana sababu ya kukupenda na kukukubali na kukuleta karibu bila sababu. Kila unapoona hivi. Mpona kama mtu fanya nanichukia? Mpona kama nachukiwa? Mpona kama kibalichangu kimecheza? Funga. [01:07:23] Hallelujah, ufungo unatabia hakurudisha kibali, yule yule mwana ume ya likuwa na mwogopa kufuata, siku 30 zilizopita, sahizi 80, baada ya kumona, kwanza ilikuwa hayurusiwi, inabidi mpaka mfalme hakuite, this time mfalme haja muita, yeti hame mwona, anamnyoshia fimbo na mlai, kumyoshia fimbo manake njoo Opportunities zina kufurahia, zina kukaribisha. Favor zina kufurahia, zina kukaribisha. Watu wema wana kufurahia. [01:07:51] Unapo pitia any kind of crisis. Na niyo mana hiki diko chakula, chakwanza kabisa, cha mtu wa ndani. Unapo pitia changamoto yote, weka chakula pembeni. [01:08:02] Na ndonjia wali kuwa natumia watu wa mungu mia kayotu na mbana wali kuwa unaona kama weni msumaji waneno. Watu wa mungu watu walipopitia changamoto. Jambola kwanza likuwa ni kulia, kugalagala, kujivika magunia na kufunga. Na kufunga. Nemia sula kwanza mungu watatupa naima wakati mungine kwa naimarket mtha tukanzia pokesho. Nemia kapata changamoto, alivoi pata tu, hakafunga. Hai, mstari wapili. Ikawa mfalmi halipo mwona Malikia Esther, hamesmama uani. Kwa hivyo kwa kibali machonipake na mfalme ya kamnyoshia Esther Fimbo ya dhahabu. Haliyokuwa nayo mkononi. Basi Esther haka karibia. Haka igusa nchi ya Fimbo. Mfalme! Haka muambia. Malkia Esther, wataka nini? [01:08:47] Nayo ni haja gani ulionayo? [01:08:51] Kutapewa! [01:08:53] Anasema hata nusu ya ufalme. Jamani. Jamani. Jamani. Imbu tutulie kwanza. Tutulie kwanza nduguzangu. Inazikana hii biblia yangu ni ya Kiyunani. [01:09:04] Na hii njano nlopige leo, haja piga njano. [01:09:08] Maubishi, asiri, dala, kuchunguza, mavazi. Hii ni njano. Ni nampangu wa kuwa mtu wa kuchimba madini. Kuyo ni kasema leo nduguzangu wamuka na mamapiti na wapige. Kiatu chanjano. [01:09:20] Suruli Anjano, pika Suruli Anjano hapa. Juni Anjano. Hata hizi yeleni ni zofaa. Ni zanjano. Jicholako lao shari, ndiyo li nasababisha uwone vitu tofauti. Shari tangia asiri. [01:09:34] Maandhiko, ya nasema hivi, eti! Mfalmi ya na muita. [01:09:39] Ana mombia hivi, Malkia, tina na muita vizuli. Asha na uyo mayu wako na kutaweva. [01:09:45] Mage, uh uh. Ana mombia Malkia Esther. [01:09:50] Malkia Margaret. [01:09:53] Princess. [01:09:57] Ndiyo majina hanafanya mso mineno. [01:10:01] Baby girl Margaret. [01:10:04] Ever. [01:10:06] Mtu wanaitua Naomi, baby wake na muita Baby Naomi, jana nimeskia Mtu wanaitua Naomi, nikasema Mungu. Hivi neema hakuna namna ya kuitu, isteta tuweke hechi mwisho ni mtafute bapiti ni mmezeshe. Awa niite nei, awa niite nii. Kuna nikatafutu mbombote nikakotha. [01:10:26] Bimei nasema hivi, mfalme aswero, haka muita Malkia Esther. Eti, haka mumbia Esther Mbonjo. [01:10:33] Haja yako ni nini? Una shida gani? Dada ajajibu anambiwa hivi hata nusu ya ufalme. Guys, ndugu zangu, kutoka kuwa mama wa nyumbani, kumbe Esther had leadership skills. Kumbe Esther halikua ni kiongozi, lakini kiongozi yambe uongozi wake ili uwezo kufunuliwa, ayotakiwa wafunge skutatu. Kwa hiyo mifungo inachokifanya, inatupa kufunua vipawa na karamazetu ambazo hatunyui ata kama tunazo. Yani mfami ya vumuangali ya STIV, anamuona kama kiongozi mwenzie, siyo mama wanyumbani, siyo mwanamiki wakumpiga tu, siyo mwanamiki wakumuabuse, siyo mwanamiki wakumutukana-tukana. Siyo tu mwanamiku ya kusuma kwanza nilikuwa hapa na vasti wangu, alikuwa mzuri wa sula, we umekuja, siku selasini, mbele utingishiki, nyuma uchezi, no no no no, kibali kufunga na kuomba siku tatu, diyo mana ukijua faida zake, huta anza kunegoshiate, diye nifunge au nisifunge, you have hidden talents, you have hidden, kumbe we apu walipo ni kiongozi, tena siyo kiongozi watarafa, siyo kiongozi wawiraya, Esther anambiwa hivi, hata nusu ya upalme, siyo kwene majimbo, Na hakuna kitu kinaitua nusu ya ufalmi. Ufalmi ni mzima. Ufalmi wawezi kugalanyika. Kwa na mna nyingine na mambia hivi, hata ukitako kichukua