Mfungo na maombi vinaenda sambamba , kazi ya mfungo ni kukusongeza karibu na ulimwengu wa roho, Ukifunga make sure unaomba, unasoma neno, na unamaanisha.Ili mfungo wako uwe na thawabu
Be a part of transforming lives around the world. Give today:https://pastortonyosbornministries.org/give
Maarifa ya kiroho humfungulia mtu nuru ya kuelewa mapenzi ya Mungu.Humjenga muumini kutembea kwa ujasiri, hekima na utambuzi wa kimungu.Yanampa nguvu ya kushinda vita...
Kupitia maombi thabiti, moyo hujipanga katika utii na kusikia sauti ya Mungu.Imani isiyotetereka huvunja hofu na kuleta ushindi katikati ya changamoto.Neno la Mungu linakuwa...
Maombi ni silaha yenye nguvu katika vita vya maisha.Kupitia maombi, tunasimama katika ushindi ulioandaliwa na Mungu.Kila changamoto hupoteza nguvu inapokutana na imani.Ndani ya maombi,...