kiti nilichonacho, esta nakupatu. From nowhere. [01:11:58] From nowhere. Sio kwenye ndugu zangu. [01:12:00] Sio from nowhere. From fasting point of view. [01:12:05] Ime tokea kwenye kufunga. Ndiyo mana kufunga inakaka ma-base. Kufunga inakaka ma-foundation. Kufunga inakaka ma-msingi. Huu jisikii unafunga. Unajisikia unafunga. Unavidonda vyatumba unafunga. Unavidonda vyatumba unafunga. Nyumbani kwako vyakula vimejia unafunga. Hakuna vya kula kabisa unafunga, unafunga ukiwa unamalengo Kwanza ni weze kupata kibali, pili probably nina hidden talents ninazo Hallelujah Kumbe labda nina hidden talents. Mimi nimekaa tu kama mama wanyumbani. Kumbe mume wangu anatakia wanione kwa jicho kama kiongozi mwenzangu, ndugu zangu. Wengine tuko onayona ume nani? Hawawezi kutuwamini. Akaunti yake huwijui. Achala nasimu. Iyo ndo kabisa nendanao mpaka bafoni. Akaunti yake huwijui, anafanya kazi wapi huwijui, anapata shingapi huwijui, moyo wake haukuwamini. [01:13:03] Huna kibali, huna kibali mbeli ya mwume wako. Anaanzisha miradi mwumeo, yupo tayari kufanya kazi na wanawake wengini. Yupo tayari kufanya na wenzia ya ofisini. Yuko tayari, unasiketu mwume wako amenua kiwanja maliflani. Mwume wako amenufungua duka maliflani. Ukijiangeza, unasimajamani, nina shida gani? Mbona mimi kastamakia ninaweza? Watija hita ningeza kuapigia hata magoti. Karibu ni mnunuwe pipitofi, karibu ni mnunuwe pipitofi. Mbona mwume wangu aniamini? Kibali! [01:13:31] Kibali huwezi kumambia hivi, nipenda nipenda ni umana kwa kadi yambavu wanahungea na wanaume wakupenda wakuelewe Ndivyo kadi yambavu wanafasidi kukupuuzia, kwanini mambo yalitakiwa ya uwe ya roho ni uwe unareta kumilini Unasima kwa sababu mimi ni mrefu, kwa sababu mimi ni mrembo, kwa sababu mimi yapa ni na wigi, na vipodozivi ya Kongo, ili wigi la Madagascar, silu ni na shepu nambanane, no no no, hapa hata shepu ya ESA, hatu kuwa hikuwambiwa, bola hata vastu Bibliya ikaweka wazi, kasema likuwa mzuri wa uso, to the level mweme wakia, kasema hivi nileteni vashti, hili nijibragishe kwa wanaume wenzangu. Esta huya pakasma uzuri sina, kazi sina, connection sina, baba nimefiwa. [01:14:12] Hallelujah. [01:14:13] Mama nimefiwa, mjombangu ndiyo kwanza, maandiko na smebi mwodekai mwonya likuwa na kaa getini kwe. Mjombangu mwonya nikonae hapa kone jengola ufalume, lakini yupo getini. Sina pa kuanzia, sina mbele, sina nyuma. Ndugu yangu, napona maisha ya mekufikisha hapo. Furai, piga makofi cheka ya mekusogeza. Karibu kabisa na mfungo. Anza na mfungo kama beze. Kama diyo msingi. [01:14:39] Mstari wane, Esther aka sema. [01:14:43] Mfalme hakiona vema na aje leo Mfalme na hamani kwenye karamu nilio muandalia Basi mfalme haka sema mhemizi hamani ilifanyike kama estaa alivyo sema kibalicho Lakini pia mfungo unakupa kitu kina hito wa hekima, wisdom Namna ya kuyahendia maisha, wengi tunakosea, wengi tunapatia kwenye kuhishi tu na marafkizetu na watu wanau tupenda. Wengine, wengi wetu sisi tunakosea. Namna ya kuhishi na maduizetu. Kuna namna? [01:15:18] Kuna namna, uki kosea kuhisha na maaduizaka utakua maskini, nda kumbia jambo. Mostly, asilimia kubwa ya watu wanau nunua bitha hazetu. [01:15:28] Asilimia kubwa ya watu wanau tuangalia. Asilimia kubwa ya watu wanau fanya kazi na sisi, ni maaduizetu. [01:15:35] Ukisema uafkuzi na ndiyo mana ukianza maombia time ya kusuma vibaba watu wabaya kwenye maisha yangu na uafkuzi haomba ukiwa umejifunga mkua jukweli kwenye wataondoka watu hutaamini Kwa nini? Kwa sababu tu... Yani, even... Hata watu wanaukuja kurunuwa vitu dukani kwa ko. Most of them, they are not your friends. Tuta kubaliana. Kwa sisi yambo tu na maduka, ya kuuza anguwa, kuuza vyatu, hata kama unauza ubu yutu, uta kubaliana pamuja na mimi. Wate nja wako engi, siyo marafikizako. Marafikizako kile akija ni kukopatu. Unamumbia karanga zinyendo, hizi anampapa na nitaafu, na nita kulipa kesho, au ni marafiki zetu. Lakini maduizetu, they buy in cash. Iri, watu some vizuri. Kwa hiyo, Esther, mfungo unamupa Hekima namna ya kuhishi na jambolake na hamani. Mbele hake kuna jambo kubwa inabidi ya okoe wenzie. Imagine unge kua wewe. Mfalme hamesha kuhita maneno yote mazuri. Hame kuambia Malkia. Sema unataka nini, hata nusu ya Mfalme. Unajua ambacho unge kifanya? [01:16:36] Maiwangu. Hamani. Hamani na m-mm-mm. Esta akapata ya hikima. [01:16:43] Haka sema naomba mfambe, kama ukiona viema. Kama ukiona viema lakini. Naomba wezo kufika kwenye karamu. [01:16:50] Nimeandaa karamu. Nimeandaa chakula. Nimeandaa chakula. Kama ukiona viema. Si kama nakulazimisha mfambe wangu. Kama ukiona viema. Karibu nimeandaa chakula. Hila naomba na wezo kufika ndugu yetu hamani. [01:17:04] See the way Esther na vwa karimu maadu izake. Wewe! [01:17:09] Siyangainai ule! [01:17:11] Mimi ni kama mti mkavu, bendela chuma mlingoti chuma. [01:17:15] Manenu ya kutabarabaran. [01:17:17] Misi ogopi mtu. Mimi, mimi diyo mwamba. [01:17:20] Sugu moto chinis, yu sugu moto juu, una manenu mingi ya mtan. Why? [01:17:25] Hekima amna kwa hiyo mfungo. Uwe wasiku tatu kaa fujapo, this is the best. Lakini mfungo la cho kifanya chaa kwanza kabisa. Mstari, wa kwanza, unakupa confidence. Mfungo unakupa ujasiri, wakufa mavazuri okuwa huyawezi. Mbiri, mfungo unakupa favor, unakupa kibali. Unaitua majina mazuri. Kama unakibali kazini, unakibali kwa mke wako, unakibali kwa mume wako, unakibali kwa wenzio, Huna kibali ya po kwenye team, huna kibali ya po kwenye department Funga na kuomba siku tatu Mungu atakupa kibali Tatu unapata haja ya mwe wako Hallelujah Hallelujah Hallelujah Nde, unapata nini? [01:18:09] Unapata wisdom, unapata namna ya kuyahenea mambo yako mfungo na cho kifanyi. Hapa tuna mlisha mtu wandani. Kwanini tuna mlisha mtu wandani? Ili atufikishe kwenye revelation kwenye mafunuo. Mtu wandani ya kiuwa weak, mtu wandani ya kiuwa mdhaifu, ndiyo mana Esther hakuwa na hii hekima kabla hajafunga. [01:18:32] Hakuwa na hii ekima, kabla ya kufunga, alikuwa na mbinu zaki, tina alikuwa muoga Nyuma na komeye vii mfungo na kupa ujia siri, Esther alikuwa muoga, kasema haaa buwana kiaskomba, mudeka na mambia we, we, we Kwa kuwa we ni umiaudu, utakufa pamuja na sisi, acha uwoga Then mfungo kwa mpa ujasiri, kwa hiyo mfungo siyotu mpa ujasiri, wakati hamefunga, kwa njia naona hamefunga, hatulegei. Kwa hiyo hatulegei. Ngawa utuwetu wanjia unachaka, lakini utuwetu wanani unafanywa imara kila siku. Kwa hiyo, wakati ya nafunga, wakati ukifunga, lazima utaonekana umekonda, lazima utaonekana umechoka, unaonekana umepawuka, kutokula na kunywa siku 3, siyomchezo. Wewe tuwapa ni naongea, unabakuli la mandasi, unamajui siyapo, unamaji ya kunywa, na hapa ni sakumi, sasa hivi nafika sakumi, tutumeza kipindi. [01:19:26] Utakula tena. Ukiwa njiani kwenye mwendo kasi, unarekia kazini, kuna vitu utakua na utafuni. Ikifika kazini, utawambia ujepeta breakfast, utakula. Mchana utakula. Watoto pale shule ni kamare ni mualimu, wakila ubuyuwau na italozi njo. Itaubuyuwa. Sasa hui mwenze tu, siku tatu mfululizu. Hila hali chokuwa na kifanya ingawa utu wanje. Ulikua una choka, utu wanje una chakaa. Lakini maandiko yanasima hivi utu wandani. Ulikua unafanyo upia kila siku. Mtu wandani ya kawa anashiba, mtu wandani ya kawa ananenepa, mtu wandani ya kawa anapata strength, mtu wandani ya kawa anapata nguvu, haka imarika. Alivu imarika tu, unajua andani kukijia hakuwezi kujizuhia. Mtu wandani ya li vodyatu, haka pata hekima, haka pata uja siri, haka pata kibali. Yote hayo ni mavuno ya shibe ya mtu wandani. [01:20:17] Hallelujah. Kwa hiyo ukimuimaresha mtuwa kwa uanani, anakusaidia, unapata revelation, unapata mafunuo, maisha na matatizo ni haya haya kila siku. Matatizo ni haya haya, ni divorce, ni asara, ni kuibiwa, ni kutaperiwa, hila nifanye nini kwenye hili, njambo ni lokuwepo, njambo ni hilo hilo lautasa. [01:20:41] Suma mandiko yako. Jambo ni ilo ilo la utasa. Mke wamanawa akiwa tasa. Wala alikuwa mitulia tu. Anamilisha tu mtu wandani. Wandani na mbapo anajua hii mwenye. Nani anajua hii? [01:20:55] Baka malaika anakuja. Probably alikuwa nina kwa luga tu. Nina tu kwa luga. Mandiko anasema nina hii kwa luga. Asema ina watu. Bali, anaungia na mungu. Mambo ya ujazayo moe wake. So alikuwa anaungia. Then tasa. Mke wamanawa akiwa tasa. [01:21:09] Gafla. Malaika na tokea, anampa mtoto. Mumewe hajaomba, wala ya asujo waneshwa mahali popote hameomba. Kwa hiyo, wezi kuigiliza njia za mtu. Numana nimeanza kusema unique way of handling your own matters. Njia yako yatofa utu. Huyo ni tasa, lakini hajaomba wala hajaombewa. Halichokuwa na kifanya mwinya na kijua mpaka malaika wakaja. Now, tunakutana na tasa mwingine. Mwanzo sura ya Ishuna Tang, Rebecca. [01:21:38] Rebecca hakawa tasa, hakawa afanyi kitu jojoto ila ponapona haki Rebecca alikuwa ana mwana ume muombaji. [01:21:46] Wewe mwana ume wako siyo mwombaji? Kwa hiyo Rebecca kuna pumziku walikua mekaa, anajua hivi sati sai, haka na lala. Kwa nini? Baba watoto ananina kwa luga yi chumbachapili. Wewe ni saa kumi hii, hata ujui mwume wako yuko wapi. Yani tukikuliza apo, dadamange, utakacho kifanyo, utasamu, wana ume au. Siju wali sema kwenye mpila? [01:22:09] Siju, hali sema haja usuni ka mtafutu ato, minarala ato mama mchumi, sijui. Dada Margaret saizi hajui mtu wando tozake. Haliye tuwaminisha, haka sima hivyi, mabibi na mwabwana, pigeni magelegele, wanao ingia sasa. Ni Mr. and Mrs. Stanford. Dada Margaret haka ingia na mikogo na kuchieza nyimbo nyingi. Haka sima huyu ni mtu wake. Saizi hajui yuko wapi. Hila, kwa hiyo huyo dada Margaret haki kutana na changamoto ya utasa, hawezi kusema hivyi mbona Rebecca hali lala? Rebecca hali lala mumewe ya likuwa muambaji. [01:22:43] Ndiyomana nawambia ndugu zangu wengine tuko wapasisi ni wazali wa wakuanza ila tuna jizungusha tuna cheza michezo ya ma last born kuomba atuombi mpaka tuama sishwe. Omba, omba, omba. Ntakuwa. Okay. Okay, okay. Siniwe. Sawa, baba. Atikajina ayesu. [01:22:59] Atikajina. Unaulia yale yale tu. Atikajina ayesu. Mladi, tukikalibia. Ukiona kuna lalizo teza kusema amen. Ndiyo unazaba. Atatatata. Kwanini? Unakalibia na aminu. Unaona kama unaniombe ya mimbi. [01:23:10] Mzaliwa wakwanza, mzaliwa wakwanza ukwa mzigo alikuwa meubeba, mzigo wataifazima, mzigo ulishaandikwa, yakwamba hawa watu wawawe. [01:23:24] Hawa watu wawawe, hawafai, hawafai, wafe. Kwa kosa la mtu mmoja, majimbo yote ya Shusha Ningomeni, wayaudi walipokua wanaishi, waliandikua kuwawa. Sio kwa simu, waliandikua maandishi, nyaraka ziliandikua, zikagongo muuri kwa pete ya mfalme. Hawa watu wa uawe, hui umtufunga yake yoezi kuwa kawahida, omba yake yoezi kuwa kawahida, kutuwa kwa kisadaka yoezi kuwa kawahida, moe wako unasikia kabisa, nitoe mimi sadaka, nisupport ndiyo mana jiana, na hata leo napenda kuchukua na fasi ii, kuabariki sana sana watu wa mungu ambao wa nasimama na sisi kwenye kazi ii. Mungu wabariki sana partners. God bless you. God bless you. Mungu wabariki sana. [01:24:12] Mungu awabariki sana, partners wetu wote, partners wa Mka na Mama PT, partners wa Pastor Ton Ministries, katikati ya heka eka nyingi, katikati ya maneno mengi mtani, katikati ya maneno mengi ya kusikia, bado watu wanaeshimu watu wa wandani, wanaambiwa mchungaji hui wana jambo hili, mama mchungaji hui wana jambo hili, bado wanasema evi tu takikisha watu wa Mungu. Wanakamera, tutakisha watu wa mungu. Podium hipa. Ndugui angu ni mesimama hapa. Mtu alia nitengenezia podiumu. Huyu ni partner na mshukuru mungu wa mbaliki san. Mtu alia kisha tunakamera pale, tunakamera pale, tunakamera hapa. Ni feather za watu zimetumika. Walio sikia ndani. Mtu mgingi na sikia ndani kutuwa kwenye mka na mamapiti. Aninda kumuuliza mtu mgini. Hivi tutuwa na mambia, mm, mamapiti mwenzangu. Anafupeneza kila siku. Hizo yalatatopi. Wala usitoi. Bila kujua mungu anakuambia toa kwa fayda yako mwenyewe, siyo kufayda yangu mimi. Kwa sababu watu ukikanao, siyo kumba kesho, nita kuja hapa nimejivika magunia kama modekai. Same way somehow, same way somehow, watu wa mungu wanaakikisha kwa hiyari yao. Kila siku mamapiti, anapamba. Wako watu na kila siku, mama unavaha nini? Uko hapi? Nguwa yangu hii wapo. Kila siku, nikiwa sijapige simu, wala kuomba mtu. [01:25:29] Mungu wabarikisa mtu. [01:25:31] Mungu wabariki sana. Watu wa mungu wameakikisha tu na cameras. Viwango vikali nikikaa po. Wezi kuseme vi, mpona mungu anamona kama anapotea? [01:25:40] Hivi, hivi mfupi mlefu noo unaniona vizuri. Unaweza wakunievaluate. Mpona kane nepa? Mpona kakona kwa sawi ya ubora wa camera aliyo nunua mtu mgini? Mungu wabariki sana, partners. Watu wa mungu mina osimama pamoja na sisi. Watu wa najitolea. Mtu wa nasimaa hivi mama piti. Unaongea masama uili. Kila siku, mimi nitalipia internet. Watu wa mungu, wanaweka routers zao hapa. Tunakikisha mitandao yote. Tunawani mitandao hata ukichieza lakambili. Watu wa mungu wanapambana hapa. Ni partners zao. Ili kueka internet iwe stable, uwezi kuniona vizuri. Mungu, mungu wabariki sana. [01:26:18] Lakini pia mtu wa mungu, nipo na watu hapa ni saati sai waume za watu na wake za watu mahali hapa wakiwa wanapamana na usingizi kama wanadamu wengine wakawaida. Humu nani humu ninadadamagati? Ana mtu waki. [01:26:33] Mtu wandoto zake. Hana mtsumbua lakini hana mtuwa, hana muwacha usiku, hana kujia pa kuwa kikisha. Nimetulia, mimwenye sisi nzi, niko vizuri, sina stress, sina mazo watu wa mungu wana kikisha na vaa vizuri, nakula vizuri, kila kitu kiko sawa studio hawa wate ni watenda kazi pamoja na sisi. Watu wa mungu, mungu awabariki sana. [01:26:55] Mungu wabariki partners wetu watu, all over the world. Watu wa mungu ambao wanasikia maneno ya kuwakatisha ta maju ya udumai, lakini bado wanasema hivi ya apana. Moyoni muangu na mskia mungu wamesema hivi, hila hii na kuenda kwa mamapiti. Sadaka hii na kuenda kwa piti mwenye. Mungu wa wabariki. Mungu wa wabariki. Ndugu zangu. Inachukua ujiasiri wa hali ya juu sana. Kutuma sadaka yako, au mbegu yako kwa mtu wa mbae kwa wengini ya natharaulika. Hila tu ni hile kuyueshimu sauti yako ya nani na kumueshimu mungu wa nekuambi. Ei, inachukua ungubu kubwa sana. Mungu wa siwapungukia. [01:27:34] Baba katika jina la yesu. [01:27:36] Ninaumba kwa jiri ya partners wetu ote Kwa shilingi miya paka milioni kumi Kila mmoja kwa luga yake, kila mmoja kwa kabila yake Kila mmoja kwa alivi otoa, kila mmoja kwa anavi otoa Kila mmoja siku kwa siku, hamba pona ziangalia nambazetu zile nasimaa hivi sadaka hii inakuena kuhimarisha kazi ya piti. Alia tu saidiya kununuwa vyombo, alia tu saidiya kununuwa kameras, alia tu saidiya kuweka podium, alia saidiya kusebabisha studio hiko safi na sawa, alia sebabisha kulipia jengo laibada hii, alia saidiya kuna mnayote kukisha tunavyombo, kanisani, uduma ya piti kila wakati ipo juu mungu Wambinguni aonae sirini, mungu anae wajiaza watu. Wajiaze ndugu zangu awa partners. Wanao toa feather zao, mali zao, muda wao, maumbiao, kwa jiri ya kazi hii. Wanao tuzungumzia vizuri, wanao like, wanao comment, wanao tutetea, wakati watu wote wanatuzungumzia vibaya. Baba uka watetea, wakati umasikini unafuata, wakati biki zina ufuata, wakati tabu zina wanyemelea, kati kajina la yesu, Kila anahitulinda, wakati ya mboa tujui kama anahitulinda, kila wakati ya mapo unatuzungumzia vizuri, kila wakati unohona kabisa hapa na watetea watu wa mungu, kila alie tutetea, kila alie ongea sawa, kila alie tutia moyo, kila alie tuombea kwa njiri ya utumishi baba katika jina la yesu, na waombea partners wetu mahali popote uka wajazu. [01:29:04] Afya njema nifungulao. Maisha mazuri nifungulao. Maisha pumziko nifungulao. Ushindi nise mkubwa sana ya maisha yao. Kati kajina la yusu. Amen. [01:29:16] So, moyonimu wako unaona conviction. Moyonimu wako nikisema conviction, nikisema intuitions, yani hile misukumo, hile unasikia tunda nijisikia nitoe sadaka. Ndali tu, nijisikia njiaini sipite leo iyeshimu. Na ndiyo maana lazima kila wakati you should be in the spirit. Iri spirit sasa ikusaidia kukwambia kupitia mtu wanani. Na unamsikia. Na unajua, tuwa ujaiku kaa tu Hana kuje tu mtu, hana taka urafiki, ushosti na wewe kwa nje hana kosa. Lolote. Hana ungea vizuri, hana kupazawadi, hana piga na story nyingine, hata hazi kuhusu, hata hazi kusaidi. Lakini muwe wako unamkata, mumsikilize mtu wandani. Kaka hana kuje, hana kuongelesha, rata hana taka ni kuowe, ni na gari, he ni na gari zuri, gari languli na vio, vio usika, nakomba kuna mga gari hana vio. Gali yangu na kumbia jina mpaka buti. Unajua ukiwa huna gari? Una vitu utatajiwa. Unaambiwa gari yangu ina mkanda ndani. Unasema wow! Kuna kitu kinaitua seat belt. Really? Really? Yani ni vitu tuwelewi. Ana kumbia gari yangu ina seat belt. Gari yangu ina carpet ndani. Ana mungia vizuri mtana shatty. Ana sima sholomu wanaitua ndani. Ana sima sholoks. Ana kuhita majeshi ya mbwana. Ana li biblia li kubwa ili langu dogo. Moe wako ndani ukisema no. Jua ni mungu. Atendae kazi naniyako anasema no. Msikilize. Lakini ili usiweze kuchanga nyikiwa. Mana wakati mungine sauti zinakuwa nyingi. Ili usi changa nyikiwe ne no. [01:30:54] Ndiye unaloliona, ndiye unalolisikia, la kwenda li naenda sambamba na neno. [01:31:01] Unaona anaye kupenda ni imani nyingine, anaye kupenda ni idimi nyingine, anaye kupenda haabudu kabisa, anaye kupenda nakombia hivi yuko kanisa ni kwendu uko kwa piti, utendelea tu kwenda. Hila mimi, mimi, mimi sisali uko, au mimi sisali kabisa, mimi eh, mimi ni baba wanyumbani. Mimi wala sita kuzuhia, mimi tukiyo wana sita kuzuhia, utaendelewe na mambo yako au wana imani nyingine, au wana mutazama mwingine, au nidili nyingine. [01:31:28] Usianze kuniuliza mimi, mama hii nimepata mwana ume au mwana mke, lakini ni wa imani nyingine. Niienda, au nisiende, noo, nienda kwenye maandiko, utakutana na kitu kimeandiko hivi, msifungiwe nira na watu wa sio amini. Kadi ya unavyo soma neno, utaweza kupambanua. Hili lakweli au sio lakweli, utasoma tu maandiko asa, hm, hm, hm, hm, hm. Hakuna usiano, hakuna usiano, hakuna mapatano, katianuru nagiza, hakuna ushirika, katianuru nagiza. Kwa hiyo, hauta itaji, Mtu yoyote hakuambia hivi, huyu mwana ume usiolewe na ya, huyu mwana mke usiolewe na ya, unamsikia tunuona mitaza moyetu, imani yetu, nitofauti, tutaza watoto, mmoja anayingia nyumba hii ya ibada, Mimi na ingia nyumba hii, hawa waturi tunaweweka kwenye mazingira gani Kwa yu mfungo unanza, linalofu ato, inakujia neno la mungu Soma, neno la mungu linakusaidia pia kumake decisions, linakusaidia hili jambo unalofanya, huku kutukana huku Hii vita ya mwilini nayo taka niendele nayo. Hii vita ya mwilini neno la mungu inasemaje yuyu ya matukano. Maandiku anasimafi mafaraka. Mambo ya mafarakano. Fitna. Kufarakana. Kusisikiwe kwenu. Kwa yu mtu wakiku kwaza. Ukataka kumu kuhu. Kuustababisha kiosi pale kumbwa hisioisha Nenu la Mungu ndiyo kazi yake kukudirect Ndiyo mana nipuanza hapa nika sema hivili Nenu, tu naliangaria kama kiyo Katika hili nina tu edit, hili nina tu safisha na hili nina tuweka sawa Baba angu, mama yangu, kaka yangu, dugu yangu, mdogo angu, tulia hapo ulipo Ukisha maliza kufunga kinachofuata ni Nenu Hivi vyote vina kuja kukusaidia kwenye kutaka kwako na kutenda kwako. Ukitaka kujua hii njia na yoyendea. Ni sahihi au siyo sai? Nenda kwenye biblia, angalia mtu, aliwai kupita njia, kama unautaha kupita wewe, iyo njia ya utapeli. Iyo njia iyo yangono kabla ya ndoa. Ilimuathiri nani ukualifa? Iyo njia ya kubaka iyo. Iyo njia ya kutapeli. Nani aliwai kutapeli kwenye neno hili? Na kaindelea vizuri. Kwa hiyo All deficiencies, indiyo mana mimi hua siyamini. We ni maswali ya kuhulizana. Eti mama, unayonaja ii nguo? We wende umevaa. Rome takatifu ndaniyako anasimaji. Anasema iyo ni nguo ya kuogele aje. Hapa unapoona kuna maji. Hapa unapoona kuna bichi. Kuna miamboli hapa. Kuna kitovu cha mtu mgini unakyiona. Kuna tumbo la mtu mgini unaliyona. Kuna mwenzio ambawa meka boobs out na mnaiu. Haa huko pekeyako. Kwa huyo mwenye yotu ndaniyako unasima hivi. Hii nguo niliovaa hii ni nzuri, ni nzuri sana, lakini siyo hapa. Ro mtakatifu mwenyewe ndani, mtuta ya sienzi kukubilia. Vimini ya vitakiwi, ukisha una unohubiliwa hivu, tayari tu anayekubilia mwenye mekosea. Ilitakiwa kuambie funga, akuambie soma neno. Mtu waku wandani ajai, mtu wandani ya nakataza kwa wapu. Hallelujah! [01:34:31] Hallelujah! Hallelujah! [01:34:34] Hallelujah! [01:34:35] Hallelujah! [01:34:39] Hallelujah! [01:34:48] Ndani, moyo wako, unakuambia tulia tu. Huyo leo hamekuja kishari. Usi mjibu huyu. We nyamaza tu. We nyamaza tu. Lakini njiako nasimambjibu. Hatazoya noo msikirize mtu wa ndani. Hakikuambia nyamaza, nyamaza. Nyeye mungu atendai kazi. Ndani yetu. Sio njia yetu. Ndani yetu. Usi viangalie via nje. Ni via muda tu vinapita. Baliangalia vilevu. Ndani, msikirize mtu wa ndani. Concerning iyo biyashara. Mtu anakuletia proposal tu. Huna hata wazo yu biyashara ujawai kufanya. Hata siku moja. Mskilize mtu wanani. Mtu wanani. Kuna mtu wane ambia. Tufanye biyashara ya kuhuza choroko. Sijawai kuhuza hata siku moja. Hana kudanganya pali hana kuchota. Yizi choroko zina kuwa hivi, zina hila hivi. Muulize kwanza, do not make any decision. Mama, na muulize aje mtu wanani. Unaomba mudo, na mambia sawa. Naomba uniacheye hii proposal. Hembu unipe kama siku tatu unene hivi, alafu unita kupigia. Kama nifanya, unisifanya. Naenda kune fasting. Funga. [01:35:48] Kama huu na jibula kulisikia papo. Hesta mwenzio. Hesta role model wangu. Hakuwa na jibula hapo kwa hapo. Hila ukikosa jibula swali lorote. Funga. Hesta kafunga. [01:35:58] Hesa haka funga. Ukiona huu na jibu. Huyu manahume ya nioe, awa sinioe. Funga. Soma neno. Baada ya kumaliza kufunga na kusoma neno, utakuwa na majibu. Revelations. Mafunuo. Ni majibu tunahoe ya pata ya kuweza kusofu changamotozetu za kila siku. Rebecca alikuwa tasa, lakini mumewake ya limombea. Sarah alikuwa tasa. Mumewake ya kumombea lakini mumewake ya likuwa mitakatifu. Kiwango chakufuta. Malaika alikuwa na mausiyono mazuri na mungu. Malaika wakaja kumjibu. Kwa hiyo. Tatizo ni hilo yolo. lautasa kwa mama Noah, ilo ilo kwa Rebecca, ilo ilo kwa Sarah, lakini wali yafanya tofauti. Mdoa, iyo iyo inachangamoto. Usimulize mtu diya kwako ni tofauti. Funga na kuomba siku tatu. Mwambie Mungu mume wangu mlevi. Mke wangu wana mdomo sana. Anasema mpaka mama ngu mzazi. Ivi nifanyaji. Funga nani yako ni yeye Mungu. Atendae kazi. Nani yetu. Sio njetu. Akisha malisa kutenda kazi, mandiko nasimabi kutaka. Kwenu na kutenda kwenu. Kuwa makini na vitu unavyo vitaka. Kuwa makini na matenda unayo yatenda. Ndiyo mungu huyo. Na ndiyo mana usitukane, usipigane, usiwe mvivu, usinune, mungu hanuni, mungu hana moods. Na ndiyo mana haka toka uko haliko, haka kaa ndani yetu. Ni jambo kubwa la kutisha na mnagani. Mungu kutoka uko haliko, haka kaa ndani yetu. Hiyo tu yanatakiuwa kupe ujasiri. Kuna muendu yanatakiuwa kuenda. Ndani yangu kuna mungu? Baba, katika jina la yesu. Jina lako baba libarikiwe, shanda rabandi rabasete, handa ramasota, kende remosata, mende remosita, mando rabasokata, nende remosata, nanta rabasaka, mando rabasata, nende rebosaka, hallelujah, hallelujah. Duguzangu, chakula kingine cha mtu wa mungu ni maombi, yani kunena kwa luga. Unapokunywa kidonge, kidonge, uka kiingiza andani ya mwili wako kinajua pakuenda. Ukinena kwa luga, mtu andani yanashiba. Dakika mbili tano hizi zilizo baki, nena kwa luga, umilishe mtu wako andani, asubuhi atakuambia. Ufanya biyashara usifanyi, umjibu au usimjibu, uhibiwa au usibiwe. Yule mtu anata kukutapeli, hatu kutapeli tena kukua mtu andani, atakuambia shete. Hara mazira katere munda raba sota Hara bazora mane, hende remo sata Mando raba saka, lende rebo sika Kona raba sata, hende rebo zira mane Hende rebo sata, lende rebo saka O raba sakata, wanda raba sete Leke hende raba sota, hende rebo sata Heke rebo sata, mande rebo sata Kwa china la yesu, kwa china la yesu Nyee mungu, atendae kazi, nanyangu Mutaka kwa ngu na kutenda kwa ngu Mtu wangu wa nani katika junawesho Kwanzi ya leo, hau ta kusea Kwanzi ya leo, mungu wa kiongea, haa nita miskia Mkini onya kuhusu chochote, nita kusikia Erebo saka, ramazira katele, oraba sota Hende rebo sata, manda raba seke, hende rebo zita Mando raba sota, eke rebo sarama sete Hende rebo sata, mando raba saka Hende rebo zita, hende rebo saka Kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa Kati kajina la yesu. Kila mitakacho kifanya, kita panikiwa. Kazi zangu kita panikiwa. Biashala zangu kita panikiwa. Wachotu wangu Kati kajuna laesu, kati kajuna laesu Ni radi, kweke tizamu Zita falikiwa, watotu wangu watafalikiwa Kati kajuna laesu, kira nita kato kifanya Kita falikiwa, zita shingwa, zita shingwa, zita shingwa Mtu wangu wa nani, hato shingwa kunyelo mwote Kwa china laesu Christi Halleluja Halleluja Duguzangu, hivi ni vyakula vya mtu wa nani Kufunga Osoma neno, neno li nakupatia kuamua. Ukikutana na changamoto, unakua unajuwae. Kama unamajibu, unasema hili suali, hini changamoto, neno la mungu li nasema aji? Kwa hiyo kufunga, neno la mungu na kuomba. Hasa kunena kwa luga. Hallelujah. Faida za mfungo tumeziona hizo leo na mungu atatusaidia tena kesho. Satisa kamili usiku atatupa namna ya kuendelea kutokea hapa. Ndugu yangu, niieye mungu atendae kazi ndani yetu. Kutaka kuetu na kutenda kuetu. Ukitaka utajiri, usijiukumu. Usisema hivyo, au, au, mimi ni selfish. Au, au, au, ni mungu ndaniyaku hautaki umaskini. [01:41:16] Ukitaka kupona, ukiwa utaki magonjwa, ni mungu ndaniyako doa mbae hataki. Ukiona kuna mtu na jisugeza kwenye maisha yako, lakini wepia humtaki. Ni mungu ndaniyako ameshaona, tunakubayina mungu anaona mbali kuliko sisi. Hallelujah. Yashim mawazo yako, yashim maneno yako, yashim misukumo yako. Unaposukumwa kutuwa sadaka, unaposukumwa kufunga, unaposukumwa kuomba, unaposukumwa kufanya biyashara fulani, unaposukumwa kuaplai mahali fulani. Nyua ni Mungu dani yangu duana itaka hii tenda. Labda kuna kanisa la kusupporti mahali. Mlambda kuna ndugu yangu wa kumsomesha mahali, nita msomesha jesupokuwa nipite injia. Kosi jiwukumu, ukasimahu mimi napele sa maisha juunono ni mungu na niyako ni wa mbae hataki wa umasikini. Mungu wa kutunze katika neema yake, mungu wa kuimarishe ndugu yangu. Kila utakacho kifanya, kifa nikiwe. Makwazo ya uembali na wewe. Umasikini uembali na wewe. Shidasi uembali na wewe. Ichofu kuchoka choka, moods isvi uembali na wewe. Kati kajinalaizu, mtu wako wa nani, awe so active na mungu wa kujiaze nguvu zake. Nguvu zangu wale ya mbao tu taona, tu napata breakthrough, tu natamani kufunga, siku ta tu nakutia moe funga. Anae funga na asie funga ni watu wa wilitofa uti. Anae omba na asie omba ni watu wa wilitofa uti. Anaye soma neno na siya soma neno ni watu wawe tofauti. Anaye amka saati saihi. Hata kama nauchobu wakini anapambana ni tofauti na alie lara saisi. Mungu wa kuhimarishi dadayangu, mungu wa kuhimarishi kakayangu, mungu wa kuhimarishi mdogu wangu, mtuto wangu katika imani mungu wa kutunze, wa kusaidie katika jina la yesu. Hallelujah. [01:43:00] Kila sila itakaufanyika juhu yako, kamwe haitafanyikiwa. [01:43:05] sila za muilini na sila za roho ni. Kila sila inayofanyika kinyume na mtu wako wa nani, haitafanikiwa. Na mahali popote mtu anapo kuzungumzia vibaya, anapo kunenea umasikini, anapo kunenea kushindua, anapo kunenea magonjua, anapo kunenea mabaya, ni naukumu maneno yake na kila kitu chaki ya kwamba hamekusea. Mabaya hata kupata wewe. Wala uwaribifu wa utakukaribia. [01:43:33] Utunzwe na alie juya. Asante kukua pamoja na mimi kuanzia muanzo mpaka mwisho ibadahe. Usiache kuhomba, usiache kumitafta mungu. Na kama umebarikiwa na maninohaya, unaweza kutuwa sadaka yako kupitia nambazifatazo 0659 68 75 69 au 0753 08 57 89. [01:43:58] Shalom.

Other Episodes

Episode

October 29, 2025 00:59:14
Episode Cover

Ushindi Usio na Kelele II

Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give

Listen

Episode

September 01, 2025 01:40:01
Episode Cover

Ulinzi wa Ki - Mungu

God’s protection is a shield over our lives, guarding us from harm, danger, and unseen attacks. It brings peace in the midst of uncertainty,...

Listen

Episode

September 20, 2025 01:42:14
Episode Cover

Umuhimu wa Maarifa IV

Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give

Listen